Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kajala yamkuta baada ya kuweka picha simu ambayo bado haijatoka sokoni akidai anayo

Kupitia mtandao maarufu wa picha wa kijamii, mwanadada Kajala amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuweka picha ya simu aina ya samsung galaxy note 4 kwenye account yake kuwa anamiliki simu hiyo ilihali simu yenyewe ikiwa bado hata haijaanzwa kuuzwa sehemu yoyote duniani. Kupitia picha hiyo kajala aliambulia maneno kadhaa ya kashfa toka kwa watu mbalimbali wengi wao wakimtaka aache maisha ya kuigiza.

 

Baadhi ya maoni hayo ni:-
 

"Hahahaha watu ndo wanatoa pre order october 16 ndo ina...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Not So Fast: Collabo ya Diamond na P-Square bado haijatoka

Kama umedownload au kutumiwa wimbo unaosemekana kuwa ni wa Diamond featuring P-Square na pamoja na kuusikiliza kwa mara kibao ukashindwa kusikia sauti ya Paul au Peter Okoye, basi sikio lako halikudanganyi – hakuna collabo hiyo. Wimbo huo unaitwa ‘Marry Me’ ni wa Iyanya ambao kipindi muimbaji huyo wa Nigeria amekuja kwenye Fiesta mwaka juzi, alimpa […]

 

11 years ago

GPL

KISA MTOTO WA KAJALA, ZAMARADI YAMKUTA

Jambo limezua jambo! Prizenta wa Clouds FM na TV, Zamaradi Mketema yamemkuta mazito baada ya kumwagiwa mvua ya matusi kisa kumhoji mtoto wa Kajala Masanja (jina kapuni kimaadili) juu ya ugomvi wa mama yake na Wema Isaac Sepetu. Prizenta wa Clouds FM na TV, Zamaradi Mketema. Mara baada ya Zamaradi kuzungumza na mtoto huyo kupitia Kipindi cha Leo tena ndipo mitandao ya kijamii ikalipuka kwa matusi kuwa hakupaswa kumhusisha mtoto...

 

10 years ago

Vijimambo

Collabo ya Diamond na P-Square bado haijatoka, Iliyo sikika na kudownloadiwa sio yenyewe

Kama umedownload au kutumiwa wimbo unaosemekana kuwa ni wa Diamond featuring P-Square na pamoja na kuusikiliza kwa mara kibao ukashindwa kusikia sauti ya Paul au Peter Okoye, basi sikio lako halikudanganyi – hakuna collabo hiyo.Wimbo huo unaitwa ‘Marry Me’ ni wa Iyanya ambao kipindi muimbaji huyo wa Nigeria amekuja kwenye Fiesta mwaka juzi, alimpa nafasi Diamond kuingiza kitu kwakuwa alisafiri na producer wake, Tekno aliyetembea na vifaa vya muhimu vya studio. Kwenye wimbo huo Diamond...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mambo ambayo bado hayajafahamika kuhusu Covid-19

Kuna maswali mengi ambayo bado hayajajibiwa kuhusu coronavirus, Covid-19.

 

11 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala


Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji  Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari  ambayo  ilisambaa  katika  mitandao  mbalimbali  ya  kijamii.

Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtandao mpya wa simu waingia sokoni

TAASISI ya Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED) kwa kushirikiana na tasisi ya mtandao wa usambazaji wa huduma (IPS network) imeingia katika soko la pamoja la mawasiliano kwa nchi...

 

9 years ago

Dewji Blog

VIDEO: Tazama ubora wa simu ya Huawei Y360 ambayo gharama yake ni nafuu kabisa

1

http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/10/video.mp4

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani