Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha zaonyesha uharibifu Nigeria

Picha za satelite zinazoonyesha uharibifu katika miiji ya Baga na Doron Baga Kaskazini ya Nigeria

Picha za Satelite za miji ya Nigeria ambayo imesahambuliwa na Boko Haram, zinaonyesha uharibifu mkubwa uliofanyika na kuzua hofu kwamba idadi kubwa ya watu wameuawa na wapiganaji hao.

Taarifa hii ni kwa mujibu wa shirika la Amnesty International.

Picha hizo zinaonyesha zaidi ya nyumba 3,700 zikiwa zimeharibiwa katika miji ya Baga na Doron Baga mwezi huu pekee.

Serikali ya Nigeria imekanusha madai...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

MH370:'Picha zaonyesha mabaki baharini'

Malaysia imesema kuwa picha mpya za Satelite zimeonyesha vitu 122 baharini vinavyodhaniwa kuwa mabaki ya ndege yake iliyotoweka zaidi ya wiki mbili zilizopita.

 

11 years ago

GPL

PICHA ZAONYESHA MABAKI YA NDEGE ILIYOPOTEA BAHARINI

Picha ya Satelite ikionyesha kinachodhaniwa kuwa mabaki ya MH370. Waziri wa Ulinzi wa Malaysia ambaye pia ni  Kaimu waziri wa Usafirishaji, Hishammuddin Hussein akionyesha picha zinazodaiwa kuwa mabaki ya ndege iliyopotea.…

 

11 years ago

Michuzi

NEWS FLASH: UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA - TFF YAIOMBA RADHI SERIKALI, KULIPA HASARA ILIYOPATIKANA, YASEMA WANAOFANYA FUJO NA UHARIBIFU VIWANJANI KUKIONA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) tunalaani vikali fujo na uhabirifu wa mali unaofanywa na washabiki viwanjani wakati mechi mbalimbali zikiwemo zile za kimataifa na ligi za hapa nchini.
Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.  Uharibifu huo wa viti umesababisha hasara ya sh. milioni 15 kwa wamiliki wa uwanja huo ambao ni Serikali....

 

11 years ago

Mwananchi

K’njaro, Tanga zaonyesha dalili za mafuta, urani

Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga, imeonyesha kuwa na matumani ya kuwa na utajiri mkubwa wa mafuta.

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi Nigeria:Waomba picha za wanafunzi

Polisi nchini Nigeria wamewataka wazazi wa wanafunzi wasichana waliotekwa kuwasilisha picha zao.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Akothee wa Kenya afanya collabo na Flavour wa Nigeria

Msanii wa Kenya, Akothee yupo nchini Nigeria ambako ameenda kujitangaza zaidi pamoja na kufanya kazi na wasanii wa huko. Akiwa huko Akothee amefanikiwa kutimiza moja ya ndoto zake kwa kufanya kazi na msanii ambaye ni role model wake, Mr Flavour. Kupitia Instagram ameshare picha akiwa studio na Flavour. Kwa mujibu wa Msetoea wimbo huo umefanywa […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria yatoa picha za washukiwa wakuu wa Boko Haram

Jeshi la Nigeria limetoa majina ya watu 100 ambao wanadaiwa kuwa viongozi katika kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Boko Haram.

 

9 years ago

MillardAyo

Watu wa Dar es Salaam walivyouanza mwaka na msanii wa Nigeria..(+Picha)

Ni usiku wa kuamkia January 1, 2016 ambapo mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva walikutana  na kuenjoy muziki mzuri kutoka kwa msanii wa Nigeria, Tekno uliofanyika katika ukumbi wa King Solomon Dar es Salaam. Hizi ni baadhi ya picha za kutoka kwenye eneo hilo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? […]

The post Watu wa Dar es Salaam walivyouanza mwaka na msanii wa Nigeria..(+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA WAGOMBEA URAIS KUPITIA CCM WAKIWA KWA TB JOSHUA NIGERIA


Hon. Lowassa in 2012 at TB Joshua Church!! Hon. Nchemba at TB Joshua Church in 2014Hon Magufuli with his family and Pastor TB Joshua(left

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani