Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Serikali ieleze madhara ya Urani’

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimeitaka serikali kutoa elimu zaidi kuhusu madhara kwa afya na mazingira yatokanayo na uchimbaji wa madini ya Urani badala ya kuelekeza nguvu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali yakosa Sh340 bil uchimbaji urani

>Tanzania imeanza vibaya usimamizi wa uwekezaji wa madini ya urani, baada ya kushindwa kesi mahakamani hivyo kukosa karibu Sh340 bilioni.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali- Simu za mkononi zina madhara

SERIKALI imewataka Watanzania kununua simu zenye viwango kwa kuwa utafiti uliofanywa na taasisi mbalimbali za afya duniani, umebaini kuwa mtumiaji akizungumza kwa simu kwa muda mrefu, anapata madhara.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATOA ELIMU KWA WACHIMBAJI WA DHAHABU JUU YA MADHARA YA MATUMIZI YA ZEBAKI ILI KULINDA AFYA ZAO

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Sima akiangalia hatua za uchakataji wa dhahabu kwa wachimbaji wadogo kijiji cha Sambaru wilayani Ikungi mkoani Singida ambapo aliwapa elimu kuhusu namna ya kujikinga na wanapotumia kemikali ya zebakia ambayo ina madhara kwa afya na mazingira. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Sima akizungumza na wachimbaji wadogo katika mgodi mdogo ulipo kijiji cha Sambaru wilayani Manyoni mkoani...

 

11 years ago

Mwananchi

Athari za urani; nani mkweli?

Wakati kampuni ya Mantra Resources Tanzania Limited (MTRL) ikiwa katika hatua za mwisho za ukamilishaji wa uchimbaji wa urani katika mradi wake wa Mkuju huko wilayani Namtumbo wadau wa madini na mazingira wameiasa serikali kutoruhusu uchimbaji mpaka pale itakapotoa elimu ya kutosha kwa wananchi dhidi ya madhara ya uchimbaji huo.

 

11 years ago

Habarileo

Wanasiasa waonywa kuhusu urani

WANASIASA wametakiwa kuzingatia utafiti na ushauri wa kitaalamu, kabla ya kuruhusu kuanzishwa kwa migodi ya uchimbaji wa madini ya urani, yaliyogundulika katika maeneo mbalimbali nchini.

 

9 years ago

Michuzi

TANZANIA YAJIANDAA VEMA NA USIMAMIZI WA URANI


 Picha mbali mbali za wajumbe na viongozi na wataalamu (washauri) kutoka shirika la Nguvu za Atomiki Duniani (IAEA) pamoja na wafanyakazi wa Tume ya nguvu za Atomiki Tanzania wakiwa katika semina ya juu ya usimamizi wa sheria na kanuni za usimamizi wa mionzi ya nyuklia Tanzania, iliyofanyika makao makuu ya Tume ya Mionzi Tanzania yaliyopo jijini Arusha. Picha na Yohana Challe.
NA; YOHANA CHALLE ARUSHA.TUME ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC), imesema kuwa imejiandaa vilivyo katika usimamizi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

MADINI: Anguko la bei latikisa uchimbaji wa urani

>Wakati Tanzania ikitarajia kuanza kufaidika na madini ya urani, huenda ndoto hiyo isitimie hivi karibuni kutokana na anguko kubwa la bei ya madini hayo katika soko la dunia.

 

11 years ago

Mwananchi

K’njaro, Tanga zaonyesha dalili za mafuta, urani

Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga, imeonyesha kuwa na matumani ya kuwa na utajiri mkubwa wa mafuta.

 

11 years ago

Mwananchi

Bora kipi kwa uchumi, urani au pori la Selous

Kipi ni bora kuendelea kuwa na Pori la Akiba la Selous ambalo ni uchumi endelevu au kuwa na mgodi wa madini ya urani ndani ya hifadhi ambao utaingiza mapato kwa muda mfupi na kusababisha athari za kimazingira ambazo ni endelevu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani