Saida Karoli anagombea jimbo gani?
Mfumo wetu wa Bunge tulionao sasa hivi unaruhusu kila mtu kuingia bungeni kufuata anachokitaka yeye, badala ya wanachokitaka wananchi
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania11 Dec
Saida Karoli, Kingwendu kutumbuiza ‘mateja’ Moro
NA MWANDISHI WETU, MOROGORO
MSANII maarufu nchini, Saida Karoli na msanii waliyewahi kugombea ubunge jimbo la Kisarawe kupitia tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Rashid Mwinshehe, maarufu ‘Kingwendu’, wanatarajiwa kutumbuiza katika tamasha la kuunganisha nguvu za jamii kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya kwa vijana.
Tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 20, limeandaliwa na viongozi wa dini wa Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na Kampuni ya Beula Communications, lengo likiwa ni...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/weU6hnG4QV4/default.jpg)
10 years ago
Michuzi06 Jan
10 years ago
Bongo Movies17 Jun
Wema Sepetu kathibitisha anagombea Ubunge !! kayazungumza hapa na ya boyfriend wa Linah.
Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, Wema Abraham Sepetu leo June 16 kupitia kipindi cha Ala za Roho ya Clouds FM amefunguka kuhusiana na kuchukua fomu ya ubunge wa viti maalumu mkoani Singida pamoja na ishu ya kutoka na boyfriend wa msanii Linah.
Akizungumza na Diva Loveness wa Ala za Roho alisema..”Sasa hivi niko singida kwenye maandalizi ya kuchukua fomu kwasababu nagombea ubunge wa viti maalumu mkoa wa singida, kwa hiyo nimekuja huku kuja katika kuamasisha vijana wajitokeze...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Je6spWLhcSo/Va1f-vkvfyI/AAAAAAAHqrs/z8WqAKSAT94/s72-c/unnamed.png)
Mama Shamsa Selengia Mwangunga anagombea ubunge Viti Maalum Mkoa - Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-Je6spWLhcSo/Va1f-vkvfyI/AAAAAAAHqrs/z8WqAKSAT94/s640/unnamed.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mgyrd2eCDU0/Va1gFJuc0XI/AAAAAAAHqr0/kiFjZ4NL7wM/s640/unnamed%2B%252899%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-d0sKUCK1jFI/Va1gIWjag8I/AAAAAAAHqr8/bb11gSM3V6g/s640/unnamed%2B%25281%2529.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UUWjgTaIuAg/VaQfLeZLyoI/AAAAAAAHpeo/aDRdxlTw8AQ/s72-c/20150713121927.jpg)
Mdau Saida Yunus Chui alamba nondozzz
![](http://2.bp.blogspot.com/-UUWjgTaIuAg/VaQfLeZLyoI/AAAAAAAHpeo/aDRdxlTw8AQ/s640/20150713121927.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7wySh95O88c/VaQfLWeyHhI/AAAAAAAHpek/VRZHCe9XKs8/s640/20150713121932.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mvy4pHaGNp4/VaQfM2cZVnI/AAAAAAAHpew/mcqKITV68go/s640/201507131927.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PT6Ejaounl8/VaQfJRB1yuI/AAAAAAAHpec/RVZKt5yO1JE/s640/20150713121926.jpg)
11 years ago
Habarileo09 Feb
PSPF watoa misaada kwa watoto yatima wa Karoli Lwanga
MFUKO wa Pensheni wa Watumishi wa Umma (PSPF) umetoa msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo vya shule vyenye thamani ya Sh milioni nne kwa Kituo cha watoto yatima katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Karoli Lwanga Parokia ya Yombo Dovya, Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
SAIDA MASHAUZI: Nilivunja ndoa ili niendelee kuimba
MTOTO wa nyoka ni nyoka, wanasema wahenga. Hivi ndivyo inajidhihirisha kwa Saida Ramadhani Makongo maarufu kama Saida Mashauzi, mwimbaji nyota wa kundi la muziki wa taarabu la Mashauzi Classic la...