Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Athari za urani; nani mkweli?

Wakati kampuni ya Mantra Resources Tanzania Limited (MTRL) ikiwa katika hatua za mwisho za ukamilishaji wa uchimbaji wa urani katika mradi wake wa Mkuju huko wilayani Namtumbo wadau wa madini na mazingira wameiasa serikali kutoruhusu uchimbaji mpaka pale itakapotoa elimu ya kutosha kwa wananchi dhidi ya madhara ya uchimbaji huo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Mkweli: Ugonjwa wa figo unatibika

MABADILIKO ya tabia nchi na kukithiri kwa matumizi ya vyakula vinavyozalishwa kwenye viwanda mbalimbali ndani na nje ya nchi, kumechangia kwa kiasi kikubwa kuibuka kwa magonjwa mbalimbali ya binadamu na...

 

11 years ago

Mwananchi

Lembeli ataka Watanzania waamue mkweli

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli amesema anawaachia Watanzania waamue mkweli kati ya kamati yake na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mengi asema Profesa Muhongo siyo mkweli

>Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi amesema kauli zinazotolewa na  Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo dhidi yake kuhusu uwekezaji katika sekta ya gesi nchini hazina ukweli wowote.

 

10 years ago

Mwananchi

Nassari, Msigwa wamtuhumu Sitta kwa kutokuwa mkweli

Siku moja baada ya Mwenyekiti wa lililokuwa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kusema hakuwahi kukaa na kuuahidi upinzani serikali tatu, Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari ameibuka na kumtuhumu Sitta kuwa siyo mkweli

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kama Warioba si mkweli, kwa nini afanyiwe fujo?

KAMA anachosema Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, si kweli, kwa nini wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamfanyie fujo na kumpiga, wakati wao walipojadili...

 

10 years ago

Bongo Movies

Zamaradi Mtetema: Ukitaka Kuchukiwa Duniani we Kuwa Mkweli Tu…

Ukitaka kuchukiwa Duniani we KUWA MKWELI TU!!! kuwa mkweli kwa rafiki zako, kuwa mkweli kwa ndugu zako kuwa mkweli kwa wanaokuzunguka kuwa mkweli kwa jamii... mtu akikukosea mwambie kiroho safi, kitu kikikuuma ongea, kama kitu hujapenda ongea.. unaona shogaako akichemsha kitu mchane na kumuelekeza.. nk utachukiwa mpaka basi na utapewa maneno kama kimbelembele, mjuaji, mi sikipendi, ye ananjifanya hakosei... n.k


Na ukitaka kupendwa na kila mtu Duniani na wengi wawe wako we SNITCH TU.. njia...

 

11 years ago

Habarileo

Wanasiasa waonywa kuhusu urani

WANASIASA wametakiwa kuzingatia utafiti na ushauri wa kitaalamu, kabla ya kuruhusu kuanzishwa kwa migodi ya uchimbaji wa madini ya urani, yaliyogundulika katika maeneo mbalimbali nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali ieleze madhara ya Urani’

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimeitaka serikali kutoa elimu zaidi kuhusu madhara kwa afya na mazingira yatokanayo na uchimbaji wa madini ya Urani badala ya kuelekeza nguvu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani