Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi Kanda Maalumu waomba utulivu

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema limejiandaa kikamilifu kulinda amani na usalama wa nchi katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi na wakati wa uchaguzi mkuu na kutoa onyo kwa wale watakaovuruga amani na usalama, kwani wakibainika watashughulikiwa kwa mujibu wa Sheria.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA MAALUMU KUTOKA POLISI KANDA MAALUMU YA DAR ES SALAAM JUU YA WAHALIFU WALIOTIWA NGUVUNI


Watuhumiwa wanne wamekamatwa jijini Dar es Salaam katika makutano ya barabara ya Bibi Titi na Ohio karibu na Hotel ya Serena baada ya kumpora raia wa kigeni wakiwa na gari dogo rangi ya kijivu yenye nambari za usajili T787 DBU Toyota Cienta.
Hivi karibuni kumeibuka wimbi la wahalifu kuwapora pesa na vitu vya thamani kama mikufu, bangili, hereni pia pete na vitu mbalimbali vya thamani raia wa kigeni na akina mama ambao hupenda kutembea na pochi. Wahalifu hawa hutumia gari dogo ambalo mara kwa...

 

9 years ago

Vijimambo

JESHI LA POLISI KANDA MAALUMU YA DAR ES SALAAM LAVUNJA KAMBI YA KIKUNDI KINACHODAIWA KUENDESHA UHALIFU

Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam,Kamishina wa Jeshi la Polisi (CP),Suleiman Kova akionyesha silaha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani)walizozikamata kutoka kwa majambazi katika operesheni ya jeshi hilo iliyofanyika ofisini kwake jijini Dar es Salaam.



Na Chalila Kibuda

JESHI la Polisi  Kanda Maalum ya Dar es Salaam limevunja kambi inayodaiwa kuendesha uhalifu wa kigaidi wa kuvamia vituo vya polisi na kunyanganya silaha kwa ajili ya kuendeleza uhalifu na kuweza kukamata...

 

9 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI KANDA MAALUMU YA DARE SALAAM LAVUNJA KAMBI YA KIKUNDI KINACHODAIWA KUENDESHA UGAIDI WA KIHALIFU

Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam,Kamishina wa Jeshi la Polisi (CP),Suleiman Kova akionyesha silaha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani)walizozikamata kutoka kwa majambazi katika operesheni ya jeshi hilo iliyofanyika ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishina wa Jeshi la Polisi (CP),Suleiman Kova akizungumza na waandishi habari  (hawapo pichani) juu ya operesheni mbalimbali za jeshi hilo na mafanikio yake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waomba kanda maalum ya kipolisi

WABIA wa ulinzi na usalama mkoani Kigoma, wameliomba Jeshi la Polisi nchini kuweka kanda maalum ya kipolisi mkoani humo, ili kukabiliana na uhalifu. Hatua hiyo inatokana na kuwepo kwa tishio...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waomba kituo maalumu cha watoto walemavu Buhangija kusaidiwa zahanati

DSC_0002

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Bi. Anne Rose Nyamubi mara baada ya kuwasili ofisini kwake kwa ajili ya mazungumzo kabla ya kuelekea kwenye kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum wakiwemo walemavu wa ngozi cha Buhangija Jumuishi kilichopo mkoani Shinyanga.

Na mwandishi wetu, Shinyanga

MKUU wa wilaya ya Shinyanga AnneRose Nyamubi...

 

10 years ago

GPL

WAOMBA KITUO MAALUMU CHA WATOTO WALEMAVU BUHANGIJA KUSAIDIWA ZAHANATI‏

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Bi. Anne Rose Nyamubi mara baada ya kuwasili ofisini kwake kwa ajili ya mazungumzo kabla ya kuelekea kwenye kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum wakiwemo walemavu wa ngozi cha Buhangija Jumuishi kilichopo mkoani Shinyanga. Na mwandishi...

 

10 years ago

Habarileo

Kanda maalumu watumia helkopta kufanya doria

Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman KovaJESHI La Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeimarisha ulinzi katika kukabiliana na viashiria vya matukio ya kihalifu na ujambazi kwa kufanya doria ya helikopta katika mkoa huo na baadhi ya maeneo ya mkoa wa Pwani, katika msimu huu wa sikukuu ya Pasaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani