USIKU WA MASTAA KUFANYIKA DAR LIVE KESHO
![](http://api.ning.com:80/files/qUZbsOiEeqlMQzwO*2elVxLUhjXXmv0ClJHJi3w*f2AYdEJ5LQmd0tohWKG90DIkJyNcRbrb-Po0pF9usymmqDoQM5atq1Kb/MASTAA.jpg?width=650)
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2MaqbiXGv9tB0qSA0GjqPyspelOZkYgc*eshyahwMTWchhl7tkjcQFUdIFcdcXXblzmDhX82m6OgeZn5SKxL-gfg08C/TANO.jpg?width=750)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ep*dLmCPR*zbgVQ6m78N612Fp*jQgPOexIa5tSU1J8TWaCghMhl0F98dy2FiamCyXpPG5*3Jm8KpIRcjQzMQhSkHe0NUiywj/wakali.gif?width=750)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/K4UzZoI6JDyO8-szQdrVrseq6w9Y4ffm3CRayKj1ynrrlEupRGvmE76mk7X2GV81wLw2Zjc*MtT4N49cIORtNmuzmmSkbS9I/Millen_Magese31.gif?width=650)
USIKU WA MASTAA TEMEKE KESHO
Wanamitindo, Happiness Millen. LILE tamasha la burudani lililokuwa likisubiriwa kwa hamu kubwa la Usiku wa Mastaa Temeke, linatarajiwa kufanyika kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhiem jijini Dar es Salaam.  Jokate Mwegelo ‘Kidoti’. Tamasha hilo lina lengo la kuwazawadia mastaa mbalimbali wa hapa nchini ambao wametoa mchango mkubwa katika kuiwakilisha vema Wilaya ya...
11 years ago
GPL11 years ago
GPL11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PHKC1AOWfhzHrPAhNcvHhpmBnVGcgGKxrvWMbJtloJwfsngrbgOQB7t*HkPln2dtUzu0FBJP5ICGr9NpzimKrBAn0RaK8FwA/DARLIVE.jpg?width=650)
KESHO NDIYO KESHO DAR LIVE
BONANZA LA JOGGING & BREAKING NEWS… KESHO ndiyo kesho! Bonanza la Jogging na Global Breaking News 15778 linachukua nafasi kwa kukutanisha michezo ya jogging, mpira wa miguu, netiboli, kuvuta kamba, bao la kete, drafti, karate na mingine mingi. Â
Bonanza hilo la bure litafanyika kwa kuanza na mbio za jogging zitakazoanzia katika Uwanja wa Taifa hadi Uwanja wa Mbagala-Zakhem kutakapofanyika baadhi ya michezo huku...
10 years ago
Vijimambo05 Dec
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-0RpoJEv8eKsmtr-UtkiBihBIdWNToEz8KDFGDpBMT*oLFIZcwVud7oSu15nteKozgaN5OVtWo5XA7JtmG64bQd/mastaa.gif?width=650)
MASTAA KUFURIKA... DAR LIVE SIKU YA KRISMASI
Na Mwandishi wetu
BURUDANI juu ya burudani! Mastaa mbalimbali wa filamu wanatarajiwa kufurika kwa wingi ndani ya Ukumbi wa Dar Live Mbagala-Zakhem jijini Dar, siku ya Krismasi katika tamasha maalumu lililopewa jina la Mtoko wa Mastaa, likiambatana na shoo ya nguvu yenye mchanganyiko wa Bongo Fleva, Hip Hop na Taarabu kutoka kwa wasanii nguli wa miondoko hiyo. Wema Sepetu. Siku hiyo, mashabiki watapata nafasi ya kupiga picha...
11 years ago
GPLMASTAA WALONGA NA MASHABIKI WAO DAR LIVE
Mastaa wa filamu Bongo, Dk. Cheni (kushoto), Wastara Juma (katikati) na Mzee Chilo (kulia) wakitoa burudani juu ya steji ya Dar Live. Mwigizaji Wastara Juma akiongea na mashabiki wake wa Dar Live.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania