Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


K’njaro, Tanga zaonyesha dalili za mafuta, urani

Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga, imeonyesha kuwa na matumani ya kuwa na utajiri mkubwa wa mafuta.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI 2015 : Majimbo ya Kilindi, Mkinga na Muheza mkoani Tanga hayana dalili nzuri kwa upinzani

Jimbo la Kilindi lina jumla kata 20, vijiji 102 na vitongoji 615 na kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 kuna wakazi 236,833 wanaume ni 118,167 na wanawake 118,666 kukiwa na wastani wa watu watano katika kila kaya.

 

10 years ago

Habarileo

Mafuta kupita bandari Tanga

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati (EWURA), Felix NgamlagosiSERIKALI imesema inatarajia kuanza kutumia bandari ya Tanga katika kuingiza mafuta ili kupunguza msongamano na ucheleweshwaji wa upakuaji katika bandari ya Dar es Salaam pamoja na kuongeza ufanisi wa usafirishaji wa nishati hiyo.

 

10 years ago

GPL

LORI LA MAFUTA LAPATA AJALI MBAYA TANGA

lori la mafuta likiteketea kwa moto mara baada ya kugonga ngozo ya umeme huko Handeni ,Tanga. Wananchi wakishuhudia…

 

10 years ago

Michuzi

SIMBACHAWENE AKAGUA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI MAFUTA TANGA


 Waziri wa Nishati na Madini George Simbachawene (wa pili kushoto) akikagua miundombinu ya kuhifadhi mafuta katika Bohari ya Kampuni ya GBP ya Tanga.  Nyuma ya Waziri ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Said Magalula. Wengine kutoka kulia ni Meneja Mkuu wa PICL, Michael Mjinja, Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi, Hosea Mbise na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya GBP ya Tanga, Badar Masoud. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa GBP, Bohari hiyo ina uwezo wa kuhifadhi...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA BOHARI YA KUHIFADHI MAFUTA YA GBP MKOANI TANGA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Msimamizi wa Kituo cha kupokelea mafuta cha Kampuni ya GBP, wakati alipokuwa katika ziara yake ya kutembelea Jeti ya kupokelea mafuta na Bohari ya kuhifadhia mafuta ya kampuni hiyo, wakati alipokuwa katika ziara yake ya siku moja mkoani Tanga jana Juni 5, 2015.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiondoka katika eneo hilo baada ya kukagua...

 

10 years ago

Vijimambo

Picha zaonyesha uharibifu Nigeria

Picha za satelite zinazoonyesha uharibifu katika miiji ya Baga na Doron Baga Kaskazini ya Nigeria

Picha za Satelite za miji ya Nigeria ambayo imesahambuliwa na Boko Haram, zinaonyesha uharibifu mkubwa uliofanyika na kuzua hofu kwamba idadi kubwa ya watu wameuawa na wapiganaji hao.

Taarifa hii ni kwa mujibu wa shirika la Amnesty International.

Picha hizo zinaonyesha zaidi ya nyumba 3,700 zikiwa zimeharibiwa katika miji ya Baga na Doron Baga mwezi huu pekee.

Serikali ya Nigeria imekanusha madai...

 

11 years ago

BBCSwahili

MH370:'Picha zaonyesha mabaki baharini'

Malaysia imesema kuwa picha mpya za Satelite zimeonyesha vitu 122 baharini vinavyodhaniwa kuwa mabaki ya ndege yake iliyotoweka zaidi ya wiki mbili zilizopita.

 

11 years ago

GPL

PICHA ZAONYESHA MABAKI YA NDEGE ILIYOPOTEA BAHARINI

Picha ya Satelite ikionyesha kinachodhaniwa kuwa mabaki ya MH370. Waziri wa Ulinzi wa Malaysia ambaye pia ni  Kaimu waziri wa Usafirishaji, Hishammuddin Hussein akionyesha picha zinazodaiwa kuwa mabaki ya ndege iliyopotea.…

 

11 years ago

Habarileo

Wanasiasa waonywa kuhusu urani

WANASIASA wametakiwa kuzingatia utafiti na ushauri wa kitaalamu, kabla ya kuruhusu kuanzishwa kwa migodi ya uchimbaji wa madini ya urani, yaliyogundulika katika maeneo mbalimbali nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani