USIKU WA MASTAA TEMEKE KESHO
![](http://api.ning.com:80/files/K4UzZoI6JDyO8-szQdrVrseq6w9Y4ffm3CRayKj1ynrrlEupRGvmE76mk7X2GV81wLw2Zjc*MtT4N49cIORtNmuzmmSkbS9I/Millen_Magese31.gif?width=650)
Wanamitindo, Happiness Millen. LILE tamasha la burudani lililokuwa likisubiriwa kwa hamu kubwa la Usiku wa Mastaa Temeke, linatarajiwa kufanyika kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhiem jijini Dar es Salaam.  Jokate Mwegelo ‘Kidoti’. Tamasha hilo lina lengo la kuwazawadia mastaa mbalimbali wa hapa nchini ambao wametoa mchango mkubwa katika kuiwakilisha vema Wilaya ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/JUMA-838x1024.gif)
USIKU WA MASTAA TEMEKE… KITAELEKEWEKA TU LEO
Juma nature. Mwandishi Wetu, Dar es Salaam HAYAWI hayawi, hatimaye yametimia, lile tamasha la burudani lililosubiriwa kwa hamu kubwa la Usiku wa Mastaa Temeke hatimaye litashuhudiwa leo na mashabiki wa muziki wa Kibongo, likitarajiwa kushushwa kwenye Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhiem jijini Dar es Salaam. Isha Mashauzi.… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qUZbsOiEeqlMQzwO*2elVxLUhjXXmv0ClJHJi3w*f2AYdEJ5LQmd0tohWKG90DIkJyNcRbrb-Po0pF9usymmqDoQM5atq1Kb/MASTAA.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Ally-Jay-kulia-akipokea-kwa-niaba-ya-kundi-lake-la-5-Stars.jpg)
MASTAA WANG’ARA TUZO ZA TEMEKE
 Ally Jay (kulia) akipokea tuzo kwa niaba ya kundi lake la 5 Stars. Said Fella (kushoto) akipokea moja ya tuzo alizokabidhiwa. KR Muller akipokea tuzo kwa niaba ya Juma Nature.…
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
TRENI YA DELUXE ILIYOPANGWA KUONDOKA LEO SAA 2 USIKU IMEAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!
![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
TAARIFA HIYO IMEELEZA KUWA SABABU ZA KUAHIRISHWA SAFARI HIYO NI AJALI YA TRENI YA MIZIGO ILIYOTOKEA JANA SAA 2 USIKU KATIKA STESHENI YA SARANDA AMBAPO MABEHEWA 4 YAMEPINDUKA ! TAYARI WAHANDISI NA MAFUNDI WA TRL WANAELEKEA ENEO LA KWA KAZI YA KUYAINUA NA PIA KUKARABATI NJIA!
ATAYESOMA TAARIFA HII...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7466U3ZMMqWNLH0KyXT9nISF9nB4rGYs1VyRLoPFB5uBe91udLEWSb-dPLNOcLgjLcgEX3rw3sLXOkehSUW2*nny1mrdRAi4/Kajala1.gif?width=650)
MASTAA WAMLIZA KAJALA USIKU, KISA..!
Imelda Mtema
Machozi ya furaha! Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja juzikati alijikuta akiangua kilio baada ya kufanyiwa ‘sapraizi’ na mastaa wenzake katika siku yake ya kuzaliwa. Tukio hilo lilichukua nafasi usiku wa Julai 22, mwaka huu nyumbani kwake Sinza Afrikasana jijini Dar ambapo akiwa hana hili wala lile, mastaa hao akiwemo Jacob Steven ‘JB’, Jennifer Kyaka ‘Odama’, Zuwena Mohammed...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jK0rdfkL-7E/U_fmkIuhq1I/AAAAAAAGBfg/OndY4gUkHIM/s72-c/MMGM3002.jpg)
Miss Temeke 2014 apatikana usiku huu,TCC Club Chang'ombe jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-jK0rdfkL-7E/U_fmkIuhq1I/AAAAAAAGBfg/OndY4gUkHIM/s1600/MMGM3002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VvRpsM7jSYs/U_fm8wKDiAI/AAAAAAAGBgA/P1lgmQnt2mA/s1600/MMGM3020.jpg)
Miss Temeke 2014,Sitti Mtemvu akiwa ni mwenye tabasamu zito mara baada ya kutwaa taji hilo usiku huu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-WcZp3e7zJ4g/U_fm9aYJcDI/AAAAAAAGBgE/-5ac9OFfJn4/s1600/MMGM2844.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ep*dLmCPR*zbgVQ6m78N612Fp*jQgPOexIa5tSU1J8TWaCghMhl0F98dy2FiamCyXpPG5*3Jm8KpIRcjQzMQhSkHe0NUiywj/wakali.gif?width=750)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-c7qW4p7Dr_c/UzAMJArTRFI/AAAAAAACeJE/upicg1yk9sA/s72-c/AfricanNight+(1).png)
SAFARI CLUB KESHO IJUMAA MAY MOSI NI USIKU MAALUM WA MUZIKI WA WAZEE
Karibu tukumbe enzi zile za White House Kimara muziki wa Kamanyola kucheza bila jasho, Marashi ya Pemba, King Kikii na nyingine nyingi enzi za rangi ya chungwa
FRIDAY NIGHT JAM @ CLUB SAFARI WASHINGTON, DC THE BEST AFRICAN SPOT IN DMV 4306 GEORGIA AVE, NW FROM 9PM-3AM COME AND MINGLE WITH YOUR FRIENDS MUSIC BY DJ LUKE
NO COVER CHARGEWazee tuzikumbuke enzi za Banda Beach Kigamboni
Karibuni sana Ijuma May MosiSafari Club
![](http://3.bp.blogspot.com/-c7qW4p7Dr_c/UzAMJArTRFI/AAAAAAACeJE/upicg1yk9sA/s1600/AfricanNight+(1).png)
NO COVER CHARGEWazee tuzikumbuke enzi za Banda Beach Kigamboni
Karibuni sana Ijuma May MosiSafari Club
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I5aUJzIH8ow/VViD6B4zH_I/AAAAAAAHXwg/gp4cbIPHaJ8/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
TRENI YA DELUXE KWENDA KIGOMA YAAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!
![](http://2.bp.blogspot.com/-I5aUJzIH8ow/VViD6B4zH_I/AAAAAAAHXwg/gp4cbIPHaJ8/s640/unnamed%2B(6).jpg)
Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa zinatokana na ajali mbili mfululizo za treni za mizigo.
Ajali ya kwanza ilitokea asubuhi saa 1:30 maeneo ya Stesheni ya Ngeta mkoa wa Pwani na ya pili saa 5 asubuhi maeneo ya Stesheni za Kinguruwila na Morogoro!
Ajali hizo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania