TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHAKIKISHA INAWEKA MIUNDOMBINU MIZURI KWA WALEMAVU.
![](http://2.bp.blogspot.com/--_6iLiPiIZo/U6qgK3ZRmdI/AAAAAAAFs5w/E7JbN1-SdeI/s72-c/NEC_BANNER2.gif)
Na John Gagarini, Kibaha.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi Nchini (NEC) imesema kuwa itahakikisha kuwa inaweka miundombinu mizuri kwa watu wenye ulemavu wakati wa uboreshaji wa zoezi la Daftari la Kudumu la Wapiga Kura litakalofanyika hivi karibuni.
Kutokana na umuhimu wa zoezi hilo Tume imejipanga kuhakikisha kila kundi ndani ya jamii ikiwemo ile ya walemavu wanashiriki kikamilifu zoezi hilo ambalo litaambatana na utoaji wa vitambulisho vipya vya wapiga kura vitakavyotumika kwenye wakati...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania21 Oct
Tume yatakiwa kuhakikisha uchaguzi wa haki, usawa
Na Wandishi Wetu, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama imetakiwa kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa haki na usawa kuepuka machafuko yasitokee nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Madola, Goodluck Jonathan, alisema kufanikiwa kwa uchaguzi huo kunategemea kuwapo uwazi, haki na kufuata misingi ya utawala bora.
Alisema ili kuhakikisha amani inakuwapo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iUkNItZ9YR4/VVH8GzrAWkI/AAAAAAADTIQ/hjnqnEsxXSc/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-11%2Bat%2B2.36.27%2BPM.png)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4uwiP6Kpzwg/Vi7_7fVsi4I/AAAAAAABYCY/BqUtzfEQwBw/s72-c/UCHAGUZI%2BWA%2BTANZANIA.jpg)
MATOKEO KWA NGAZI YA UBUNGE KWA MAJIMBO YALIYOTANGWAZWA NA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI HAYA HAPA
![](http://4.bp.blogspot.com/-4uwiP6Kpzwg/Vi7_7fVsi4I/AAAAAAABYCY/BqUtzfEQwBw/s640/UCHAGUZI%2BWA%2BTANZANIA.jpg)
Jimbo la TundumaUbunge: Mwakajoka Frank (Chadema)...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-AAv7MA6keFY/VjHlVnyhCmI/AAAAAAAAd4o/tPzc4QMnPfA/s72-c/5.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO 69 KWA NGAZI YA URAIS LEO MCHANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-AAv7MA6keFY/VjHlVnyhCmI/AAAAAAAAd4o/tPzc4QMnPfA/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xHebSMnU4OA/VjHlUu2ltDI/AAAAAAAAd4Y/-Om16IgFSmA/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nj8_DK8B71w/VjHlUWOOwPI/AAAAAAAAd4Q/P367gcc86-k/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-koZHR5ig3XA/VjHlWdPuimI/AAAAAAAAd4s/Tnmbd7SETL0/s640/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-r__VGBjNznk/VjHlW00pINI/AAAAAAAAd40/nPJBc_PDE3M/s640/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-M1QPbl9I854/VjHlXLpk6SI/AAAAAAAAd44/OFLRXchgjNs/s640/8.jpg)
Endelea kufuatilia
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tbBjvuH8ABw/ViHIdELc5tI/AAAAAAABXfQ/6k1yftagdyQ/s72-c/wdF7o2FTbUh3wAAAABJRU5ErkJggg%253D%253D.png)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATOA IDADI YA WAPIGA KURA KWA MAKUNDI NA MIAKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-tbBjvuH8ABw/ViHIdELc5tI/AAAAAAABXfQ/6k1yftagdyQ/s640/wdF7o2FTbUh3wAAAABJRU5ErkJggg%253D%253D.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DOJlB-ATvBs/ViHIeFqJq5I/AAAAAAABXfY/F6VYugYnFP4/s640/LWSXQWfOrk6BXEgeQLFcRRmFkaAtxzpXElE4FAZQmY3zH20aus%252B5k4BCAAAQhAAAJlJ8BCr%252BweZn4QgAAEIAABCFSWAAu9yrqeiUMAAhCAAAQgUHYCLPTK7mHmBwEIQAACEIBAZQn8AZ8xTWZleTsOAAAAAElFTkSuQmCC.png)
CHANZO: TUME YA UCHAGUZI
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fZiIVqaaveA/VWLZqhG4tRI/AAAAAAABPWI/4N5AFcNtmnY/s72-c/tume%2Bya%2Btaifa%2Bya%2Buchaguzi.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O0pqIp9tqNk/Vg8ASd-xkjI/AAAAAAAH8ds/z1MVXJhYb9s/s72-c/download.jpg)
Vijana msitumike kwa maslahi ya Chama chochote cha siasa - Tume ya taifa ya uchaguzi
![](http://4.bp.blogspot.com/-O0pqIp9tqNk/Vg8ASd-xkjI/AAAAAAAH8ds/z1MVXJhYb9s/s320/download.jpg)
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa wito kwa vijana kutojihusisha na vitendo vya fujo katika kipindi hiki cha kampeni badala yake waelekeze nguvu na juhudi zaidi katika kujenga uchumi wa taifa.Akiongea katika mkutano uliowakutanisha NEC na wawakilishi wa vijana kutoka mikoa mbalimbali nchini Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji mkuu Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Hamid Mahmoud Hamid (pichani) alisema kuwa vijana wasitumike na vyama vya siasa kama kichocheo cha fujo .
“Vijana...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar10 Sep
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Nao Wamuonya Lowassa Kwa Kauli ya Kibaguzi Kanisani
Mwenyekiti wa NEC Damian Lubuva Wednesday, September 9, 2015 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kitendo kilichofanywa na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa cha kuomba kura kwa kuwataka waumini wa madhehebu ya Kilutheri kumchagua […]
The post Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Nao Wamuonya Lowassa Kwa Kauli ya Kibaguzi Kanisani appeared first on Mzalendo.net.