Sensa ya watu wenye uwezo wa kufanya kazi yaja
WANANCHi wa Mkoa wa Kusini Pemba wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika sensa ya kujua idadi ya watu wenye uwezo wa kufanya kazi nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S_aDV7Gr4YM/UvN0vw1qGrI/AAAAAAAFLLo/RC9Sevn7NuI/s72-c/unnamed+(53).jpg)
KAMISHNA WA SENSA ATOA SOMO KWA WADADISI NA WAHARIRI WA MADODOSO YA UTAFITI WA WATU WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI 2014 KUZINGATIA MAADILI NA WELEDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-S_aDV7Gr4YM/UvN0vw1qGrI/AAAAAAAFLLo/RC9Sevn7NuI/s1600/unnamed+(53).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KAOHuS9KJS0/UvN0v0WTmJI/AAAAAAAFLLs/5bpuPfZa-00/s1600/unnamed+(54).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-r3HQiCNJh3U/UvsuJ1cxFCI/AAAAAAAFMf4/0yK1oET-v6M/s72-c/unnamed+(91).jpg)
HAFLA YA KUFUNGA MAFUNZO YA WADADISI NA WAHARIRI WA MADODOSO YA UTAFITI WA WATU WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI WA MWAKA 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-r3HQiCNJh3U/UvsuJ1cxFCI/AAAAAAAFMf4/0yK1oET-v6M/s1600/unnamed+(91).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yipcnojKnIc/UvsuKHTKRMI/AAAAAAAFMf8/2lEeqD2qXco/s1600/unnamed+(94).jpg)
10 years ago
MichuziBODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI WANAPOTOA KANDARASI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
9 years ago
StarTV30 Nov
Watu wenye uwezo watakiwa kuisaidia Serikali Kupambana Na Umasikini
Watu wenye uwezo wa kifedha wameaswa kujitoa kuisaidia serikali katika kupambana na janga la umasikini nchini ikiwa pamoja na kuwainua kiuchumi baadhi ya wananchi wasiojiweza kimaisha.
Rai hiyo imetolewa katika hafla ya kuwatunuku shahada ya uzamivu baadhi ya watendaji wa serikali pamoja na Baadhi ya watu wanaofanya kazi kiroho iliyofanyika Jijini Mwanza.
Chuo cha Africa Graduate University, makao makuu yake nchini Sierra Leone limejikita mkoani Mwanza Kutunuku vyeti Vya heshima shahada ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-By94Gdp60V8/Va46iLsGBgI/AAAAAAAHq1w/jmzck44MbOM/s72-c/blogger-image-860968555.jpg)
MBEYA CITY COUNCIL F.C INAKARIBISHA KAMPUNI ZENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI NA CLUB YETU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-By94Gdp60V8/Va46iLsGBgI/AAAAAAAHq1w/jmzck44MbOM/s640/blogger-image-860968555.jpg)
I. Kuwa mwagizaji wa vifaa mbalimbali vya club
II. Kuuza vifaa mbalimbali vya club
Zabuni hii inafuati utekelezaji wa club kutaka kukuza mapato yake ili
iweze kujijenga msingi imala ya mapato na hivyo kuiwezesha kuendesha
shughuli zake mbalimbali.
Mwombaji anatakiwa atimize masharti yafuatayo.
1. Awe na Leseni hai ya biashara husika
2. Awe amesajiliwa kama mlipa kodi
3. Maelezo ya kampuni yaani Company profile ikieleza aina ya kampuni au
biashara unayoifanya...