KAMPUNI YA UBELGIJI YA TPF SAMBRE YAANZA KUFANYA KAZI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-9As_aE-v078/VATypqrnm6I/AAAAAAAGaks/z4361jKAUek/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa pili kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa kampuni ya ushauri ya TPF Basse Sambre baada kukutana nao leo ofisini kwake Brussels. Wa kwanza kulia ni Bwana. Stefan Pousset Mtendaji Mkuu wa Kampuni hiyo na wa kwanza kushoto ni Bwana Jerome Bestgen Meneja wa mauzo wa kampuni hiyo. Wa pili kulia ni Bwana Nyamtara Mukome afisa katika Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji. Wawakilshi hao walimweleza Balozi Kamala kwamba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gBpBKzuJkxg/UzWi99axNLI/AAAAAAAFXC0/1-e_p57UPL8/s72-c/unnamed+(58).jpg)
JUST IN: KAMPUNI KUBWA ZA UJEZI ZA UTURUKI ZAVUTIWA KUFANYA KAZI TANZANIA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uXIVumFF7qg/VkNMCfINl4I/AAAAAAAIFVA/xumeSkVkzBQ/s72-c/20151111060808.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-By94Gdp60V8/Va46iLsGBgI/AAAAAAAHq1w/jmzck44MbOM/s72-c/blogger-image-860968555.jpg)
MBEYA CITY COUNCIL F.C INAKARIBISHA KAMPUNI ZENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI NA CLUB YETU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-By94Gdp60V8/Va46iLsGBgI/AAAAAAAHq1w/jmzck44MbOM/s640/blogger-image-860968555.jpg)
I. Kuwa mwagizaji wa vifaa mbalimbali vya club
II. Kuuza vifaa mbalimbali vya club
Zabuni hii inafuati utekelezaji wa club kutaka kukuza mapato yake ili
iweze kujijenga msingi imala ya mapato na hivyo kuiwezesha kuendesha
shughuli zake mbalimbali.
Mwombaji anatakiwa atimize masharti yafuatayo.
1. Awe na Leseni hai ya biashara husika
2. Awe amesajiliwa kama mlipa kodi
3. Maelezo ya kampuni yaani Company profile ikieleza aina ya kampuni au
biashara unayoifanya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IsaeL-50nZM/VV5Dr1G1aYI/AAAAAAAHY6g/jLJ0psyC70Y/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
BALOZI KAMALA AMSHUKURU MZEE NYAMTARA MUKOME KWA KAZI NZURI ALIYOFANYA UBALOZI WA TANZANIA UBELGIJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-IsaeL-50nZM/VV5Dr1G1aYI/AAAAAAAHY6g/jLJ0psyC70Y/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
11 years ago
MichuziBALOZI WA TANZANIA UBELGIJI AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI LIEGE - UBELGIJI
10 years ago
CloudsFM24 Nov
SHILOLE KUFANYA SHOO UBELGIJI JUMAMOSI HII
Furaha ilishika nafasi pale mwanadada shilole alipowasili uwanja wa kimataifa wa ndege wa Zaventem jijini Brussel.
Msanii Shilole akiwa na furaha baada ya kupokelewa na wenyeji wake uwanja wa ndege wa kimataifa wa Zaventem jijini Brussel.
11 years ago
MichuziBALOZI KAMALA ATEMBELEA KAMPUNI YA TRACTEBEL ENGINEERING S.A. YA UBELGIJI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RGmKJuvW03Q/U346X4bWrQI/AAAAAAAFkj8/D64GozB_zAE/s72-c/unnamed+(29).jpg)
BALOZI KAMALA ATEMBELEA KIWANDA CHA KAMPUNI YA ABC UBELGIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-RGmKJuvW03Q/U346X4bWrQI/AAAAAAAFkj8/D64GozB_zAE/s1600/unnamed+(29).jpg)