Kwa nini mchungane kama mbuzi? jifunze!
NI Jumamosi nyingine tunakutana hapa kuweza kupeana darasa huru la mahaba. Hapa huwa tunajadili pamoja mada mbalimbali ambazo kimsingi zinaweza kuwa changamoto kwa wengine lakini kupitia wao tunajifunza pamoja.
Bila kupoteza muda, wiki hii tunajadili mada iliyopo mezani. Usaliti unauma. Hakuna ambaye atafurahia pindi asikiapo mwenzake amemsaliti. Ndiyo maana wapendanao hutumia nguvu nyingi sana kuhakikisha tu mwenzake hamsaliti.
Wapo ambao wanadiriki hata kuwawekea ulinzi wenza wao ili...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Kama Warioba si mkweli, kwa nini afanyiwe fujo?
KAMA anachosema Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, si kweli, kwa nini wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamfanyie fujo na kumpiga, wakati wao walipojadili...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Kama kuna waganga wa soka makocha wa nini?
MBEYA City, moja ya timu ngeni zilizoonyesha kiwango cha kuvutia tangu kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara Agosti 24, mwaka jana, imekuwa tishio kubwa kwa timu nyingine zikiwemo kongwe za...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PLDamf7smpfv1Ta071HQfYbDVTv21dT9YpW2KVltZED*cSfkPl65GZ4gI1mJBhirAb9ptpK8*C1hq3tul0LEdJD/mpee.jpg)
OYA MASELA, KAMA STAREHE ZINAUA SUMU YA NINI?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH3yt-bwxjSjM*1MQyjWrRhOZa6C3jW1UVtFmUa9SV6WGnjwxFWZyWF1ETRjwmZAAjpw2k*reDMTA97bybvahBU5/MAMAWEMA.jpg?width=650)
JOHARI, CHUCHU HUU KAMA SIYO USHAMBA NI NINI?
10 years ago
Bongo Movies01 Apr
Jifunze Hili Kutoaka kwa Wastara
Kuna maisha flani hivi ayatakiwi kulazimishwa ukiona unaishi life style side A ikakukataa geuza side B coz ukipanga yako mungu anapanga yake na kuna miungu watu wanakupangia wao maisha ya kuishi namshukuru mungu na wazazi wangu walionileta duniani kiumbe mimi mbishi na mwenye akili za kujitosheleza nisiyekubali kushindwa na jambo wala kukatishwa tamaa na mtu au watu fulan ninachojua ni kusonga mbele tu na kubadili side mpka herufi ziishe......
By Wastara
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLQRe5aqHKv3e4oLs4oXe5k5z3MGFebY8oWE0fvE7Sui1EEDJS6xGeuQaeJONUfiDRoqKTpYhAV8w1T0oP-WZ-E/pasua.jpg)
WABUNGE, NINI FAIDA YA RIPOTI YA MKAGUZI MKUU KAMA HAMFANYII KAZI?
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cGBLHLXdjWM/VmbX9dOL8tI/AAAAAAAAwDs/dPkk37FV4jk/s72-c/IMG-20151208-WA0012.jpg)
pale mbuzi anapofia kwa muuza supu....
![](http://1.bp.blogspot.com/-cGBLHLXdjWM/VmbX9dOL8tI/AAAAAAAAwDs/dPkk37FV4jk/s640/IMG-20151208-WA0012.jpg)
11 years ago
Mwananchi02 Jul
UKATILI: Amfungia mtoto katika banda la mbuzi kwa miaka 10
11 years ago
GPLMBUZI WASABABISHA KERO KWA WAENDESHA MAGARI KAWE JIJINI DAR