Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kama Warioba si mkweli, kwa nini afanyiwe fujo?

KAMA anachosema Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, si kweli, kwa nini wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamfanyie fujo na kumpiga, wakati wao walipojadili...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

NATOA HOJA : Kama vipi kocha wa Taifa Stars afanyiwe haya

Naingia ulingoni tena katika kona ya hoja, nikiwa na machache, ninataka kuyasema. Ukweli ni kwamba leo ninataka kumzungumzia kocha wa timu ya taifa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA: Serikali ijitathmini Warioba kufanyiwa fujo

BARAZA la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), mkoani Morogoro, limeitaka serikali na vyombo vyake vya dola nchini kujitathimini juu ya utendaji wake kutokana na kufumbia macho kufanyiwa fujo aliyekuwa Mwenyekiti wa...

 

9 years ago

Global Publishers

Kwa nini mchungane kama mbuzi? jifunze!

CoupleinBed_intimacy-660x439
NI Jumamosi nyingine tunakutana hapa kuweza kupeana darasa huru la mahaba. Hapa huwa tunajadili pamoja mada mbalimbali ambazo kimsingi zinaweza kuwa changamoto kwa wengine lakini kupitia wao tunajifunza pamoja.

Bila kupoteza muda, wiki hii tunajadili mada iliyopo mezani. Usaliti unauma. Hakuna ambaye atafurahia pindi asikiapo mwenzake amemsaliti. Ndiyo maana wapendanao hutumia nguvu nyingi sana kuhakikisha tu mwenzake hamsaliti.

Wapo ambao wanadiriki hata kuwawekea ulinzi wenza wao ili...

 

10 years ago

Mwananchi

Nassari, Msigwa wamtuhumu Sitta kwa kutokuwa mkweli

Siku moja baada ya Mwenyekiti wa lililokuwa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kusema hakuwahi kukaa na kuuahidi upinzani serikali tatu, Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari ameibuka na kumtuhumu Sitta kuwa siyo mkweli

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kama kuna waganga wa soka makocha wa nini?

MBEYA City, moja ya timu ngeni zilizoonyesha kiwango cha kuvutia tangu kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara Agosti 24, mwaka jana, imekuwa tishio kubwa kwa timu nyingine zikiwemo kongwe za...

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA, KAMA STAREHE ZINAUA SUMU YA NINI?

Niaje joo…inakuwagaje machalii wa kona mbaya kwa fasi ya kitaa. Kwa pande ya huku ni msupa hatare masela wangu. Hopu mko poa tangu lasti wiki nilipowasanua dheni nikabonyea kwenye mbishe za kusaka doo. Ama nini? Basi barida! Kama vipi welikamu kwa jamvini tuanze kusebenza na mastori moo ya kitaa kama kawa kama dawa.
Bifoo sijazama kwenye kitu na boksi tupige kimya kwa sekunde bee kisha wote tuseme R.I.P kwa mzazi jembe...

 

10 years ago

GPL

JOHARI, CHUCHU HUU KAMA SIYO USHAMBA NI NINI?

NINAMFAHAMU Blandina Changula maarufu kama Johari, tokea akiwa underground wa maigizo katika kikundi cha Kaole, kabla hajapata jina linalomfanya kuwa mmoja wa wakongwe katika filamu Tanzania. Wakati ule akichipukia, alikuwa mmoja kati ya chipukizi waliokuwa wanaonyesha wazi kwamba watakuja kuwa waigizaji wazuri. Anapatia sehemu nyingi katika sanaa, lakini utampenda zaidi Johari akiigiza sehemu inayohitaji majonzi, au mtu...

 

11 years ago

GPL

JOHARI APIGA MITUNGI KWA FUJO

Stori: Shani Ramadhani
STAA wa kitambo kwenye filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amenaswa akipiga mitungi kwa sana ikiwa ni sehemu ya kufurahia uongozi mpya wa Klabu ya Bongo Movie Unity. Blandina Chagula ‘Johari’. Tukio hilo lilitokea wikiendi iliyopita katika Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni, Dar ambapo uchaguzi wa safu mpya ya uongozi wa klabu hiyo ulimalizika na matokeo kuwatangaza...

 

11 years ago

GPL

WABUNGE, NINI FAIDA YA RIPOTI YA MKAGUZI MKUU KAMA HAMFANYII KAZI?

Nianze kwa kumuomba Mungu atuzidishie amani katika nchi yetu huku akitupa afya njema ili tuweze kumtukuza na kumsifu daima kwa wema wake kwetu. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Bw. Ludovick Utouh. Baada ya kusema hayo niingie katika mada ya leo ambapo nitazungumzia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka wa fedha wa 2012/13 iliyofichua madudu ya ajabu, ambayo bila shaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani