Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ray c afunguka makubwa kuhusu wema na kajala, pia amuomba msamaha Zamaradi Mketema

Ray Ameamua kufunguka na Kusema Haya:

“Kiukweli huwa naumia sana ninapoona mastaa tunatumia muda mwingi kulumbana na kugombana kwa mambo ya kipuuzi sana,mastaa wenzetu wa Nigeria wanatushinda kwa mambo mengi sana sababu wao wanashirikiana na kusapotiana katika mambo mengi sana na hata ukiskia wamepishana basi ujue ni kwa ajili ya biashara tu na si vinginevyo!nilichogundua Mimi ni kwamba kumekua na makundi mbalimbali mitandaoni yanayokuza mambo na kusapoti wasanii kulumbana Mara team simba...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Ray C amuomba msamaha Zamaradi, awashauri Kajala na Wema wapatane

Muimbaji wa muziki nchini, Ray C amewataka wasanii kupendana na kuwa kitu kimoja baada ya kuandika ujumbe Instagram aliotumia pia kumuomba msamaha mtangazaji wa Clouds TV, Zamaradi Mketema. Huu ni ujumbe aliomwandikia Zamaradi Mketema na kuwataka Wema na Kajana wasameheane: “Love u zama n sorry for everything keep doing wat u do best @zamaradimketema n […]

 

10 years ago

GPL

HAPPY BIRTHDAY ZAMARADI MKETEMA

Hosti wa Program ya Take One kupitia Clouds TV, Zamaradi Mketema. Zamaradi Mketema katika…

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Wema Atoa FACT 5 Za Ukweli Kuhusu Zamaradi Mtetema

Mara baada ya mtayarishaji na mtangazaji wa kipindi cha maswala filamu nichini cha TAKE ONE, Zamaradi Mtetema kuweka bandiko mtandaoni, akiwatata mashabiki na wapenzi wake, wataje mambo matano ambayo niyaukweli kuhusu yeye Zamaradi kwa jinsi wanavyo muona na atatoa zawadi kwa yule atakae patia.

Bandiko lilisema;

"If someone managed kunitajia hata FACT 5 about me za ukweli kulingana na unavyoniona... nna zawadi yako kubwa and I AM SERIOUS.... Unahisi nikoje!!? only 5 facts then ntasema nani...

 

11 years ago

Bongo Movies

Kajala afunguka kuwa wema sepetu ni mnafiki na si rafiki wa kweli.

STAA wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja ameibuka na kusema kuwa ushosti wake na Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu, uliorudishwa hivi karibuni baada ya kuwekana sawa ni wa kinafiki huku akidai Wema ni kigeugeu.

 

Akizungumza kwa kujiamini mbele ya waandishi wa GPL, juzi Jumatano pande wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, Kajala alisema: “Wema ni mnafiki kabisa. Upatanisho wetu ni wa uongo. Mimi moyoni nimeondoa kinyongo lakini mwenzangu naona kama bado ana donge moyoni.”

Kajala alisema...

 

10 years ago

Vijimambo

DINA MARIOUS NA ZAMARADI MKETEMA WATUPIANA MANENO INSTAGRAM, KISA KIKO HAPA.

Kumekuwa hakuna maelewano mazuri katika ya watangazaji hawa wawili baada ya Dina Marious kusimamishwa kazi katika radio hiyo.

Katika Mtandao wa Instagram Dina Marious ameandika kwa kirefu kabisa kuhusu inshu hii, akiwa kama anamzungumzia Zamaradi, Dina ameandika “Leo nimeguswa kuongea na SNITCHES makazini na maofisini a.k.a boss little pet.Kuna siku kuna dada alinipigia simu nimshauri namna ya kuishi na mtu ambae wako karibu kazini lakini amekuwa akimsitch kazini anapeleka maneno ya umbea kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani