Ufafanuzi wa tukio la kuanguka kwa jukwaa la jengo la NHFI Mkoani Mbeya
Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti akifafanua jambo wakati akizungumza waandishi wa habari kuhusu kuvunjika kwa uzio wa jengo la mfuko huo linalojengwa mkoani Mbeya kutokana na kukumbwa na mvua na upepo mkali, amesema jengo hilo liko salama kabisa ila uzio unaosaidia kuwakinga wajenzi ndiyo ulioanguka kutokana na upepo huokulia ni Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa NHIF,Bw Rehani Athuman.
Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti akifafanua jambo wakati akizungumza...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi03 Nov
UFAFANUZI WA TUKIO LA KUANGUKA KWA JUKWAA LA JENGO LA NHFI MKOANI MBEYA
![nh1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/nh1.jpg)
![nh2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/nh2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog25 Aug
Kampuni ya China yakanusha kuhusika na kuanguka kwa jengo
Wananchi wakingalia jengo la gorofa lililoporomoka katika makutano ya mitaa ya Indira Gandhi na Asia jijini Dar es Salaam mwezi Machi mwaka 2013. (Picha na Maktaba).
Na Mwandishi wetu
Kampuni ya ujenzi ya CRJE kutoka China imekanusha vikali kuhusika na jengo la ghorofa lililoporomoka katika makutano ya mitaa ya Indira Gandhi na Asia jijini Dar es Salaam mwezi Machi mwaka 2013.
Taarifa iliyotolewa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana, inaeleza kuwa kampuni hiyo haikuwahi kushiriki...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ivj69U0teRTC33FoJpMPtR95BMETABF3J66FaYkMHgoiVCeXznZWTa9NAPYmyHPv6ohjSbcns6I0XJXO64ABn1RVwYFKA8X2/11.jpg)
AFARIKI BAADA YA KUANGUKA KATIKA JENGO LA BENKI JIJINI LONDON
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1JmUnR4Z2cE/VRnDbsKGSGI/AAAAAAAHOd8/Ik-DtqiZEco/s72-c/unnamedg.jpg)
UPDATES: TAARIFA YA NYONGEZA/UFAFANUZI YA TUKIO LA KULA NJAMA NA KUJARIBU KUMTOROSHA ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA AKIWA HOSPITALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-1JmUnR4Z2cE/VRnDbsKGSGI/AAAAAAAHOd8/Ik-DtqiZEco/s1600/unnamedg.jpg)
Ufafanuzu ni kama ifuatavyo:
Uchunguzi wa kina na wa kitaalam sasa umethibitisha kwamba silaha hiyo inamilikiwa kihalali na Askofu Josephat Gwajima. Kuhusu risasi 17 za Short Gun ni kwamba Askofu Gwajima anamiliki Bunduki...
10 years ago
Mwananchi21 Oct
‘Sitasahau tukio la moto wa Mbeya’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UeiAtiGk5fk4rvf8Z7vTV3kcbUu9vVokjG9xGJ2qxNifslAqtnyPKvAS-odOWkH9CfvGDS2o0S1ActC39L1XCjUZ629EYSKw/10251982_586501834829531_1982833495460983099_n.jpg?width=650)
UFAFANUZI WA MASUALA YA MBEYA CITY FOOTBALL CLUB
10 years ago
Vijimambo23 Dec
TPB yaendesha semina kwa wajasiriamali mkoani Mbeya
![Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Profesa Norman Sigallah (aliyesimama) akizungumza akifungua semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0121.jpg)
![Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Profesa Norman Sigallah akizungumza akifungua semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0095.jpg)
![Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta, Sabasaba Moshingi akizungumza katika semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_00451.jpg)
![Baadhi ya wajasiriamali wakiwa katika semina hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0019.jpg)