KISA KAMPENI, MTOTO WA SHAMSA ALELEWA NA BIBI YAKE
![](http://api.ning.com:80/files/pezQEPsid2jAXTb-XseN2mTEfn6QctzC*DiNa2oO8NmDuC3z0EqaPd7C7fmNdjonIJnwpmsPy6lMiJWCTeUQMKWx8kjJKmJT/timthumb.jpg?width=650)
MTOTO wa staa wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford aitwaye Terry, analelewa na mama yake mzazi wakati yeye akiwa bize na kampeni kuelekea uchaguzi mkuu. Shamsa Ford akiwa na mwanaye, Terry. Shamsa akithibitisha jambo hilo, aliliambia gazeti hili kuwa amelazimika kumuacha mwanaye kwa bibi yake ili aende na kasi ya kampeni, lakini hujitahidi kuzungumza naye kwa simu kila siku ili kumfanya ajisikie vizuri. “Namkumbuka sana mwanangu,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi14 Sep
5 years ago
Bongo514 Feb
Shamsa Ford apasuka uso kisa ugomvi
Msanii wa filamu Shamsa Ford amepokea kichapo Jumanne hii katika harakati za kuamlia ugomvi wa watu ambao haijajulikana moja kwa moja ni nani, na sababu za ugomvi wao ni nini.
Malkia huyo wa filamu amekutwa na mkasa huo ikiwa ni mwezi mmoja toka aibiwe akaunti yake ya Instagram yenye followers zaidi ya milioni 2.
Muigizaji huyo amedai alipigwa ngumi ya uso katika harakati za kutafuta usalama wa watu hao ambao walikuwa wakipigana.
“Jana kwa moyo mmoja nimeenda kuamlia ugomvi watu wasipigane...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zYvUvcLXovDxfSjpA6jJGq*TZVc9hNH8TwORFVExW06-SEO36NC7HYkGHY2XXilk1LnZgmhHlVmWP*L8Zze3Jd9fXGREtkwu/IMG_0006.jpg?width=650)
SHAMSA: MASTAA TUSIWEKEANE MABIFU KISA, SIASA
11 years ago
Habarileo03 Jun
Bibi wa 'mtoto wa boksi' aibuka
WAKATI mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa na walezi kwa kuishi katika maboksi kwa zaidi ya miaka mitatu, akitarajiwa kuzikwa leo, bibi mzaa mama yake, Asha Abdalah, aliibuka jana kuomba mwili wa marehemu ili wakazike nyumbani kwao.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx207YIXDioYoG32C88xRJaBXEIWNs84mvQqDxwzmU1wbQ1VkYCPoHZldDCY4aMa8BxAi6LQj9MDFE-qcpiTQtudA/BACK.jpg)
MTOTO: NIMEUNGUZWA NA BIBI KWA KUPOTEZA KALAMU YA SH. 200
10 years ago
Bongo Movies01 Jun
Shamsa Ford anamlea mtoto wa Nay Wa Mitego?
Picha iliyosambaa mtandaoni ikimuonyesha staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford akiwa amembeba mtoto wa staa wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego, Curtis imezua maswali kwa mashabiki wao kuwa huenda mwigizaji huyo kwa sasa anamlea mtoto huyo.
Miezi ya hivi karibuni Nay Wa Mitego aliamua kumchukua mtoto wake kutoka kwa mama yake Siwema aliyekuwa akiishi jijini Mwanza baada ya kutoelewana kati yao na minong’ono ilisambaa kuwa msanii huyo anatoka kimapenzi na Shamsa Ford.
Hata hivyo wote wawili walikana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49YnTmAZQdBJzaNXzLDH9w4eQQzYJQoQ0ybr8crXUr44WC2FI2zf*roOcX*6p8bE-xh9m94-YwEbkLqW6QUjcSwH/Shamsa.jpg)
SHAMSA: NATAMANI KUONGEZA MTOTO, LAKINI NITAZAA NA NANI?
10 years ago
Bongo Movies06 Aug
Lulu Apata Pigo, Afiwa na Bibi Yake
MSIBA! Staa mwenye umri mdogo anayekimbiza katika filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amepata pigo baada ya kufiwa na bibi yake mzaa mama, Leonadina Mboneko, aliyefariki dunia juzi asubuhi katika Hospitali ya Masana, iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Amani mama mzazi wa Lulu, Lucresia Karugila alisema mama yake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda mrefu jambo lililomlazimu kumtoa nyumbani kwake Bukoba na kumleta jijini kwa ajili ya kupata...
9 years ago
Bongo529 Oct
Shamsa Ford kuja na kampuni yake ya filamu