Mwandosya: Alichokosea Warioba ni Serikali tatu tu
Katiba inayopendekezwa tayari imekabidhiwa kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein, ikisubiri kupigiwa kura ya maoni mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Warioba: Serikali tatu si mzigo
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini, Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, ametetea muundo wa serikali tatu kuwa hauna gharama, tofauti na inavyotafsiriwa na wengi. Mbali na kutetea gharama...
11 years ago
Mwananchi15 Jan
‘Warioba chanzo cha Serikali tatu’
11 years ago
Habarileo24 Jan
Bomani amtetea Warioba serikali tatu
JAJI mstaafu, Mark Bomani amemtetea Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kwa kusisitiza kuwa siyo mwanzilishi wa serikali tatu na kwamba amewasilisha mapendekezo yaliyopitishwa na wajumbe wa Tume hiyo. Bomani alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana.
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Warioba: Hata Nyerere angebadili mawazo kuhusu Serikali tatu
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Mwandosya: Kumkejeli Warioba ilikuwa mbinu
10 years ago
Mtanzania28 May
Mwandosya kuchukua fomu ya urais Juni tatu
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, (Kazi Maalum), Profesa Mark Mwandosya, anatarajia kuchukua fomu kuwania urais Juni tatu mwaka huu.
Mwandosya ambaye tayari ametangaza kuacha kuwani ubunge katika Jimbo la Rungwe Mashariki, anakusudia kutangaza nia yake ya kusaka safari ya kuelekea Ikulu, Juni Mosi, mwaka huu.
Akizungumza na Mtanzania jana nje ya viwanja vya Bunge, Profesa Mwandosya alisema sababu zilizomsukuma kuwania urais, atazitaja Juni Mosi atakapotangaza nia mkoani...
10 years ago
Dewji Blog19 Jun
Prof Mwandosya; Mwaka 2005 nilikuwa wa tatu mwaka huu ikulu zamu yangu, ataka wagombea wenzake wasiogope kuelezwa maovu
![](http://lh3.googleusercontent.com/-UejVb5EwXPc/VYK19eciPLI/AAAAAAAB-B4/IWFAAe2Djhg/s640/blogger-image--442025607.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-oK4C43J87l0/VYK2GdT1urI/AAAAAAAB-CA/8LsqPxinRpE/s640/blogger-image-685183973.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-npatPrWyp9U/VYK3Q-yu3mI/AAAAAAAB-CI/eQGm0xPwytU/s640/blogger-image--1073419117.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Nak95vAOQ0A/VYK3hOgN1NI/AAAAAAAB-CQ/eevKioi1ZOI/s640/blogger-image-959981763.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Hf9TZ07wfEs/VYK3ovrYg8I/AAAAAAAB-CY/ykmqWdvwPYA/s640/blogger-image--1313195988.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Mwandosya anasua serikali kwa Mnyika
MBUNGE wa Rungwe Magharibi, Profesa Mark Mwandosya, amefanya maamuzi magumu ya kuinusuru Serikali ya Rais Jakaya Kikwete kuanguka bungeni. Mwandosya ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Kazi Maalumu,...