Pinda: Ukawa imeuweka njiapanda uchaguzi mitaa
>Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema hatima ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu utategemea uamuzi wa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurejea katika Bunge Maalumu kuipitisha Katiba Mpya kwa wakati.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Pinda atahadharishwa uchaguzi Serikali za Mitaa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetoa tahadhari kwa mamlaka zinazohusika kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), kuhakikisha uchaguzi huo unakuwa huru na haki,...
10 years ago
Habarileo05 Nov
Ukawa kushirikiana uchaguzi wa mitaa
VYAMA vya Siasa vinavyounda Umoja wa Katiba (Ukawa) vimesaini muongozo wa ushirikiano katika kugombea serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
BAVICHA yamvaa Pinda uchaguzi serikali za mitaa
BARAZA la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), limeitaka Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa (Tamisemi), kutoa majibu ya haraka juu ya kuenguliwa kwa wagombea wa chama hicho katika uchaguzi wa...
11 years ago
Habarileo![](http://www.habarileo.co.tz/images/Pindaz.jpg)
Pinda- Uchaguzi mitaa unategemea Katiba mpya
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ambao unatarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu yanaendelea. Hata hivyo, amesema kwa kiasi kikubwa hatma ya uchaguzi huo, inategemea kukamilika kwa mchakato wa Katiba mpya.
10 years ago
Habarileo27 Sep
Ukawa wajipanga uchaguzi Serikali za Mitaa
VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimehimizana kushirikiana na kuja na nguvu ya pamoja katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi11 Dec
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dsJAfIUpqeA/VFi7baNo3_I/AAAAAAAAMoA/eXmiHhPZOyQ/s72-c/hati.jpg)
UKAWA WASAINI MAKUBALIANO MAPYA, NI KUACHIANA KWENYE UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://3.bp.blogspot.com/-dsJAfIUpqeA/VFi7baNo3_I/AAAAAAAAMoA/eXmiHhPZOyQ/s640/hati.jpg)
10 years ago
Vijimambo12 Dec
CCM YAWASAMBARATISHA UKAWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA, YAZOA MAELFU YA VITI BILA KUPIGWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-p35l6gt1wTg/VIsCBs2DETI/AAAAAAAAsAc/09TD7AyRAG0/s1600/akisalimia%2Bwenyeji.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-Q6du6HJbrXg/VIsCMCd63OI/AAAAAAAAsA8/JjMf1_V_1bM/s1600/mashabiki%2Bwa%2Bccm.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-kbQPDHu-riY/VIsCKPhtnMI/AAAAAAAAsA0/rA1YktzWhOE/s1600/mashabiki%2Bwa%2Bccm%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iDc9LJBv3d0/VIsCDN96E9I/AAAAAAAAsAk/CN21fp_tq8U/s1600/baada%2Bya%2Bkuwasili.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-HNlvstP8i8Q/VIsCHo47LuI/AAAAAAAAsAs/f3HGzwRKlWg/s1600/lwiza%2Bmbutu%2Bna%2BTwanga%2Bwakikamua.jpg)
10 years ago
Michuzi12 Dec
CCM YAWASAMBARATISHA UKAWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA DAR, YAZOA MAELFU YA VITI BILA KUPIGWA