Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zamaradi Mtetema: Ukitaka Kuchukiwa Duniani we Kuwa Mkweli Tu…

Ukitaka kuchukiwa Duniani we KUWA MKWELI TU!!! kuwa mkweli kwa rafiki zako, kuwa mkweli kwa ndugu zako kuwa mkweli kwa wanaokuzunguka kuwa mkweli kwa jamii... mtu akikukosea mwambie kiroho safi, kitu kikikuuma ongea, kama kitu hujapenda ongea.. unaona shogaako akichemsha kitu mchane na kumuelekeza.. nk utachukiwa mpaka basi na utapewa maneno kama kimbelembele, mjuaji, mi sikipendi, ye ananjifanya hakosei... n.k


Na ukitaka kupendwa na kila mtu Duniani na wengi wawe wako we SNITCH TU.. njia...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Andiko Hili la Zamaradi Mtetema Lawagusa Wengi

MAISHA NI SAFARI na lazima WOTE tufike.. haijalishi kwa njia gani sababu kila mtu ana njia yake ya kupita ili kukamilisha safari hii.. kumbuka njia hazifanani sababu kila mtu ana MWISHO WAKE tofauti, hivyo katika hii safari unatakiwa kuwa makini na kuangalia NJIA YAKO TU na sio kuwa na wasiwasi na njia za wengine ama kujaribu kupita/Kuiga njia walizopita wengine..kufanya hivyo Hakutafanya ufike unapotakiwa kufika (kwako) ila utajikuta umefika kwa WENGINE ambako si kwako mwisho wa siku...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dinah Marious: Sina Ugomvi na Zamaradi Mtetema

Aliekuwa mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena kinachorushwa na redio Clouds FM, Dinah Marious mbali na kuelezea kile kinachoendelea kati yake na  uongozi wa redio hiyo, Dinah ameweka wazi kuwa hana ugomvi wowote na mtangazaji mwenzie, Zamaradi Mtetema.

Dinah kupitia ukurasa wake mtandaoni alianza kwa kuelezea hali halisi kati yake na mwajiri wake.

"Katika haya maisha hamna kitu kibaya kama kumuonea na kumnyanyasa mtu ambaye hana hatia.Kwa kutumia cheo,madaraka,nguvu na nafasi uliyonayo...

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Wema Atoa FACT 5 Za Ukweli Kuhusu Zamaradi Mtetema

Mara baada ya mtayarishaji na mtangazaji wa kipindi cha maswala filamu nichini cha TAKE ONE, Zamaradi Mtetema kuweka bandiko mtandaoni, akiwatata mashabiki na wapenzi wake, wataje mambo matano ambayo niyaukweli kuhusu yeye Zamaradi kwa jinsi wanavyo muona na atatoa zawadi kwa yule atakae patia.

Bandiko lilisema;

"If someone managed kunitajia hata FACT 5 about me za ukweli kulingana na unavyoniona... nna zawadi yako kubwa and I AM SERIOUS.... Unahisi nikoje!!? only 5 facts then ntasema nani...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli aendelea kuwa mjadala duniani

Ndani ya mwezi mmoja wa kwanza kazini, Rais John Magufuli kashika kila kona.

 

10 years ago

CloudsFM

NJOMBE KUWA MWENYEJI KITAIFA, SIKU YA UKIMWI DUNIANI

UKIWA unaendelea kuongoza kitaifa kwa kuwa na kasi kubwa ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), mkoa wa Njombe utakuwa mwenyeji kitaifa wa maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani, ambayo hufanyika Desemba 1, kila mwaka.
Tume ya Kudhibiti Ukimwi (Tacaids), imesema kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu imelenga kutoa msukumo wa utekelezaji wa mikakati ya kudhibiti Ukimwi.

Mwenyekiti Mtendaji wa Tacaids, Dk. Fatma Mrisho, alisema kauli mbiu hiyo pia inalenga kudhibiti...

 

11 years ago

GPL

SINGAPORE WATAJWA KUWA MJI GHALI ZAIDI DUNIANI

Taswira ya mji wa Singapore. MJI wa Singapore umetajwa kuwa mji ghali zaidi duniani kwa mwaka 2014 na kuipiku miji mingine 130 kwa mujibu wa taarifa ya Economist Intelligence Unit (EIU). Nguvu ya sarafu ya mji huo ikiwa ni pamoja na gharama kubwa ya uendeshaji magari na kuongezeka kwa malipo ya huduma za umma kumechangia Singapore kuwa juu ya miji mingine. Nguvu ya sarafu ya mji huo ikiwa ni pamoja na gharama kubwa ya uendeshaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Athari za urani; nani mkweli?

Wakati kampuni ya Mantra Resources Tanzania Limited (MTRL) ikiwa katika hatua za mwisho za ukamilishaji wa uchimbaji wa urani katika mradi wake wa Mkuju huko wilayani Namtumbo wadau wa madini na mazingira wameiasa serikali kutoruhusu uchimbaji mpaka pale itakapotoa elimu ya kutosha kwa wananchi dhidi ya madhara ya uchimbaji huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Mkweli: Ugonjwa wa figo unatibika

MABADILIKO ya tabia nchi na kukithiri kwa matumizi ya vyakula vinavyozalishwa kwenye viwanda mbalimbali ndani na nje ya nchi, kumechangia kwa kiasi kikubwa kuibuka kwa magonjwa mbalimbali ya binadamu na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani