Warioba aitaabisha serikali
MZIMU wa kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji mstaafu, Joseph Warioba umeibukia tena bungeni baada ya Mbunge wa Rombo Joseph Selasini (CHADEMA) kuhoji kwanini ameondolewa walinzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo13 Feb
Warioba: Serikali mbili zinakubalika
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema muundo wa Muungano wa serikali mbili unawezekana, ilimradi kuwe na nchi moja.
11 years ago
Habarileo03 Jan
Warioba atetea mfumo wa serikali 3
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ametetea mfumo wa serikali tatu, ambazo umependekezwa kwenye Rasimu ya Katiba, kuwa utapunguza gharama za uendeshaji wa Serikali ya Muungano kuliko ilivyo sasa.
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Warioba: Serikali tatu si mzigo
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini, Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, ametetea muundo wa serikali tatu kuwa hauna gharama, tofauti na inavyotafsiriwa na wengi. Mbali na kutetea gharama...
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Jaji Warioba aishangaa Serikali
11 years ago
Habarileo24 Jan
Bomani amtetea Warioba serikali tatu
JAJI mstaafu, Mark Bomani amemtetea Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kwa kusisitiza kuwa siyo mwanzilishi wa serikali tatu na kwamba amewasilisha mapendekezo yaliyopitishwa na wajumbe wa Tume hiyo. Bomani alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana.
11 years ago
Mwananchi02 Nov
Mwandosya: Alichokosea Warioba ni Serikali tatu tu
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Tume ya Warioba yaivua nguo serikali
JANA taifa lilisimama saa nne kwa Watanzania kuelekeza masikio na macho kwenye runinga kusikiliza ufafanuzi wa wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, juu ya upotoshaji wa viongozi waandamizi...
11 years ago
Mwananchi15 Jan
‘Warioba chanzo cha Serikali tatu’
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Serikali imejiaibisha kwa kumdhalilisha Warioba
SERIKALI imejiaibisha kwa kutoa madai dhidi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Sinde Warioba. Imemdhalilisha si yeye tu, bali wajumbe wa tume na Rais...