BAVICHA WATOA TAMKO
Katibu wa uenezi wa Baraza hilo la vijana BAVICHA Taifa Bwana EDWARD SIMBEYE akizungumza na wanahabari mapema leo juu ya hali ya mauaji ya mwenyekiti wa chama hicho mkoani Geita ALPHONCE MAWAZO na hatua ambazo watazichukua Na Exaud Msaka HabariBaraza la vijana la chama cha Demkocrasia na maendeleo chadema BAVICHA wametoa siku tatu kwa jeshi la polisi nchini kumwachia Mwenyekiti wa baraza
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Bavicha Moro watoa tamko Jeshi la Polisi
10 years ago
GPLBAVICHA WATOA TAMKO JUU YA DAFTARI LA WAPIGA KURA
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
BAVICHA watoa misaada Mwananyamala
BARAZA la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), limefanya kazi za kijamii ikiwemo usafi wa mazingira na kutoa msaada wa vifaa tiba mbalimbali kwenye wodi za wazazi na watoto katika hospitali ya...
9 years ago
Global Publishers29 Dec
CUF watoa tamko Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-cu_iEIq_wZo/VoJdI85EtJI/AAAAAAAAs5w/R-KdXiW1cCo/s1600/1.jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa habari, uenezi na mawasiliano kwa umma Ismail Jussa.
Kufuatia taarifa iliyotolewa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho iliyokutana Zanzibar juzi, tarehe 27 Desemba, 2015, waandishi wengi wa habari wametupigia simu wakitaka kujua Chama Cha Wananchi (CUF) kimepokea vipi taarifa ile.
Vikao vya CCM ni vikao vya CCM. Si kawaida yetu kutolea taarifa maamuzi ya vikao vya vyama vyengine. Hata hivyo,...
11 years ago
Mwananchi08 May
KKKT watoa tamko Kanisa la Mwanza
10 years ago
Mwananchi22 Feb
UKATILI: Liwale watoa tamko mauaji ya albino
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
BAWATA WATOA TAMKO VIFO VYA ALBINO
11 years ago
Mwananchi15 Jul
CCT watoa tamko zito kwa Rais Kikwete
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
UKAWA watoa tamko la kutokubaliana na matokeo ya Urais yanayotolewa na NEC
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa.
Ifuatayo ni taarifa aliyoisoma masaa machache yaliyopita katika mkutano wake na waandishi wa habari.
Ndugu waandishi wa habari;
Tumewaita hapa kuwaomba muwaeleze Watanzania wenzetu, jumuiya ya kimataifa na marafiki zetu wengine wa ndani na nje, kwamba hatukubaliani na matokeo ya uchaguzi mkuu wa rais, yanayoendelea kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),...