Ray c afunguka makubwa kuhusu wema na kajala, pia amuomba msamaha Zamaradi Mketema
Ray Ameamua kufunguka na Kusema Haya:
“Kiukweli huwa naumia sana ninapoona mastaa tunatumia muda mwingi kulumbana na kugombana kwa mambo ya kipuuzi sana,mastaa wenzetu wa Nigeria wanatushinda kwa mambo mengi sana sababu wao wanashirikiana na kusapotiana katika mambo mengi sana na hata ukiskia wamepishana basi ujue ni kwa ajili ya biashara tu na si vinginevyo!nilichogundua Mimi ni kwamba kumekua na makundi mbalimbali mitandaoni yanayokuza mambo na kusapoti wasanii kulumbana Mara team simba...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo515 Oct
Ray C amuomba msamaha Zamaradi, awashauri Kajala na Wema wapatane
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LYZrjK6etVfM*FxsQ1skXHX2Zdpe3FsfMWXKJY1rlONgNVFC4uTptjr-uEiMbyxoq5bV2P5A3LPPZ1NmmJa5T9RNih4rSY1s/1390187_714119705340090_527134959_n.jpg)
HAPPY BIRTHDAY ZAMARADI MKETEMA
10 years ago
Bongo Movies17 Dec
VIJIMAMBO: Wema Atoa FACT 5 Za Ukweli Kuhusu Zamaradi Mtetema
Mara baada ya mtayarishaji na mtangazaji wa kipindi cha maswala filamu nichini cha TAKE ONE, Zamaradi Mtetema kuweka bandiko mtandaoni, akiwatata mashabiki na wapenzi wake, wataje mambo matano ambayo niyaukweli kuhusu yeye Zamaradi kwa jinsi wanavyo muona na atatoa zawadi kwa yule atakae patia.
Bandiko lilisema;
"If someone managed kunitajia hata FACT 5 about me za ukweli kulingana na unavyoniona... nna zawadi yako kubwa and I AM SERIOUS.... Unahisi nikoje!!? only 5 facts then ntasema nani...
11 years ago
Bongo Movies13 Jul
Kajala afunguka kuwa wema sepetu ni mnafiki na si rafiki wa kweli.
STAA wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja ameibuka na kusema kuwa ushosti wake na Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu, uliorudishwa hivi karibuni baada ya kuwekana sawa ni wa kinafiki huku akidai Wema ni kigeugeu.
Akizungumza kwa kujiamini mbele ya waandishi wa GPL, juzi Jumatano pande wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, Kajala alisema: “Wema ni mnafiki kabisa. Upatanisho wetu ni wa uongo. Mimi moyoni nimeondoa kinyongo lakini mwenzangu naona kama bado ana donge moyoni.”
Kajala alisema...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-U_OLKGKZtco/VbhpW9zDj2I/AAAAAAABS30/VvL6Fc5Ywr8/s72-c/13769_105078696170986_100000065695143_150328_1589888_n%255B1%255D.jpg)
DINA MARIOUS NA ZAMARADI MKETEMA WATUPIANA MANENO INSTAGRAM, KISA KIKO HAPA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-U_OLKGKZtco/VbhpW9zDj2I/AAAAAAABS30/VvL6Fc5Ywr8/s640/13769_105078696170986_100000065695143_150328_1589888_n%255B1%255D.jpg)
Katika Mtandao wa Instagram Dina Marious ameandika kwa kirefu kabisa kuhusu inshu hii, akiwa kama anamzungumzia Zamaradi, Dina ameandika “Leo nimeguswa kuongea na SNITCHES makazini na maofisini a.k.a boss little pet.Kuna siku kuna dada alinipigia simu nimshauri namna ya kuishi na mtu ambae wako karibu kazini lakini amekuwa akimsitch kazini anapeleka maneno ya umbea kwa...
10 years ago
Michuzi06 Jan