Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwandosya kuchukua fomu ya urais Juni tatu

MwandosyaNa Mwandishi Wetu, Dodoma

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, (Kazi Maalum), Profesa Mark Mwandosya, anatarajia kuchukua fomu kuwania urais Juni tatu mwaka huu.

Mwandosya ambaye tayari ametangaza kuacha kuwani ubunge katika Jimbo la Rungwe Mashariki, anakusudia kutangaza nia yake ya kusaka safari ya kuelekea Ikulu, Juni Mosi, mwaka huu.

Akizungumza na Mtanzania jana nje ya viwanja vya Bunge, Profesa Mwandosya alisema sababu zilizomsukuma kuwania urais, atazitaja Juni Mosi atakapotangaza nia mkoani...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NYALANDU KUCHUKUA FOMU ZA URAIS JUNI 7 MJINI DODOMA

Waziri wa mali asili  na utalii, Lazaro Nyarandu akiwa na waumini mbalimbali baada ya Ibada ya jumapili Jijini Arusha katika Kanisa la KKKT  Dayosisi ya Mjini Kati ambapo Waziri Nyarandu alitumia nafasi hiyo kutangaza rasmi siku atakayochukua fomu ya kuwania nafasi ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya kuwania Urais kupitia chama cha Mpindunzi .Waziri wa maliasili na utalii, Lazaro Nyarandu akibadilishana mawazo na Kada wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, James Ole Milya baada ya...

 

10 years ago

Habarileo

Nyalandu kuchukua fomu Juni 8

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu atahutubia wananchi mkoani Singida mwishoni mwa wiki hii, ikiwa ndio mwanzo wa kwenda kuchukua fomu za kugombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

Habarileo

Mwandosya arejesha fomu za urais

Profesa Mark MwandosyaWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya amerejesha fomu zake za kuwania kupeperusha bendera ya CCM katika nafasi ya urais.

 

10 years ago

Habarileo

Shein kuchukua fomu ya urais Zanzibar

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein leo anatarajiwa kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini hapa.

 

10 years ago

Mwananchi

ACT-Wazalendo kuchukua fomu urais leo

Mgombea urais wa Chama cha ACT- Wazalendo anatarajiwa kujulikana leo pale atakapojitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuwania nafasi hiyo katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

 

10 years ago

Vijimambo

Urais 2015: Mwanamke wa 5 ajitosa kuchukua fomu CCM


Mwananmke mwingine ambaye ni kada wa CCM, Ritta Ngowi amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama kuwania urais katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba mwaka huu.Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu jana makao makuu ya CCM mkoani Dodoma Ngowi alisema akifanikiwa kuwa rais ataanzisha kituo kikubwa cha kuwahudumia wastaafu, walemavu, wasiojiweza na vijana.
Kingine atakachofanya ni kuendeleza mazuri yaliyofanywa na marais waliopita, lakini zaidi akiweka mkazo kwenye masuala ya elimu na kukuza...

 

10 years ago

Michuzi

Makamba Kuchukua Fomu ya Urais Leo Mjini Dodoma

 MBUNGE wa jimbo la Bumbuli,mjumbe wa NEC na Naibu Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknologia, January Makamba Baada ya Kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Urais katika ukumbi wa mikunano wa Mlimani City jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Leo saa tano atachukua fomu ya kugombea urais Urais mwaka 2015  katika ofisi za makao makuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Mjini Dodoma.

 

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU NCHEMBA KUCHUKUA FOMU YA URAIS NDANI YA MASAA 12 YAJAYO

Mh:Mwigulu Nchemba,KIjana aliyetangaza nia ya Kuwania URAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siku chache zilizopita,Huku HOTUBA yake ikiacha Gumzo nchi Nzima.Hapo kesho anategemea Kuchukua Fomu ya Kuwania Urais Mwaka 2015.Tukio la KUCHUKUA FOMU litafanyika Mako Makuu ya CHAMA CHA MAPINDUZI,DODOMA kuanzia Majira ya saa 4:00 Asubuhi ya Tar.6.6.2015(Jumamosi).Tunakutakia kila raheli Mh:Mwigulu Nchemba katika Safari yako ya kuelekea Kuliongoza Taifa hili linalo-turn to Miaka 50 Ijayo. Kauli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani