Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO: NIMEUNGUZWA NA BIBI KWA KUPOTEZA KALAMU YA SH. 200

Na Makongoro Oging’
MTOTO Jackson Hosea (10) wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Kiseke iliyoko Ilemela, Mwanza  ameunguzwa mwilini kwa kisu na imedaiwa kuwa aliyefanya kitendo hicho cha kinyama ni bibi yake aitwaye Laurencia Athanas. Mtoto Jackson Hosea akiwa na majeraha tumboni baada ya kuunguzwa kwa kisu na bibi yake. Taarifa zaidi kutoka chanzo chetu ndani ya jeshi la polisi, kimesema kwa njia ya simu kwamba...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Watu milioni 200 kupoteza ajira kwa mlipuko wa Covid-19

Asilimia 81 ya wafanyakazi wote duniani, sawa na watu bilioni 3.3 wameathirika na janga la virusi vya corona baada ya sehemu zao za kazi kufungwa kabisa ama kwa kiasi.

 

11 years ago

Habarileo

Bibi wa 'mtoto wa boksi' aibuka

WAKATI mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa na walezi kwa kuishi katika maboksi kwa zaidi ya miaka mitatu, akitarajiwa kuzikwa leo, bibi mzaa mama yake, Asha Abdalah, aliibuka jana kuomba mwili wa marehemu ili wakazike nyumbani kwao.

 

9 years ago

GPL

KISA KAMPENI, MTOTO WA SHAMSA ALELEWA NA BIBI YAKE

MTOTO wa staa wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford aitwaye Terry, analelewa na mama yake mzazi wakati yeye akiwa bize na kampeni kuelekea uchaguzi mkuu. Shamsa Ford akiwa na mwanaye, Terry. Shamsa akithibitisha jambo hilo, aliliambia gazeti hili kuwa amelazimika kumuacha mwanaye kwa bibi yake ili aende na kasi ya kampeni, lakini hujitahidi kuzungumza naye kwa simu kila siku ili kumfanya ajisikie vizuri. “Namkumbuka sana mwanangu,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wapigwa kalamu kwa ubakaji India

Waziri mkuu wa jimbo kubwa zaidi nchini India la Uttar Pradesh amewafuta kazi polisi wawili kwa kumteka na kumbaka msichana

 

9 years ago

Michuzi

NEC:UTAPIGA KURA KWA KALAMU YOYOTE UTAKAYOITAKA


 Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva 
 Ili kuondoa shaka miongoni mwa wananchi kutokana na tetesi zinazosambazwa juu ya ubora wa kalamu za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema kila mtu anaruhusiwa kuja na kalamu yake kupigia kura Oktoba 25, mwaka huu.Kauli hiyo imetolewa leo na NEC wakati ilipofanya mkutano wake na wahariri wa vyombo vya habari nchini ikiwa ni siku ya tatu ya kukamilisha utaratibu wa kuzungumza na wadau wa uchaguzi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Waziri adaiwa kununua kalamu kwa dola 100

Waziri mmoja nchini Kenya amejipata taabani baada ya uchunguzi kugundua kuwa wizara yake ilinunua kalamu moja kwa dola 100.

 

11 years ago

GPL

BIBI WA 'MTOTO WA BOKSI' ALIMLILIA MJUKUU WAKE

Bibi wa mtoto Nasrah Rashid, Bi. Asha Abdallah akilia kwa uchungu baada ya kupata taarifa za msiba wa mjukuu wake huko nyumbani kwake maeneo ya Mafisa mkoani Morogoro. Kushoto ni mwanae Khadija Hamisi. Bi. Asha akiwa na simanzi kwa kuondokewa na mjukuu wake Nasrah aliyefariki dunia usiku wa kuamkia leo wakati akitibiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar.…
...

 

11 years ago

Mwananchi

Kuna maana gani kupoteza mabilioni haya kwa Katiba?

Bado najiuliza na sipati majibu kwamba, inakuwaje tuteketeze Sh100 bilioni kutengeneza Katiba Mpya ya wananchi inayotokana na maoni ya wananchi wakati watawala walishaweka msimamo wao?

 

11 years ago

Mwananchi

Tuzibe mianya iliyoruhusu kupoteza kodi kwa kiasi hiki

Wakati Serikali ikitarajia kuwasilisha bajeti yake kuu bungeni mjini Dodoma hivi karibuni huku Watanzania wengi wakiwa hawana tena matumaini na mwenendo wa mapato katika nchi yetu, habari mbaya na za kusikitisha zimeibuka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani