Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warioba atetea mfumo wa serikali 3

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph WariobaMWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ametetea mfumo wa serikali tatu, ambazo umependekezwa kwenye Rasimu ya Katiba, kuwa utapunguza gharama za uendeshaji wa Serikali ya Muungano kuliko ilivyo sasa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Jaji Mark Bomani atetea Serikali tatu

Jaji mstaafu, Mark Bomani, ametetea kuwepo kwa muundo wa Serikali tatu na kuwabeza wanaodai kuwa ni wa gharama kubwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Warioba aitaabisha serikali

MZIMU wa kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji mstaafu, Joseph Warioba umeibukia tena bungeni baada ya Mbunge wa Rombo Joseph Selasini (CHADEMA) kuhoji kwanini ameondolewa walinzi...

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Warioba aishangaa Serikali

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema waliokuwa wajumbe wa tume hiyo hawajawahi kudai malipo ya pensheni ya Sh200 milioni kama inavyodaiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba: Serikali tatu si mzigo

MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini, Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, ametetea muundo wa serikali tatu kuwa hauna gharama, tofauti na inavyotafsiriwa na wengi. Mbali na kutetea gharama...

 

11 years ago

Habarileo

Warioba: Serikali mbili zinakubalika

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal akisalimiana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe baada ya kufungua Mkutano wa Tafakuri na Maridhiano kuelekea Katiba mpya uliohudhuriwa na viongozi wa dini na siasa Dar es Salaam jana. Waliokaa kuanzia kushoto ni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. (Picha na Fadhili Akida).MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema muundo wa Muungano wa serikali mbili unawezekana, ilimradi kuwe na nchi moja.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali imejiaibisha kwa kumdhalilisha Warioba

SERIKALI imejiaibisha kwa kutoa madai dhidi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Sinde Warioba. Imemdhalilisha si yeye tu, bali wajumbe wa tume na Rais...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Warioba chanzo cha Serikali tatu’

Mwanasiasa mkongwe nchini, Peter Kisumo amesema haafiki mapendekezo yaliyomo katika rasimu ya pili ya Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano yanayopendekeza muundo wa Serikali tatu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwandosya: Alichokosea Warioba ni Serikali tatu tu

Katiba inayopendekezwa tayari imekabidhiwa kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein, ikisubiri kupigiwa kura ya maoni mwakani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tume ya Warioba yaivua nguo serikali

JANA taifa lilisimama saa nne kwa Watanzania kuelekeza masikio na macho kwenye runinga kusikiliza ufafanuzi wa wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, juu ya upotoshaji wa viongozi waandamizi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani