BAVICHA yamvaa Pinda uchaguzi serikali za mitaa
BARAZA la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), limeitaka Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa (Tamisemi), kutoa majibu ya haraka juu ya kuenguliwa kwa wagombea wa chama hicho katika uchaguzi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Pinda atahadharishwa uchaguzi Serikali za Mitaa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetoa tahadhari kwa mamlaka zinazohusika kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), kuhakikisha uchaguzi huo unakuwa huru na haki,...
11 years ago
Michuzi
TAMKO LA KIKUNDI KAZI CHA SERIKALI ZA MITAA CHA POLICY FORUM KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2014


11 years ago
Habarileo
Pinda- Uchaguzi mitaa unategemea Katiba mpya
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ambao unatarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu yanaendelea. Hata hivyo, amesema kwa kiasi kikubwa hatma ya uchaguzi huo, inategemea kukamilika kwa mchakato wa Katiba mpya.
11 years ago
Mwananchi01 Jul
Pinda: Ukawa imeuweka njiapanda uchaguzi mitaa
10 years ago
StarTV16 Dec
Uchaguzi serikali za mitaa, Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.
Na, Winifrida Ndunguru
Dar Es Salaam.
15 December 2014
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA: Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.
Serikali imekiri kuwepo kwa kasoro luluki katika uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika nchini kote Jumapili wiki hii likiwemo suala zima la mkanganyiko wa jina la mgombea kuonekana katika chama kingine.
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Hawa Ghasia, amesema kutokana na kasoro hizo ameitaka mikoa...
10 years ago
Michuzi
SERIKALI YAWASIMAMISHA WAKURUGENZI WALIOSHINDWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI leo imetangaza kuwasimamisha kazi Wakurugenzi watano (5) huku wengine wakipewa onyo kali katika utekelezaji wa majukumu yao.
Akithibitisha kusimamishwa kazi kwa Wakurugenzi hao,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Mh. Hawa Ghasia amesema kwamba Wakurugenzi hao wametenda makosa yanayowaondolea sifa za kuwa Wakurugenzi.
“Makosa yafuatayo ndio yanayopelekea Wakurugenzi hawa kusimamishwa;Kuchelewa kuandaa vifaa vya...
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Pinda kukutana na wadau Serikali za Mitaa
<p> WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ameahidi kukutana na wadau mbalimbali, ili kupitia Kanuni za Sheria ya Serikali za Mitaa kwa lengo la kutoa mapendekezo ya kuziboresha.</p> <p> Pinda alitoa ahadi...
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Kivumbi Uchaguzi Serikali za Mitaa
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Maajabu uchaguzi Serikali za Mitaa
Na Waandishi Wetu, Dar na Mwanza
HAYA ni maajabu. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya wapiga katika kituo cha Shule ya Msingi Mwenge, Kinondoni jijini Dar es Salaam kufika kituoni na kukuta majina yao yakionyesha tayari wamepiga kura.
Hali hiyo, ilisababisha kuibuka vurugu kubwa ambazo zilisababisha upigaji kura katika uchaguzi huo wa marudio, kusitishwa kwa muda.
Msimamizi wa uchaguzi katika kituo hicho, Nasoro Kichuma alisema uchaguzi huo ulianza vizuri, lakini kadrii muda ulivyozidi kwenda...