Bomani amtetea Warioba serikali tatu
JAJI mstaafu, Mark Bomani amemtetea Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kwa kusisitiza kuwa siyo mwanzilishi wa serikali tatu na kwamba amewasilisha mapendekezo yaliyopitishwa na wajumbe wa Tume hiyo. Bomani alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Jaji Mark Bomani atetea Serikali tatu
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Warioba: Serikali tatu si mzigo
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini, Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, ametetea muundo wa serikali tatu kuwa hauna gharama, tofauti na inavyotafsiriwa na wengi. Mbali na kutetea gharama...
11 years ago
Mwananchi15 Jan
‘Warioba chanzo cha Serikali tatu’
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Mwandosya: Alichokosea Warioba ni Serikali tatu tu
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Warioba: Hata Nyerere angebadili mawazo kuhusu Serikali tatu
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Jaji Bomani awabeza wanaomlaumu Warioba
JAJI mstaafu Mark Bomani, ameeleza kushangazwa na kuhuzunishwa na kauli za baadhi ya viongozi, miongoni mwao wakiwamo anaowaheshimu kuhusu kupinga mapendekezo ya serikali tatu yaliyomo katika rasimu ya pili ya...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Jaji Bomani awajia juu mawakili wa serikali
MAWAKILI na wanasheria wa serikali ni wababaishaji wanaolipua kazi jambo linalosababisha serikali kushindwa kesi nyingi. Kwamba licha ya maandalizi mabovu, lipo suala la ubinadamu ambapo jaji au hakimu anaweza kuwa...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Jaji Bomani: Serikali imalizie mchakato wa Katiba Mpya