Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM ijitathmini kwa tukio la Keisy

KITENDO cha Mjumbe wa Bunge la Maalum la Katiba, Ally Keisy kufichua madudu ya Kamati yake namba moja ya Bunge hilo, cha kuwalazimishwa kupiga kura bila akidi ya wajumbe kutimia,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA: Serikali ijitathmini Warioba kufanyiwa fujo

BARAZA la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), mkoani Morogoro, limeitaka serikali na vyombo vyake vya dola nchini kujitathimini juu ya utendaji wake kutokana na kufumbia macho kufanyiwa fujo aliyekuwa Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Vijimambo

TUKIO ZIMA WAKATI DKT. MAGUFULI ACHAGULIWA KUWA MGOMBEA URAIS WA TANZANIA KUPITIA CCM

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Dkt. John Pombe Magufuli, baada ya kutangazwa kuwa Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, katika uchaguzi uliofanyika Jana Julai 11, 2015 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM (Dodoma Convition Centre), uliopo Mjini Dodoma. 
Dkt. Magufuli ameibuka mshindi kwa jumla ya kura 2104, wakati wapinzani wake, Balozi Amina Salun Ali akipata kura 253 na Dkt....

 

5 years ago

Michuzi

KUKAMATWA KWA MTUHUMIWA WA TUKIO LA MAUAJI.


Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia FESTO MADUHU [28 -30] Mbeba Mizigo @ Kuli na Mkazi wa Mtaa wa Benki Kabwe Jijini Mbeya kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake na kisha yeye mwenyewe kujaribu kujiua kwa kisu.
Ni kwamba mnamo tarehe 22/03/2020majira ya saa 09:00 Asubuhi huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo “NEGERO”iliyopo Mtaa wa Ilolo, Kata ya Ruanda, Tarafa ya Iyunga, Jijini Mbeya katika chumba namba 111 @ Victoria, Mwanamke mmoja aitwaye JESCA MICHAEL @ KUNGULU [28] Mhudumu...

 

10 years ago

Bongo Movies

TUKIO:Wapigwa na kuvuliwa nguo nyumbani kwa Wema

Nyumbani kwa  muigizaji wa filamu, Wema Sepetu, kumetokea tukio la kushangaza la watu wawili wanaodaiwa kuwa mafundi, kupigwa na kudhalilishwa kwa kuachwa uchi wakidaiwa kuhusika na wizi.

Wema akiwa ndani

Kwamujibu wa  Bongo5 ambao walizungumza jana na jirani wa Wema aliyetambulika kwa jina la Mama Steve, alisema tukio hilo lilitokea Ijumaa majira ya saa 5 asubuhi mpaka saa 9 jioni.

“Waliopigwa na kulazwa chini uchi wa mnyama ni mafundi ambao wanakujaga kila siku kumtengenezea Wema nyumba...

 

10 years ago

Michuzi

JEMBEKA FESTIVAL TUKIO LINALOSUBIRIWA KWA HAMU NA WAKAZI WA MWANZA


BOFYA HAPA KUONA WENGINE WATAKAOSHIRIKI KWENYE TAMASHA HILO

 

9 years ago

StarTV

Fahamu kiundani tukio la Familia kuteketea kwa moto Dar

Hii ni nyumba iliyoteketea kwa moto maeneo ya

Hii ni nyumba iliyoteketea kwa moto maeneo ya Buguruni Malapa .

 Watu tisa wa familia moja wameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huko Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam, mashuhuda wamethibitisha.

Tukio hilo la kusikitisha limetokea Mtaa wa Ulam ambapo, bibi, watoto watatu wa kike na wajukuu watano waliokuwa wanaishi nyumba namba 40 wameteketea.

Mashuhuda wa tukio hilo wameliambia Mwanannchi Digital kuwa baba wa familia hiyo amenusurika kwa kuwa hakuwepo nyumbani, na kwamba...

 

9 years ago

Michuzi

CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma: MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO

Chama cha Mapinduzi hakijaridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye baadhi ya majimbo. Katika majimbo manne kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa utaratibu wa uchaguzi, hasa katika kujumlisha matokeo, uliopelekea wabunge wa upinzani kutangazwa washindi. Majimbo hayo ni Iringa Mjini, Mikumi, Ndanda na Kawe. 
Wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo haya wamevuruga uchaguzi. Kutokana na utata uliokuwa umejitokeza wakati wa zoezi la kujumlisha kura, CCM iliomba kura zihesabiwe upya...

 

9 years ago

Michuzi

UFAFANUZI WA TUKIO LA KUANGUKA KWA JUKWAA LA JENGO LA NHFI MKOANI MBEYA

nh1 Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti akifafanua jambo wakati akizungumza waandishi wa habari kuhusu kuvunjika kwa uzio wa jengo la mfuko huo linalojengwa mkoani Mbeya kutokana na kukumbwa na mvua na upepo mkali, amesema jengo hilo liko salama kabisa ila uzio unaosaidia kuwakinga wajenzi ndiyo ulioanguka kutokana na upepo huokulia ni Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa NHIF,Bw Rehani Athuman. nh2Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti akifafanua jambo wakati...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ufafanuzi wa tukio la kuanguka kwa jukwaa la jengo la NHFI Mkoani Mbeya

nh1

Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti akifafanua jambo wakati akizungumza waandishi wa habari kuhusu kuvunjika kwa uzio wa jengo la mfuko huo linalojengwa mkoani Mbeya kutokana na kukumbwa na mvua na upepo mkali, amesema jengo hilo liko salama kabisa ila uzio unaosaidia kuwakinga wajenzi ndiyo ulioanguka kutokana na upepo huokulia ni Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa NHIF,Bw Rehani Athuman.

nh2

Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti akifafanua jambo wakati akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani