Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Saida Karoli anagombea jimbo gani?

Mfumo wetu wa Bunge tulionao sasa hivi unaruhusu kila mtu kuingia bungeni kufuata anachokitaka yeye, badala ya wanachokitaka wananchi

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Saida Karoli, Kingwendu kutumbuiza ‘mateja’ Moro

Saida Karoli..NA MWANDISHI WETU, MOROGORO

MSANII maarufu nchini, Saida Karoli na msanii waliyewahi kugombea ubunge jimbo la Kisarawe kupitia tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Rashid Mwinshehe, maarufu ‘Kingwendu’, wanatarajiwa kutumbuiza katika tamasha la kuunganisha nguvu za jamii kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya kwa vijana.

Tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 20, limeandaliwa na viongozi wa dini wa Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na Kampuni ya Beula Communications, lengo likiwa ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Sepetu kathibitisha anagombea Ubunge !! kayazungumza hapa na ya boyfriend wa Linah.

Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, Wema Abraham Sepetu leo June 16 kupitia kipindi cha Ala za Roho ya Clouds FM amefunguka kuhusiana na kuchukua fomu ya ubunge wa viti maalumu mkoani Singida pamoja na ishu ya kutoka na boyfriend wa msanii Linah.

Akizungumza na Diva Loveness wa Ala za Roho alisema..”Sasa hivi niko singida kwenye maandalizi ya kuchukua fomu kwasababu nagombea ubunge wa viti maalumu mkoa wa singida, kwa hiyo nimekuja huku kuja katika kuamasisha vijana wajitokeze...

 

10 years ago

Michuzi

Mama Shamsa Selengia Mwangunga anagombea ubunge Viti Maalum Mkoa - Dodoma



 Mama Shamsa Selengia Mwangunga akirudisha fomu kugombea ubunge Viti Maalum Mkoa - Dodoma

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Saida Yunus Chui alamba nondozzz

Mdau Saida Yunus Chui akiwa ni mwenye furaha sana muda mfupi baada ya kula Nondozz yake ya Master School of Improvement and Education Leadership katika Chuo Kikuu cha Birmingham University, kule kwa Bibi (Uk).Mdau Saida Yunus Chui akiwa akiwa ndani ya ukumbi wa Chuo Kikuu cha Birmingham University, tayari kwa kula Nondozz yake ya Master School of Improvement and Education Leadership.Mdau Saida Yunus Chui akiwa na hazbendi wake,Ahmed Mashaka (kulia) pamoja na Dada yake mada baada ya kula...

 

11 years ago

Habarileo

PSPF watoa misaada kwa watoto yatima wa Karoli Lwanga

MFUKO wa Pensheni wa Watumishi wa Umma (PSPF) umetoa msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo vya shule vyenye thamani ya Sh milioni nne kwa Kituo cha watoto yatima katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Karoli Lwanga Parokia ya Yombo Dovya, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SAIDA MASHAUZI: Nilivunja ndoa ili niendelee kuimba

MTOTO wa nyoka ni nyoka, wanasema wahenga. Hivi ndivyo inajidhihirisha kwa Saida Ramadhani Makongo maarufu kama Saida Mashauzi, mwimbaji nyota wa kundi la muziki wa taarabu la Mashauzi Classic la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani