Not So Fast: Collabo ya Diamond na P-Square bado haijatoka
Kama umedownload au kutumiwa wimbo unaosemekana kuwa ni wa Diamond featuring P-Square na pamoja na kuusikiliza kwa mara kibao ukashindwa kusikia sauti ya Paul au Peter Okoye, basi sikio lako halikudanganyi – hakuna collabo hiyo. Wimbo huo unaitwa ‘Marry Me’ ni wa Iyanya ambao kipindi muimbaji huyo wa Nigeria amekuja kwenye Fiesta mwaka juzi, alimpa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-FJrHpwxo8Go/VOGKegEHtnI/AAAAAAAAGd4/s0mF1JeQ_hU/s72-c/IMG20150109WA0012.jpg)
Collabo ya Diamond na P-Square bado haijatoka, Iliyo sikika na kudownloadiwa sio yenyewe
![](http://4.bp.blogspot.com/-FJrHpwxo8Go/VOGKegEHtnI/AAAAAAAAGd4/s0mF1JeQ_hU/s640/IMG20150109WA0012.jpg)
10 years ago
Bongo Movies09 Oct
Kajala yamkuta baada ya kuweka picha simu ambayo bado haijatoka sokoni akidai anayo
Kupitia mtandao maarufu wa picha wa kijamii, mwanadada Kajala amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuweka picha ya simu aina ya samsung galaxy note 4 kwenye account yake kuwa anamiliki simu hiyo ilihali simu yenyewe ikiwa bado hata haijaanzwa kuuzwa sehemu yoyote duniani. Kupitia picha hiyo kajala aliambulia maneno kadhaa ya kashfa toka kwa watu mbalimbali wengi wao wakimtaka aache maisha ya kuigiza.
Baadhi ya maoni hayo ni:-
"Hahahaha watu ndo wanatoa pre order october 16 ndo ina...
10 years ago
Bongo524 Feb
New Video: P-Square ft. Don Jazzy — Collabo
10 years ago
Bongo504 Sep
Picha: Ni collabo ama P-Square kumsainisha Awilo Longomba?
9 years ago
Bongo502 Dec
Linah nimesha kamilisha Collabo za kimataifa mbili kubwa bado kuzitoa tu
![linah 2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/linah-2-300x194.jpg)
Msanii wa bongo fleva Linah Sanga a.k.a ndege Mnana ameweka wazi kwamba tayari ameshafanya kolabo mbili na wasanii wa kimataifa na amejipanga kuzitoa mwakani.
Linah akiongea na mtandao wa Saluti5 amesema kuwa, “Kabla sijafunga mwaka nilikuwa nataka kufanya kolabo kubwa za kimataifa na nashukuru tayari nimefanikiwa, ila siwezi kuweka wazi nimefanya na nani na nchi gani,” alisema Linah. kikubwa kwake ni kwamba ameshindwa kuziachia kwa sasa kutokana na muda uliobaki ila amedai mashabiki wake...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKB8rO763wFzQ0ooUPLSmr5RzpKY8KeFygmqSNW2R1vObjqIoR9hgySe9SIsEIYk5Uz7BwzJCGTwmnbht5mndj5b6pnFelmb/psquare.jpg)
P-SQUARE WAKUBALI UWEZO WA DIAMOND
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Diamond, P Square, Fally Ipupa pamoja
BAADA ya kutamba vilivyo na ngoma yake ya “My Number One Remex’ aliyoimba na msanii kutoka Nigeria, Davido, msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ anatarajia kupanda...