Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBEYA CITY COUNCIL F.C INAKARIBISHA KAMPUNI ZENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI NA CLUB YETU.

Kazi zinazotangazwa ni kama ifutazo:
I.    Kuwa mwagizaji wa vifaa mbalimbali vya club
II.    Kuuza vifaa mbalimbali vya club
Zabuni hii inafuati utekelezaji wa club kutaka kukuza mapato yake ili
iweze kujijenga msingi imala ya mapato na hivyo kuiwezesha kuendesha
shughuli zake mbalimbali.

Mwombaji anatakiwa atimize masharti yafuatayo.
1. Awe na Leseni hai ya biashara husika
2. Awe amesajiliwa kama mlipa kodi
3. Maelezo ya kampuni yaani Company profile ikieleza aina ya kampuni au
biashara unayoifanya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Sensa ya watu wenye uwezo wa kufanya kazi yaja

WANANCHi wa Mkoa wa Kusini Pemba wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika sensa ya kujua idadi ya watu wenye uwezo wa kufanya kazi nchini.

 

9 years ago

Bongo5

Kufanya kazi nzuri ndio siri ya mafanikio yetu — Navy Kenzo

Wasanii wanaounda kundi la Navy Kenzo, Nahreel na Aika wamesema hawajakutana na changamoto za kunyimwa msaada wa connection kutoka kwa wasanii wenzao kama wasanii wengine wanavyodai kukutana na changamoto hizo. Wakizungumza na Bongo5 kwa pamoja hivi karibuni, Aika alisema uwezo wao pamoja na juhudi, zimefanya wasaidiwe kiurahisi. “Sisi tulifanya kile kinachohitajika,” alisema Aika. “Tulienda the […]

 

10 years ago

GPL

UFAFANUZI WA MASUALA YA MBEYA CITY FOOTBALL CLUB

Klabu ya Mbeya City Council Football Club leo 25/11/2014 inatoa ufafanuzi wa mbalimbali ikiwemo suala la utaratibu wa maslahi kwa watumishi wake (benchi la ufundi, wachezaji na watumishi wengine) na uwepo wa fedha za wadhamini katika klabu yetu.
Uamuzi wa kutoa taarifa hii umefikiwa baada ya vikao vya menejimenti na kamati ya fedha na utawala kufuatia taarifa mbalimbali zinazozalishwa kila siku juu ya klabu yetu toka katika...

 

11 years ago

Michuzi

HAFLA YA KUFUNGA MAFUNZO YA WADADISI NA WAHARIRI WA MADODOSO YA UTAFITI WA WATU WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI WA MWAKA 2014

 Baadhi ya Wadadisi na Wahariri wa Madodoso ya Utafiti wa watu wenye uwezo wa kufanya kazi wa mwaka 2014 , katika ngazi ya Kanda ya Pwani na Kusini yenye Mikoa ya Mtwara , Lindi, Dar es Salaam , Pwani na Morogoro ambao walishiriki mafunzo ya wiki  tatu, mjini hapa , wakimsikiliza mgeni rasmi ( hayupo pichani) wakati wa kufunga mafunzo hayo  Baadhi ya Wadadisi na Wahariri wa Madodoso ya Utafiti wa watu wenye uwezo wa kufanya kazi wa mwaka 2014 , katika ngazi ya Kanda ya Pwani na Kusini...

 

11 years ago

Michuzi

JUST IN: KAMPUNI KUBWA ZA UJEZI ZA UTURUKI ZAVUTIWA KUFANYA KAZI TANZANIA

Kampuni kadhaa kutoka nchi ya Uturuki zimeanza kuingia Tanzania ili kushiriki katika kazi za ujenzi kwenye maeneo mbali mbali hapa nchini.  Kukua kwa sekta ya ujenzi kumekua ndiyo kivutio kikuu kilichozifanya kampuni hizo kuonyesha nia ya kufungua ofisi zao hapa nchini.   Wakizungumzi katika kikao na Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli walipomtembelea ofisini kwake, wawakilishi kutoka Kampuni Kampuni tatu tofauti wamempongeza Waziri huyo kwa jinsi anavyosimamia sekta hiyo ya...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA UBELGIJI YA TPF SAMBRE YAANZA KUFANYA KAZI TANZANIA

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa pili kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa kampuni ya ushauri ya TPF Basse Sambre baada kukutana nao leo ofisini kwake Brussels. Wa kwanza kulia ni Bwana. Stefan Pousset Mtendaji Mkuu wa Kampuni hiyo na wa kwanza kushoto ni Bwana Jerome Bestgen Meneja wa mauzo wa kampuni hiyo. Wa pili kulia ni Bwana Nyamtara Mukome afisa katika Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji. Wawakilshi hao walimweleza Balozi Kamala  kwamba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani