Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi Nigeria:Waomba picha za wanafunzi

Polisi nchini Nigeria wamewataka wazazi wa wanafunzi wasichana waliotekwa kuwasilisha picha zao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi walemavu waomba kuboreshiwa miundombinu

WANAFUNZI walemavu wa shule ya Msingi Kisosora mkoani hapa, wameiomba serikali kuboresha miundombinu ya mazingira ya shule hiyo iwe rafiki kulingana na uhitaji wao ili waweze kufanya vizuri katika mitihani...

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi 39,000 vyuo vikuu waomba mikopo

IKIWA zimebaki siku 10 kufungwa kwa shughuli ya kupokea maombi ya mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2014/2015, takribani wanafunzi 39,000 wameshatuma maombi yao kwa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB).

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge waomba ulinzi wa polisi

BAADHI ya wabunge wameitaka Serikali kuona umuhimu wa kuwawekea ulinzi wabunge na viongozi wengine wa Serikali bila upendeleo, kwa kuwa wanaishi katika maisha ya hofu na hatarishi.

 

9 years ago

Habarileo

Polisi Kanda Maalumu waomba utulivu

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema limejiandaa kikamilifu kulinda amani na usalama wa nchi katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi na wakati wa uchaguzi mkuu na kutoa onyo kwa wale watakaovuruga amani na usalama, kwani wakibainika watashughulikiwa kwa mujibu wa Sheria.

 

11 years ago

Habarileo

Wanachuo Hombolo waomba ajira Polisi

WANACHUO 600 wa Chuo cha Serikali za Mitaa cha Hombolo, Dodoma waliopata mafunzo ya Polisi Jamii na Ulinzi Shirikishi, wameliomba Jeshi la Polisi nchini kuangalia namna ya kuajiri wahitimu kutoka chuo hicho katika nafasi mbalimbali.

 

10 years ago

Mtanzania

Polisi waomba ushirikiano kukabili mauaji ya albino

Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu

Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam

MKURUGENZI wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu, amesema  vitendo vya mauaji ya  albino vimeanza kushamiri tena katika baadhi ya maeneo   nchini.

Amesema  kutokana na hali hiyo, jeshi la polisi limewaomba wananchi, asasi za raia, viongozi wa dini na wanasiasa kushirikiana nao  waweze kukamata mtandao wa watu wanaojihusisha na shughuli hizo na kuwachukulia hatua.

Alisema kuwa vitendo hivyo vinahusishwa moja...

 

10 years ago

Habarileo

CCM waomba polisi kupewa vitendea kazi

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na watendaji wa Serikali wilayani Kyerwa mkoani Kagera wameishauri na kuiomba Serikali kuboresha na kuongeza vitendea kazi ikiwemo magari ya Polisi kwa ajili ya kufanyia doria ili kudhibiti magendo ya rasilimali za nchi zinazovushwa na baadhi ya Watanzania wasiokuwa wazalendo.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi waomba CCTV Mji Mkongwe kukabili uhalifu

JESHI la Polisi Zanzibar limeitaka Serikali pamoja na taasisi binafsi sekta ya utalii kuangalia uwezekano wa kupatikana kwa huduma za kamera (CCTV) za kuchunguza matukio ya uhalifu katika maeneo ya Mji Mkongwe ili kupambana na vitendo hivyo ambavyo vinalipaka matope jina zuri la Zanzibar.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi Ilemela waomba kujengewa kituo cha polisi

Kufuatia matukio ya uhalifu kujitokeza mara kwa mara Kata ya Buswelu, wilayani Ilemela, mkoani Mwanza, baadhi ya wakazi wa eneo hilo wameitaka polisi kuwajengea kituo na kuimarisha doria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani