Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASTAA WAMLIZA KAJALA USIKU, KISA..!

Imelda Mtema Machozi ya furaha! Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja juzikati alijikuta akiangua kilio baada ya kufanyiwa ‘sapraizi’ na mastaa wenzake katika siku yake ya kuzaliwa. Tukio hilo lilichukua nafasi usiku wa Julai 22, mwaka huu nyumbani kwake Sinza Afrikasana jijini Dar ambapo akiwa hana hili wala lile, mastaa hao akiwemo Jacob Steven ‘JB’, Jennifer Kyaka ‘Odama’, Zuwena Mohammed...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WEMA AMLIPUA KAJALA, KISA UNAFIKI!

Shakoor jongo na MUSA MATEJA BEAUTIFUL Onyinye, Wema Isaac Sepetu (25), amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki.
Habari hiyo ya kuitwa mnafiki iliandikwa kwenye gazeti hili toleo lililopita iliyokuwa na kichwa kisemacho; ‘Kajala: Wema mnafiki’. Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu (25) Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya...

 

11 years ago

GPL

KISA MTOTO WA KAJALA, ZAMARADI YAMKUTA

Jambo limezua jambo! Prizenta wa Clouds FM na TV, Zamaradi Mketema yamemkuta mazito baada ya kumwagiwa mvua ya matusi kisa kumhoji mtoto wa Kajala Masanja (jina kapuni kimaadili) juu ya ugomvi wa mama yake na Wema Isaac Sepetu. Prizenta wa Clouds FM na TV, Zamaradi Mketema. Mara baada ya Zamaradi kuzungumza na mtoto huyo kupitia Kipindi cha Leo tena ndipo mitandao ya kijamii ikalipuka kwa matusi kuwa hakupaswa kumhusisha mtoto...

 

10 years ago

GPL

KAJALA AWAONGOZA MASTAA KUMTULIZA WEMA

Gladness Mallya
KUFUATIA kauli ya Wema Sepetu ya hivi karibuni kuwa hawezi kupata mtoto wa kumzaa, mastaa wa fani mbalimbali wamejitokeza kumtuliza moyo, wakiongozwa na hasimu wake wa karibu, Kajala Masanja, ambaye amesema hana sababu ya kukata tamaa, kwani bado ni mdogo. Staa katika tasnia ya filamu Bongo, Kajala Masanja. Akizungumza na gazeti hili baada ya kuombwa maoni yake, Kajala alielezea masikitiko yake juu ya hali ya...

 

9 years ago

GPL

SHAMSA: MASTAA TUSIWEKEANE MABIFU KISA, SIASA

STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford. STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford amewaasa wasanii kuwa wasigombane na kuwekeana mabifu kisa siasa kwani baada ya mchakato huo watarudi kukaa pamoja na kufanya kazi zao kama kawaida. Akipiga stori na Ijumaa, Shamsa alisema mastaa kwa sasa wanagombana na kutoleana maneno machafu, kitu ambacho si kizuri kwa kazi zao kwani wote wanategemeana. “Hiki ni kipindi cha mpito tu, mimi nawashauri...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mastaa wa Bongo Movies, Kajala na Riyama Wamuunga Mkono Mabeste

“WAUNGWANA wangu wapendwa wangu Naomba kwahisani yako Pitia uzuri hayo maelezo ktk bango hakikisha haikupiti hii kama kweli wewe ni mzalendo pia onesha kuguswa na mtihani ambao unamkabili sasahivi kakayetu ndugu yetu mwenzetu Mabeste halafu sema hata mimi ni binadamu nisie kamilika matatizo mitihani na maradhi nimeumbiwa mimi.
Mimi nilishayabeba Haya kua kwaupende wangu maumivu niliopata hayaelezeki nikapata jibu kua pengine asingekua yeye leo hii ningeweza kua mimi ndio mwenye mtihani huu...

 

10 years ago

GPL

USIKU WA MASTAA TEMEKE KESHO

Wanamitindo, Happiness Millen. LILE tamasha la burudani lililokuwa likisubiriwa kwa hamu kubwa la Usiku wa Mastaa Temeke, linatarajiwa kufanyika kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhiem jijini Dar es Salaam.  Jokate Mwegelo ‘Kidoti’. Tamasha hilo lina lengo la kuwazawadia mastaa mbalimbali wa hapa nchini ambao wametoa mchango mkubwa katika kuiwakilisha vema Wilaya ya...

 

11 years ago

Bongo Movies

Hizi ndio salamu za birthday alizopata mwanadada kajala leo toka kwa mastaa mbalimbali

Leo hii mwanadada Kajala Masanja anasherehekea siku yake ya kuzaliwa. Kama ilivyo ada mastaa na watu mbalimbali wamepa salam za pongezi mwanadada huyo mrembo wa bongomovies. Hizi ni baadhi tu ya salamu chache tulizoweza kuzipata.

 

BATULI: Happy birthday bint wa Masanja, Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu yenye afya njema, Born day yako imeangukia kwenye kumi la mwisho la mwezi wa Ramadhan, Ingawa ww c muislam ila support kwa vitendo ili uwe miongoni mwa wenye rehma za Mwenyezi Mungu,...

 

10 years ago

GPL

USIKU WA MASTAA TEMEKE… KITAELEKEWEKA TU LEO

Juma nature. Mwandishi Wetu, Dar es Salaam HAYAWI hayawi, hatimaye yametimia, lile tamasha la burudani lililosubiriwa kwa hamu kubwa la Usiku wa Mastaa Temeke hatimaye litashuhudiwa leo na mashabiki wa muziki wa Kibongo, likitarajiwa kushushwa kwenye Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhiem jijini Dar es Salaam. Isha Mashauzi.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani