SHAMSA: MASTAA TUSIWEKEANE MABIFU KISA, SIASA
![](http://api.ning.com:80/files/zYvUvcLXovDxfSjpA6jJGq*TZVc9hNH8TwORFVExW06-SEO36NC7HYkGHY2XXilk1LnZgmhHlVmWP*L8Zze3Jd9fXGREtkwu/IMG_0006.jpg?width=650)
STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford. STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford amewaasa wasanii kuwa wasigombane na kuwekeana mabifu kisa siasa kwani baada ya mchakato huo watarudi kukaa pamoja na kufanya kazi zao kama kawaida. Akipiga stori na Ijumaa, Shamsa alisema mastaa kwa sasa wanagombana na kutoleana maneno machafu, kitu ambacho si kizuri kwa kazi zao kwani wote wanategemeana. “Hiki ni kipindi cha mpito tu, mimi nawashauri...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOhRI5eHyqNj2g2k8NG*Rte6kK32YbUo21VDiTEsukxC3tsUfSx9hRhyxRoMlbfLGnZQDYmEV0XtYzist5lM35Y*/WEMA.jpg)
MABIFU YA WEMA YAMCHEFUA SHAMSA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK*K8JdJsu8eY-V*LUKG2-gAvap3OfKhOJiAziIS1sHB-mdsfv3ZGKElcOAaDWNtbz937NHecfestiLmTo3QG3x8/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA AWANANGA MASTAA WANAOJIONA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a8ZZitQ2zfW14qkaTHrWMpuvsONAKUYsRGzBhV47MlcQJPL7kXgirfpWeZspl6cNSiWZjY809Dg2Ci6hmvhc-rrMg5Uu0S0Y/IMG_0006.jpg?width=650)
SHAMSA AWAASA MASTAA WANAOMFUATA LOWASSA
5 years ago
Bongo514 Feb
Shamsa Ford apasuka uso kisa ugomvi
Msanii wa filamu Shamsa Ford amepokea kichapo Jumanne hii katika harakati za kuamlia ugomvi wa watu ambao haijajulikana moja kwa moja ni nani, na sababu za ugomvi wao ni nini.
Malkia huyo wa filamu amekutwa na mkasa huo ikiwa ni mwezi mmoja toka aibiwe akaunti yake ya Instagram yenye followers zaidi ya milioni 2.
Muigizaji huyo amedai alipigwa ngumi ya uso katika harakati za kutafuta usalama wa watu hao ambao walikuwa wakipigana.
“Jana kwa moyo mmoja nimeenda kuamlia ugomvi watu wasipigane...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOaiMws9dIVGb9UF-jl*brprHDeTl7glzxdN-ZE2ZEUh8LXECvWVsM1pdOuEGVq79JLJ8mSnv8oFWWRnD9-5DWqA/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA, DAVINA WAWASHANGAA MASTAA WANAOFICHA MIMBA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pezQEPsid2jAXTb-XseN2mTEfn6QctzC*DiNa2oO8NmDuC3z0EqaPd7C7fmNdjonIJnwpmsPy6lMiJWCTeUQMKWx8kjJKmJT/timthumb.jpg?width=650)
KISA KAMPENI, MTOTO WA SHAMSA ALELEWA NA BIBI YAKE
9 years ago
Bongo524 Dec
Shamsa Ford: Sitaki tena kutoka kimapenzi na mastaa
![Shamsa Ford](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Shamsa-Ford-300x194.jpg)
Msanii wa filamu na mama wa mtoto mmoja, Shamsa Ford amesema amekoma kutoka kimapenzi na watu maarufu.
Muigizaji huyo ambaye miezi michache iliyopita alikiri kutoka kimapenzi na rapa Nay wa Mitego, ameiambia Bongo5 kuwa sasa hivi amepata mpenzi mpya ambaye atamweka wazi siku ya harusi yake.
“Mimi ni mwanamke mzuri nakosaje mwanaume? Nimetimia kila idara, nina mchumba ambaye tunapendana Mungu akijalia kiukweli natamani awe mume wangu,” amesema.
“Nimeshatangaza kabisa mastaa sitaki nimekoma,...
10 years ago
Bongo Movies11 Apr
Hawa Ndio Mastaa 10 Wakiume wa Bongo Movies Ambao Shamsa Anawakubali
Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford ambae ni Binamu Wa Nay Wa Mitego amewataja hawa kua ndio wakali wake.
“Mambo vipi Tanzania? Leo ningependa kuwatajia wanaume 10 ambao huwa napenda sana uigizaji wao, haimanishi kwamba wao ndo the best kuliko wengine but napenda tu sanaa yao. (1) Single Mtambalike ‘Richie’ (2) Marehemu Adamu Kuambiana (3) Marehemu Kanumba (4) Muhogo Mchungu (5) Swebe (6)Tino (7) Gabo (8) Vincet Kigosi ‘Ray’ (9) Bishanga Bashaiga (10) Cloud112....nawakubali sanaaaaa...
10 years ago
Bongo Movies16 Mar
Shamsa Ford: Hawa Ndio Mastaa Wangu wa Tano wa Kiume Hapa Bongo
“Kwa upande wangu mimi kuna wanaume wa 5 ambao huwa nasemaga ni mastaa kupitiliza, yaani naamanisha akipita mtaani ni shida na kila mtu lazima ajue msanii kapita.. (1)Mzee majuto (2)Mboto (3)Kingwendu(4)Joti(5)Jacob……Hawa watu kwanza wanaongoza sana kupendwa na watoto yaani wakipita mtaani ni shida.aisee Mungu awabariki....na wewe nitajie wako 5 unaona wakipita mtaani kwako inakuwaga ni hekaheka”-Shamsa aliandika mtandaoni.
Hebu na sisi tuwataje wetu.