Picha zaonyesha uharibifu Nigeria
Picha za satelite zinazoonyesha uharibifu katika miiji ya Baga na Doron Baga Kaskazini ya Nigeria
Picha za Satelite za miji ya Nigeria ambayo imesahambuliwa na Boko Haram, zinaonyesha uharibifu mkubwa uliofanyika na kuzua hofu kwamba idadi kubwa ya watu wameuawa na wapiganaji hao.
Taarifa hii ni kwa mujibu wa shirika la Amnesty International.
Picha hizo zinaonyesha zaidi ya nyumba 3,700 zikiwa zimeharibiwa katika miji ya Baga na Doron Baga mwezi huu pekee.
Serikali ya Nigeria imekanusha madai...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
MH370:'Picha zaonyesha mabaki baharini'
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQJhIZnZGANP4SCl62Z8NbRKbbPnvZZnsIpwCCMlvhE*0gjv8Sb61s6NQek9JNCaq9Yi5cqpZcsQBR7LpVsmmStV/article25897231C93936900000578875_634x580.jpg?width=650)
PICHA ZAONYESHA MABAKI YA NDEGE ILIYOPOTEA BAHARINI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OhsI3CU_Y5c/Ux235a5zPSI/AAAAAAAFSuE/IWnWGvn9tag/s72-c/8+(1).jpg)
NEWS FLASH: UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA - TFF YAIOMBA RADHI SERIKALI, KULIPA HASARA ILIYOPATIKANA, YASEMA WANAOFANYA FUJO NA UHARIBIFU VIWANJANI KUKIONA
![](http://1.bp.blogspot.com/-OhsI3CU_Y5c/Ux235a5zPSI/AAAAAAAFSuE/IWnWGvn9tag/s1600/8+(1).jpg)
Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Uharibifu huo wa viti umesababisha hasara ya sh. milioni 15 kwa wamiliki wa uwanja huo ambao ni Serikali....
11 years ago
Mwananchi31 Dec
K’njaro, Tanga zaonyesha dalili za mafuta, urani
11 years ago
BBCSwahili02 May
Polisi Nigeria:Waomba picha za wanafunzi
9 years ago
Bongo518 Sep
Picha: Akothee wa Kenya afanya collabo na Flavour wa Nigeria
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Nigeria yatoa picha za washukiwa wakuu wa Boko Haram
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Watu wa Dar es Salaam walivyouanza mwaka na msanii wa Nigeria..(+Picha)
Ni usiku wa kuamkia January 1, 2016 ambapo mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva walikutana na kuenjoy muziki mzuri kutoka kwa msanii wa Nigeria, Tekno uliofanyika katika ukumbi wa King Solomon Dar es Salaam. Hizi ni baadhi ya picha za kutoka kwenye eneo hilo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? […]
The post Watu wa Dar es Salaam walivyouanza mwaka na msanii wa Nigeria..(+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XNtfzmrgWnU/VXw2bLnc1pI/AAAAAAAAJto/LTsIhT94Pyw/s72-c/1.png)
PICHA WAGOMBEA URAIS KUPITIA CCM WAKIWA KWA TB JOSHUA NIGERIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XNtfzmrgWnU/VXw2bLnc1pI/AAAAAAAAJto/LTsIhT94Pyw/s640/1.png)
Hon. Lowassa in 2012 at TB Joshua Church!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-6CRenwFnjuo/VXw2Ye1hP-I/AAAAAAAAJtc/EWqGG-8Kdu8/s640/2.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Fh-NT-wXWg/VXw2acPfuwI/AAAAAAAAJtk/L7eWiggLeV8/s640/3.png)