Wanafunzi walemavu waomba kuboreshiwa miundombinu
WANAFUNZI walemavu wa shule ya Msingi Kisosora mkoani hapa, wameiomba serikali kuboresha miundombinu ya mazingira ya shule hiyo iwe rafiki kulingana na uhitaji wao ili waweze kufanya vizuri katika mitihani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo24 Nov
Waomba miundombinu rafiki ya kusomea
SHIRIKA la Wanawake katika Sheria na Maendeleo barani Afrika (WiLDAF) na wadau mbalimbali wanaopinga ukatili wa kijinsia wameiomba serikali kuboresha miundombinu kwa watoto wa shule iwe rafiki ili kupunguza vitendo vya ukatili.
9 years ago
Habarileo15 Oct
Tenisi walemavu waomba msaada
TIMU ya taifa ya tenisi kwa upande wa walemavu, imewataka wadau mbalimbali kuwaunga mkono na kuwasaidia vifaa vya michezo waweze kutimiza malengo yao ya kufanya vizuri katika michuano mbalimbali.
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Walemavu wa ukoma Tanga waomba msaada
KAMBI ya wazee wenye ulemavu wa ukoma iliyopo Msufini Kata ya Ngomeni wilayani hapa, Mkoa wa Tanga inakabiliwa na changamoto ya uchakavu wa vitanda hali inayosababisha kulala chini. Wakizungumza na...
11 years ago
MichuziTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHAKIKISHA INAWEKA MIUNDOMBINU MIZURI KWA WALEMAVU.
Na John Gagarini, Kibaha.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi Nchini (NEC) imesema kuwa itahakikisha kuwa inaweka miundombinu mizuri kwa watu wenye ulemavu wakati wa uboreshaji wa zoezi la Daftari la Kudumu la Wapiga Kura litakalofanyika hivi karibuni.
Kutokana na umuhimu wa zoezi hilo Tume imejipanga kuhakikisha kila kundi ndani ya jamii ikiwemo ile ya walemavu wanashiriki kikamilifu zoezi hilo ambalo litaambatana na utoaji wa vitambulisho vipya vya wapiga kura vitakavyotumika kwenye wakati...
10 years ago
Dewji Blog08 Jan
Waomba kituo maalumu cha watoto walemavu Buhangija kusaidiwa zahanati
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Bi. Anne Rose Nyamubi mara baada ya kuwasili ofisini kwake kwa ajili ya mazungumzo kabla ya kuelekea kwenye kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum wakiwemo walemavu wa ngozi cha Buhangija Jumuishi kilichopo mkoani Shinyanga.
Na mwandishi wetu, Shinyanga
MKUU wa wilaya ya Shinyanga AnneRose Nyamubi...
10 years ago
GPLWAOMBA KITUO MAALUMU CHA WATOTO WALEMAVU BUHANGIJA KUSAIDIWA ZAHANATI
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
Miundombinu inawakimbiza wanafunzi wa utalii
UBOVU wa miundombinu na wataalam katika vyuo vya Utalii nchini, unachangia kuikosesha serikali mapato kutokana na wanafunzi kutoka mataifa mengine kushindwa kuja kusoma wakihofia ubora wa mafunzo unaotolewa. Kauli hiyo...
11 years ago
BBCSwahili02 May
Polisi Nigeria:Waomba picha za wanafunzi
11 years ago
Habarileo20 Jun
Wanafunzi 39,000 vyuo vikuu waomba mikopo
IKIWA zimebaki siku 10 kufungwa kwa shughuli ya kupokea maombi ya mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2014/2015, takribani wanafunzi 39,000 wameshatuma maombi yao kwa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB).