Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAVICHA waivaa serikali

BARAZA la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Mendeleo (BAVICHA), limelaani kitendo cha wanafunzi wa darasa la saba kufaulu mitihani yao na kushindwa kupangiwa shule kwa ajili ya kuendelea na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA: Serikali ijitathmini Warioba kufanyiwa fujo

BARAZA la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), mkoani Morogoro, limeitaka serikali na vyombo vyake vya dola nchini kujitathimini juu ya utendaji wake kutokana na kufumbia macho kufanyiwa fujo aliyekuwa Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA yamvaa Pinda uchaguzi serikali za mitaa

BARAZA la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), limeitaka Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa (Tamisemi), kutoa majibu ya haraka juu ya kuenguliwa kwa wagombea wa chama hicho katika uchaguzi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU: Chaso waivaa NEC

>Shirikisho la Wanafunzi Wanachadema wa Vyuo Vikuu (Chaso), limeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kueleza utaratibu wa kuwaandikisha wanafunzi katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ili nao wapate fursa ya kushiriki Uchaguzi Mkuu ujao.

 

11 years ago

Habarileo

Wajumbe Bunge la Katiba waivaa Tume ya Warioba

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wamewajia juu waliokuwa Wajumbe wa Kamati ya Kukusanya Maoni ya Katiba wakidai kuwa kazi yao ilishaisha, hivyo kuendelea kujadili masuala kuhusu Rasimu ya Katiba si sahihi.

 

11 years ago

Mwananchi

Azam waivaa Ferraviario ndani Azam Complex

Matajiri wa Chamazi, Azam leo wataweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza ya Tanzania kucheza mechi ya kimataifa kwenye uwanja wake watakapowakaribisha Ferraviario Da Beira kwenye uwanja wa Azam Complex  katika mchezo wa awali Kombe la Shirikisho CAF.

 

11 years ago

Dewji Blog

Uchaguzi wa BAVICHA watangazwa

JOHN HECHE BAVICHA KIKAO CHA KAMATI UTENDAJI BAVICHA PIX NO 1

Mwenyekiti wa Taifa, Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA), John Heche.(Picha na Maktaba)

Na Mwandishi wetu

Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), John Heche, ametangaza kutogombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Septemba 10, mwaka huu kutokana na umri wake kuwa mkubwa.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, Heche alisema anaheshimu Katiba ya chama hicho ambapo kutokana na umri wake kuvuka miaka 30, hatagombea tena nafasi...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

BAVICHA WATOA TAMKO

Katibu wa uenezi wa Baraza hilo la vijana BAVICHA Taifa Bwana EDWARD SIMBEYE akizungumza na wanahabari mapema leo juu ya hali ya mauaji ya mwenyekiti wa chama hicho mkoani Geita ALPHONCE MAWAZO na hatua ambazo watazichukua Na Exaud Msaka HabariBaraza la vijana la chama cha Demkocrasia na maendeleo chadema BAVICHA wametoa siku tatu kwa jeshi la polisi nchini kumwachia Mwenyekiti wa baraza

 

10 years ago

Mwananchi

Bavicha wakesha wakichaguana

>Ni mnyukano wa vuta nikuvute. Hali hiyo ilijidhihirisha juzi na jana katika uchaguzi mkuu wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha), uliomalizika katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam kwa Paschal Patrobas kuibuka mshindi wa nafasi ya uenyekiti.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA kuwasaidia waendesha bodaboda

BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), limeahidi kuwasaidia waendesha bodaboda waliozuiwa kufanya shughuli zao katikati ya Jiji la Dar es Salaam. Wiki chache zilizopita, Serikali ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani