Tume ya Warioba yaivua nguo serikali
JANA taifa lilisimama saa nne kwa Watanzania kuelekeza masikio na macho kwenye runinga kusikiliza ufafanuzi wa wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, juu ya upotoshaji wa viongozi waandamizi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 May
UDA yaivua nguo serikali
SAKATA la umiliki wa Shirika la Usafiri jijini Dar es Salaam (UDA), limeiingiza serikali katika aibu ya mwaka, huku mawaziri na wabunge ‘wakivuana nguo’ bungeni. Hali hiyo iliyosababisha baadhi ya...
11 years ago
Mwananchi01 Apr
JK: Sikuidhalilisha Tume ya Warioba
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Mjumbe Tume ya Warioba alipuka
IMEELEZWA kuwa wanaoshinikiza serikali mbili katika uundwaji wa katiba ni sawa na wanyonyaji wa taifa. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Mjumbe aishambulia Tume ya Warioba
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Assumpta Mshama, ameishambulia Tume ya Mabadiliko ya Katiba na kusema kuwa licha ya usomi wa wajumbe waliopo, lakini wameandaa kitu ambacho kinataka kuwagawa Watanzania....
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Tume ya Warioba yavunjwa rasmi
HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete ameivunja rasmi Tume ya Mabadiliko ya Katiba, iliyokuwa chini ya Mwenyekiti Jaji Joseph Warioba. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana jijini Dar es Salaam na...
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Tume ya Warioba kushiriki mdahalo
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Ibara 28 za Tume ya Warioba zilizoondolewa
11 years ago
Habarileo19 Mar
Siri ya mapendekezo ya Tume ya Warioba
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, ametaja mambo manne yaliyoishawishi Tume yake kupendekeza Muungano wa serikali tatu. Mambo hayo ni Tanganyika kuvaa koti la Muungano, kuongezeka kwa mambo ya Muungano, mgongano wa Katiba, michango na gharama za Muungano na mgao wa mapato ambayo alisema yanahatarisha Muungano wa sasa wa serikali mbili.
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Bunge lajigeuza Tume ya Warioba