Miundombinu inawakimbiza wanafunzi wa utalii
UBOVU wa miundombinu na wataalam katika vyuo vya Utalii nchini, unachangia kuikosesha serikali mapato kutokana na wanafunzi kutoka mataifa mengine kushindwa kuja kusoma wakihofia ubora wa mafunzo unaotolewa. Kauli hiyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziDkt Kigwangalla aridhishwa na kasi ya ukarabati wa Miundombinu ya Utalii.
Mwandishi wetu NCAA.
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ameridhishwa na kasi ya ukarabati wa barabara za Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) zilizokuwa zimeathiriwa na mvua na kuwahakikishia wadau wa utalii kuwa eneo hilo liko salama kwa wageni kufanya utalii bila shida yoyote.
Dkt. Kigwangalla ametoa kauli hiyo wakati wa ziara yake ya kukagua utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya NCAA ambapo ametumia fursa hiyo kutembelea kreta ya Ngorongoro iliyokuwa na changamoto ya...
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Wanafunzi walemavu waomba kuboreshiwa miundombinu
WANAFUNZI walemavu wa shule ya Msingi Kisosora mkoani hapa, wameiomba serikali kuboresha miundombinu ya mazingira ya shule hiyo iwe rafiki kulingana na uhitaji wao ili waweze kufanya vizuri katika mitihani...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--3pgI-apyZI/VJAWJZaWlzI/AAAAAAAANzw/WAGp--vuI7A/s72-c/IMG-20141215-WA0005.jpg)
VETA WATAKIWA KUHAKIKISHA WANAANDAA WANAFUNZI WA HOTELI NA UTALII WENYE VIWANGO VYA KIMATAIFA.
Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Arumeru Nyerembe Munasa wakati akizindua baraza hilo jana ndani ya chuo cha hoteli na utalii cha VHTTI kilichopo nje kidogo ya jiji la Arusha .
Alisema kuwa kutokana na changamoto kubwa ya hoteli zetu kuajiri watu kutoka nje...
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wahamasisha utalii wa ndani kwa vitendo
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) wamefanya ziara ya siku mbili ya kitalii katika hifadhi ya taifa ya Saadani pamoja na sehemu ya kihistoria ya Kaole iliyopo Bagamoyo ikiwa ni sehemu ya kujifunza pamoja na kuhamasisha utalii wa ndani.
Wanafunzi hao kutoka katika “Collage” tofauti tofauti ikiwemo utalii, uchumi na biashara waliofanya ziara hiyo ikiwa chini ya mwamvuli wa University of Dar...
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu.
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0M5Ysqb1PEw/VJFs2y4zipI/AAAAAAAG3zo/BQZr-p2hhEQ/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
VETA WAMETAKIWA KUHAKIKISHA WANAANDAA WANAFUNZI WA HOTELI NA UTALII WENYE VIWANGO VYA KIMATAIFA ILI KUKABILIANA NA USHINDANI WA SOKO ULIOPO
10 years ago
MichuziWanafunzi wa Chuo cha Taifa CHA UTALII WATEMBELEA TBL
11 years ago
MichuziWAZIRI WA HABARI UTAMADUNI UTALII NA MICHEZO WA ZANZIBAR AKUTANA NA WANAFUNZI NA WALIMU WACHUO CHA UANDISHI WA HABARI ZANZIBAR