Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Akothee wa Kenya afanya collabo na Flavour wa Nigeria

Msanii wa Kenya, Akothee yupo nchini Nigeria ambako ameenda kujitangaza zaidi pamoja na kufanya kazi na wasanii wa huko. Akiwa huko Akothee amefanikiwa kutimiza moja ya ndoto zake kwa kufanya kazi na msanii ambaye ni role model wake, Mr Flavour. Kupitia Instagram ameshare picha akiwa studio na Flavour. Kwa mujibu wa Msetoea wimbo huo umefanywa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Wizkid wa Nigeria afanya collabo na Rihanna

Msanii wa Nigeria Wizkid jana (July 16) ametimiza miaka 24, na miongoni mwa zawadi aliyoamua kuwapa mashabiki kwenye siku yake ya kuzaliwa ni habari njema ya kuwa amerekodi wimbo na ex wa Chris Brown, Rihanna. Akizungumza na The Beat FM ya Nigeria, Wizkid amesema wimbo huo utakuwepo katika album yake mpya. Baadhi ya mashabiki wa […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Akothee (Kenya) apanga kufanya remix na Black Coffee na kurekodi wimbo na Mafikizolo

Msanii wa Kenya, Akothee yupo nchini Afrika Kusini alikoenda kwa shughuli binafsi, biashara na muziki. Akothee akiwa kwenye mkutano na Mkurugenzi wa Black Mango Studio ambaye ni meneja wake wa Afrika Kusini Msanii huyo aliyekuja Tanzania mwezi uliopita, yupo kwenye mazungumzo na DJ maarufu wa Afrika Kusini, Black Coffee kufanya naye remix ya wimbo wake […]

 

11 years ago

Bongo5

Joh Makini afanya collabo na msanii wa kike wa Nigeria Chidinma, amwimbisha Kiswahili

Coke Studio ni project inayokutanisha wasanii mbalimbali wa Afrika ambao mbali na kupata nafasi ya kufahamiana lakini pia inawapa fursa ya kuweza kushirikiana kwa kufanya nyimbo pamoja na kutengeneza network mpya katika nchi wanazotoka. Mwamba wa Kaskazini mwaka huu ni miongoni mwa wasanii waliopata shavu hilo, na kwa sasa yupo jijini Nairobi alikosindikizwa na G-Nako. […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Dj D-Ommy wa Times FM afanya tour Kenya

DJ wa kituo cha Times FM, D-Ommy yupo nchini Kenya alikoenda kujitangaza zaidi. DJ D-Ommy (katikati) akiwa na crew ya Citizen TV akiwemo Willy M Tuva (mwisho kulia) na Fundi Frank (wa pili kulia) Ommy amesema lengo la ziara hiyo ni kuhakikisha kuwa mwaka huu ‘anavuka boda’ zaidi. DJ D-Ommy akihojiwa na Tuva Jumatatu hii […]

 

9 years ago

MillardAyo

Mr Flavour yupo nje ya Nigeria, lakini hizi ndio stori zilizoenea Nigeria kuhusu yeye …

December 27 zimenifikia headlines za mkali wa hit singles za Ashaw, Golibe na Sweetie Mr Flavour, asubuhi ya December 27 ameingia katika headlines kwao Nigeria, baada ya kuaminika kuwa staa huyo yupo katika mipango ya kufunga ndoa ya siri siku ya Jumatatu ya December 28. Flavour anatajwa kutaka kumuoa babymama wake wa kwanza Sandra Okagbue kwa […]

The post Mr Flavour yupo nje ya Nigeria, lakini hizi ndio stori zilizoenea Nigeria kuhusu yeye … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Bongo5

Picha za utengenezaji wa video mpya ya Akothee ‘Djele Djele’

Muimbaji wa Kenya, Akothee amemaliza kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Djele Djele’. Video ya wimbo huo itatoka January 2. Hizi ni picha za utengenezaji wa video hiyo.

 

9 years ago

Bongo5

Hatimaye Diamond afanya collabo na Ne-Yo, asema itakuwa ‘hit song’

Kile kilichosubiriwa kwa hamu na mashabiki toka Diamond na Ne-Yo wakutane Afrika Kusini kwenye tuzo za MAMA 2015 hatimaye kimetimia, ni collabo ya Diamond Platnumz na mwimbaji huyo wa R&B kutoka Marekani. Diamond kupitia ukurasa wake wa Instagram amemshukuru Ne-Yo baada ya kumaliza kurekodi wimbo huo. Katika picha aliyopost akiwa na Ne-Yo studio, pia anaonekana […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani