BAVICHA: Serikali ijitathmini Warioba kufanyiwa fujo
BARAZA la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), mkoani Morogoro, limeitaka serikali na vyombo vyake vya dola nchini kujitathimini juu ya utendaji wake kutokana na kufumbia macho kufanyiwa fujo aliyekuwa Mwenyekiti wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Kama Warioba si mkweli, kwa nini afanyiwe fujo?
KAMA anachosema Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, si kweli, kwa nini wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamfanyie fujo na kumpiga, wakati wao walipojadili...
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
BAVICHA waivaa serikali
BARAZA la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Mendeleo (BAVICHA), limelaani kitendo cha wanafunzi wa darasa la saba kufaulu mitihani yao na kushindwa kupangiwa shule kwa ajili ya kuendelea na...
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
BAVICHA yamvaa Pinda uchaguzi serikali za mitaa
BARAZA la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), limeitaka Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa (Tamisemi), kutoa majibu ya haraka juu ya kuenguliwa kwa wagombea wa chama hicho katika uchaguzi wa...
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
CCM ijitathmini kwa tukio la Keisy
KITENDO cha Mjumbe wa Bunge la Maalum la Katiba, Ally Keisy kufichua madudu ya Kamati yake namba moja ya Bunge hilo, cha kuwalazimishwa kupiga kura bila akidi ya wajumbe kutimia,...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Warioba aitaabisha serikali
MZIMU wa kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji mstaafu, Joseph Warioba umeibukia tena bungeni baada ya Mbunge wa Rombo Joseph Selasini (CHADEMA) kuhoji kwanini ameondolewa walinzi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OhsI3CU_Y5c/Ux235a5zPSI/AAAAAAAFSuE/IWnWGvn9tag/s72-c/8+(1).jpg)
NEWS FLASH: UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA - TFF YAIOMBA RADHI SERIKALI, KULIPA HASARA ILIYOPATIKANA, YASEMA WANAOFANYA FUJO NA UHARIBIFU VIWANJANI KUKIONA
![](http://1.bp.blogspot.com/-OhsI3CU_Y5c/Ux235a5zPSI/AAAAAAAFSuE/IWnWGvn9tag/s1600/8+(1).jpg)
Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Uharibifu huo wa viti umesababisha hasara ya sh. milioni 15 kwa wamiliki wa uwanja huo ambao ni Serikali....
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Warioba: Serikali tatu si mzigo
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini, Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, ametetea muundo wa serikali tatu kuwa hauna gharama, tofauti na inavyotafsiriwa na wengi. Mbali na kutetea gharama...
11 years ago
Habarileo13 Feb
Warioba: Serikali mbili zinakubalika
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema muundo wa Muungano wa serikali mbili unawezekana, ilimradi kuwe na nchi moja.
11 years ago
Habarileo03 Jan
Warioba atetea mfumo wa serikali 3
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ametetea mfumo wa serikali tatu, ambazo umependekezwa kwenye Rasimu ya Katiba, kuwa utapunguza gharama za uendeshaji wa Serikali ya Muungano kuliko ilivyo sasa.