Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UFAFANUZI WA MASUALA YA MBEYA CITY FOOTBALL CLUB

Klabu ya Mbeya City Council Football Club leo 25/11/2014 inatoa ufafanuzi wa mbalimbali ikiwemo suala la utaratibu wa maslahi kwa watumishi wake (benchi la ufundi, wachezaji na watumishi wengine) na uwepo wa fedha za wadhamini katika klabu yetu.
Uamuzi wa kutoa taarifa hii umefikiwa baada ya vikao vya menejimenti na kamati ya fedha na utawala kufuatia taarifa mbalimbali zinazozalishwa kila siku juu ya klabu yetu toka katika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Mbeya City boss advocates strong football leadership

Mbeya City chairman, Musa Mapunda believes strong leadership coupled with well-articulated development plans are among the significant aspects that may attract sponsorship to football clubs in the country.

 

10 years ago

Michuzi

MBEYA CITY COUNCIL F.C INAKARIBISHA KAMPUNI ZENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI NA CLUB YETU.

Kazi zinazotangazwa ni kama ifutazo:
I.    Kuwa mwagizaji wa vifaa mbalimbali vya club
II.    Kuuza vifaa mbalimbali vya club
Zabuni hii inafuati utekelezaji wa club kutaka kukuza mapato yake ili
iweze kujijenga msingi imala ya mapato na hivyo kuiwezesha kuendesha
shughuli zake mbalimbali.

Mwombaji anatakiwa atimize masharti yafuatayo.
1. Awe na Leseni hai ya biashara husika
2. Awe amesajiliwa kama mlipa kodi
3. Maelezo ya kampuni yaani Company profile ikieleza aina ya kampuni au
biashara unayoifanya...

 

5 years ago

Michuzi

WIZARA MAMBO YA NJE YAMUITA KAIMU BALOZI WA MAREKANI HAPA NCHINI KUTOA UFAFANUZI WA MASUALA MBALIMBALI

 Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imemwita Dk. Imni Patterson, Kaimu Balozi wa  Ubalozi wa Marekani hapa nchini kwa lengo la kutoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali ambayo Ubalozi huo umekuwa ukiyaandika katika mitandao yake ya kijamii bila ya uthibitisho.
Kaimu Balozi huyo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, kwenye Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es...

 

10 years ago

TheCitizen

We must build on club football for us to excel

Tanzania Premier League clubs Young Africans and Azam FC might not win Africa’s club silverware this season, but their performance in continental competitions is worthy of praise.

 

9 years ago

Michuzi

Jürgen Klopp is the new manager of Liverpool Football Club


Jürgen Klopp has been unveiled as the new Reds manager, and has promised 'full throttle football' that is 'emotional, fast, strong and with a big heart.'Jürgen Klopp has been confirmed as the new manager of Liverpool Football Club.The German comes to Anfield after seven massively successful seasons in charge of Borussia Dortmund in the Bundesliga, and spoke exclusively to LFC TV before meeting the press at Anfield on Friday morning.Klopp is looking to instil a philosophy of 'full throttle'...

 

9 years ago

BBC

Sunderland bids to become Africa's favourite football club

How Sunderland is trying to become continent's favourite club

 

9 years ago

Michuzi

WAANGALIZI WA KIMATAIFA WA UCHAGUZI WAENDELEA KUPATA UFAFANUZI JUU YA MASUALA YANAYOHUSIANA NA VYAMA VYA SIASA NA UCHAGUZI.

 Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini . Jaji Francis S. K  Mutungi akizungumza na Waangalizi wa  uchaguzi Mkuu  kutoka Bunge la Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi hiyo jana Oktoba 21,2015. Baadhi ya Waangalizi wa Uchaguzi kutoka Bunge la Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)kushoto ni Msajili Msaidizi Usajili wa Vyama vya Siasa Bw. Sisty Nyahoza akielezea utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Msajili wa vyama vya Siasa ,...

 

5 years ago

TechRadar

Manchester United vs Club Brugge live stream: watch Europa League 2020 football online from anywhere

Manchester United vs Club Brugge live stream: watch Europa League 2020 football online from anywhere  TechRadarView Full coverage on Google News

 

11 years ago

GPL

AZAM FC WAKIPASHA MISULI KABLA YA KUWAKABILI MBEYA CITY JIJINI MBEYA

Wachezaji wa Azam FC wakipasha misuli ndani ya Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya muda mfupi kabla ya kukwaana na Mbeya City leo. (PICHA NA…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani