Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USIKU WA WAKALI DAR LIVE, IDD EL HAJI SIKU YA KESHO

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MADEE, WAKALI DANCERS WAFUNIKA DAR LIVE USIKU HUU

Msanii wa Hip Hop Hamad Ally ‘Madee’ akiwarusha mashabiki wa Dar Live katika shoo ya Idd Mosi usiku huu. Nyomi ikimpa Madee. Madee akifanya yake na mashabiki.…

 

10 years ago

GPL

WAKALI HAWA KUTIKISA PASAKA DAR LIVE KESHO

HATIMAYE! Ile siku iliyokuwa ikisubiriwa na mashabiki wengi wa burudani imewadia ambapo kesho Aprili, 5 (Sikukuu ya Pasaka) ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar mastaa wa muziki Bongo kama, Ali Kiba ‘Mwana Dar Live’, Isha Mashauzi pamoja na Msaga Sumu wanatarajiwa kutikisa. Ali Kiba akiupagawisha umati wa Dar Live Akizungumza na Mikito Nusunusu, mratibu wa burudani katika...

 

11 years ago

GPL

USIKU WA MNYAMA NA WANYAMA WATIKISA DAR LIVE SIKUKUU YA IDD PILI

Mwanamuziki nyota wa Bongo Fleva, Khalid Mohammed 'TID' akizikonga nyoyo za mashabiki wa Dar Live katika Usiku wa Mnyama na Wanyama. Mwanamuziki Jafarai akipagawisha mashabiki waliofurika katika Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live.…

 

11 years ago

GPL

11 years ago

GPL

NGWEA KUENZIWA NA BONGE LA SHOO DAR LIVE SIKU YA KESHO

Marehemu Albert Mangweha. BAADA ya kusubiriwa kwa hamu, kesho tarehe 8, Juni ndiyo siku ambayo mastaa kibao watadondoka katika jukwaa la Dar Live, Mbagala-Zakhem jijini Dar kupiga shoo kali ya kumuenzi legendary wa muziki wa Hip Hop Bongo, Albert Mangweha. Mratibu wa shoo hiyo, Luqman Maloto amesema listi itakayoshuka jukwaani itaongozwa na TID, Chid Benz, Mchizi Mox, Nako 2 Nako, Geez Mabovu, Dark Master, M2 The P, Josline,...

 

9 years ago

Vijimambo

SWALA YA IDD EL HAJI ILIVYOFANYIKA VIWANJA VYA MWEMBE YANGA TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Sheikh Abdu Kadri akiongoza swala ya Idd El Haji katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke Dar es Salaam leo asubuhi. Waislam wa Tanzania leo waliungana na wenzao duniani kote kusherehekea Sikukuu ya Idd El Haji. Sheikh Nurudin Kishki alitohotuba baada ya swala hiyo. Sheikh  Othman Dishi akitoa maelekezo kabla ya kuanza kwa swala hiyo. Waumini wa dini ya kiislam wakiwa katika swala.
 Wanawake na watoto wakiwa kwenye swala hiyo. Mazuria ya kuswalia yakitandikwa kabla ya kuanza ibada. Hapa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani