Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwandosya: Alichokosea Warioba ni Serikali tatu tu

Katiba inayopendekezwa tayari imekabidhiwa kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein, ikisubiri kupigiwa kura ya maoni mwakani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba: Serikali tatu si mzigo

MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini, Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, ametetea muundo wa serikali tatu kuwa hauna gharama, tofauti na inavyotafsiriwa na wengi. Mbali na kutetea gharama...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Warioba chanzo cha Serikali tatu’

Mwanasiasa mkongwe nchini, Peter Kisumo amesema haafiki mapendekezo yaliyomo katika rasimu ya pili ya Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano yanayopendekeza muundo wa Serikali tatu.

 

11 years ago

Habarileo

Bomani amtetea Warioba serikali tatu

JAJI mstaafu, Mark Bomani amemtetea Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kwa kusisitiza kuwa siyo mwanzilishi wa serikali tatu na kwamba amewasilisha mapendekezo yaliyopitishwa na wajumbe wa Tume hiyo. Bomani alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba: Hata Nyerere angebadili mawazo kuhusu Serikali tatu

>Kazi ya miezi 20 ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba kukusanya maoni ya Watanzania na kutoa Rasimu ya Katiba itakayojadiliwa katika Bunge la Katiba na baadaye wananchi kuipigia kura ya maoni ili iwe Katiba imekamilika.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]

Kati ya wananchi 38,000 waliotoa maoni yao kuhusu Muungano, 19,000 walizungumzia suala la muundo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwandosya: Kumkejeli Warioba ilikuwa mbinu

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais asiye na Wizara Maalumu, Profesa Mark Mwandosya amesema kutumia lugha ya kejeli dhidi ya mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ilikuwa mbinu ya kupata ushindi katika majadiliano wakati wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Mtanzania

Mwandosya kuchukua fomu ya urais Juni tatu

MwandosyaNa Mwandishi Wetu, Dodoma

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, (Kazi Maalum), Profesa Mark Mwandosya, anatarajia kuchukua fomu kuwania urais Juni tatu mwaka huu.

Mwandosya ambaye tayari ametangaza kuacha kuwani ubunge katika Jimbo la Rungwe Mashariki, anakusudia kutangaza nia yake ya kusaka safari ya kuelekea Ikulu, Juni Mosi, mwaka huu.

Akizungumza na Mtanzania jana nje ya viwanja vya Bunge, Profesa Mwandosya alisema sababu zilizomsukuma kuwania urais, atazitaja Juni Mosi atakapotangaza nia mkoani...

 

10 years ago

Dewji Blog

Prof Mwandosya; Mwaka 2005 nilikuwa wa tatu mwaka huu ikulu zamu yangu, ataka wagombea wenzake wasiogope kuelezwa maovu

Waziri asiye na Wizara maalum Prof Mark Mwandosya akiwapungua mkono baadhi ya wahudumu wa uwanja wa Ndege wa Nduli Iringa wakati akiondoka mkoani Iringa kuelekea mkoani Tabora kutafuta  wadhamini kwa ndege hiyo ya kukodi. Waziri Prof Mwandosya  akitafakari jambo. Dereva  wa gari la Prof Mwandosya  Iringa akipata picha ya kumbukumbu na kuagana na rubani wa ndege aliyokodi Waziri huyo. Wadhamini wa Prof Mwandosya  wakiagana na waziri huyo. Waziri Prof. Mwandosya  na mkewe akishuka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwandosya anasua serikali kwa Mnyika

MBUNGE wa Rungwe Magharibi, Profesa Mark Mwandosya, amefanya maamuzi magumu ya kuinusuru Serikali ya Rais Jakaya Kikwete kuanguka bungeni. Mwandosya ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Kazi Maalumu,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani