Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAVICHA: Serikali ijitathmini Warioba kufanyiwa fujo

BARAZA la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), mkoani Morogoro, limeitaka serikali na vyombo vyake vya dola nchini kujitathimini juu ya utendaji wake kutokana na kufumbia macho kufanyiwa fujo aliyekuwa Mwenyekiti wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Kama Warioba si mkweli, kwa nini afanyiwe fujo?

KAMA anachosema Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, si kweli, kwa nini wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamfanyie fujo na kumpiga, wakati wao walipojadili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA waivaa serikali

BARAZA la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Mendeleo (BAVICHA), limelaani kitendo cha wanafunzi wa darasa la saba kufaulu mitihani yao na kushindwa kupangiwa shule kwa ajili ya kuendelea na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA yamvaa Pinda uchaguzi serikali za mitaa

BARAZA la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), limeitaka Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa (Tamisemi), kutoa majibu ya haraka juu ya kuenguliwa kwa wagombea wa chama hicho katika uchaguzi wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM ijitathmini kwa tukio la Keisy

KITENDO cha Mjumbe wa Bunge la Maalum la Katiba, Ally Keisy kufichua madudu ya Kamati yake namba moja ya Bunge hilo, cha kuwalazimishwa kupiga kura bila akidi ya wajumbe kutimia,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Warioba aitaabisha serikali

MZIMU wa kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji mstaafu, Joseph Warioba umeibukia tena bungeni baada ya Mbunge wa Rombo Joseph Selasini (CHADEMA) kuhoji kwanini ameondolewa walinzi...

 

11 years ago

Michuzi

NEWS FLASH: UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA - TFF YAIOMBA RADHI SERIKALI, KULIPA HASARA ILIYOPATIKANA, YASEMA WANAOFANYA FUJO NA UHARIBIFU VIWANJANI KUKIONA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) tunalaani vikali fujo na uhabirifu wa mali unaofanywa na washabiki viwanjani wakati mechi mbalimbali zikiwemo zile za kimataifa na ligi za hapa nchini.
Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.  Uharibifu huo wa viti umesababisha hasara ya sh. milioni 15 kwa wamiliki wa uwanja huo ambao ni Serikali....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba: Serikali tatu si mzigo

MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini, Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, ametetea muundo wa serikali tatu kuwa hauna gharama, tofauti na inavyotafsiriwa na wengi. Mbali na kutetea gharama...

 

11 years ago

Habarileo

Warioba: Serikali mbili zinakubalika

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal akisalimiana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe baada ya kufungua Mkutano wa Tafakuri na Maridhiano kuelekea Katiba mpya uliohudhuriwa na viongozi wa dini na siasa Dar es Salaam jana. Waliokaa kuanzia kushoto ni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. (Picha na Fadhili Akida).MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema muundo wa Muungano wa serikali mbili unawezekana, ilimradi kuwe na nchi moja.

 

11 years ago

Habarileo

Warioba atetea mfumo wa serikali 3

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph WariobaMWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ametetea mfumo wa serikali tatu, ambazo umependekezwa kwenye Rasimu ya Katiba, kuwa utapunguza gharama za uendeshaji wa Serikali ya Muungano kuliko ilivyo sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani