Waomba kanda maalum ya kipolisi
WABIA wa ulinzi na usalama mkoani Kigoma, wameliomba Jeshi la Polisi nchini kuweka kanda maalum ya kipolisi mkoani humo, ili kukabiliana na uhalifu. Hatua hiyo inatokana na kuwepo kwa tishio...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo12 Sep
Polisi Kanda Maalumu waomba utulivu
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema limejiandaa kikamilifu kulinda amani na usalama wa nchi katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi na wakati wa uchaguzi mkuu na kutoa onyo kwa wale watakaovuruga amani na usalama, kwani wakibainika watashughulikiwa kwa mujibu wa Sheria.
11 years ago
Habarileo24 Jan
Tanzania, Afrika Kusini kuimarisha kanda maalum za uwekezaji
TANZANIA na Afrika Kusini zimeingia makubaliano ya kuunda vikosi kazi kuimarisha mamlaka za ukanda maalumu za uwekezaji katika nchi hizo. Hatua hiyo imekuja baada ya ujumbe wa maofisa kutoka Serikali ya Afrika Kusini kutembelea Mamlaka ya Ukanda Maalum ya Uwekezaji (EPZA) jana jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi02 Sep
9 years ago
StarTV03 Nov
Polisi Kanda maalum Dar yapiga marufuku maandano ya Chadema. Â
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam limezuia maandamano ya wananchama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) yasiyo kuwa na kikomo kwasababu ni kinyume na sheria.
Maandamano ya wafuasi wa CHADEMA yalipangwa kufanyika kuanzia Novemba 3 mwaka huu katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar Es Salaam kudai uporwaji wa Demokrasia dhidi ya mgombea wao Edward Lowassa.
Ni kamishina wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam, Kamanda Suleimani Kova akitoa tamko la...
10 years ago
Michuzi15 Sep
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mic1EDqNV5Y/VFx-O5IXUzI/AAAAAAAGv8Y/SKU4ua4-v3k/s72-c/image061%2B(1).jpg)
JESHI LA POLISI KANDA MAALUM LAUNDA KAMATI ITAKAYORATIBU KERO ZA WAFANYABIASHARA WA KARIOAKOO
![](http://1.bp.blogspot.com/-mic1EDqNV5Y/VFx-O5IXUzI/AAAAAAAGv8Y/SKU4ua4-v3k/s1600/image061%2B(1).jpg)
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova ametangaza kamati hiyo alipokuwa akijibu hoja na maswali mbalimbali yaliyoulizwa na baadhi ya wafanyabiashara wa sokoni hapo juu ya baadhi ya kero...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1xlrVH9OmQ4/VHQbmqfPc8I/AAAAAAAAoL0/RtRBW8MVlZw/s72-c/KOVA.jpg)
JESHI LA POLISI KANDA MAALUM LATOA TAHADHALI KWA WANAWAKE KUTOSHIRIKI KIMAPENZI NA WATU WASIOWAJUA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1xlrVH9OmQ4/VHQbmqfPc8I/AAAAAAAAoL0/RtRBW8MVlZw/s1600/KOVA.jpg)
Zimekuwepo taarifa juu ya kuwepo kwa wanaume wawili wanaoshawishi wanawake kuwa nao kimapenzi na baada ya muda huwauwa. Hivyo natoa tahadhari kwa wanawake wa jiji la Dar es Salaam kuchukua tahadhali juu ya watu hawa maana huatarisha maisha yao au ya familia zao.
Inaaminika watu hao...
10 years ago
Michuzi25 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q3-D8cZEiTI/VRVxPSQrLCI/AAAAAAAHNrE/pYCTosb7Chk/s72-c/unnamed.jpg)
ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA AJISALIMISHA POLISI KWA MKUU WA UPELELEZI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q3-D8cZEiTI/VRVxPSQrLCI/AAAAAAAHNrE/pYCTosb7Chk/s1600/unnamed.jpg)
Askofu Gwajima alifika kituo kikuu cha Polisi saa nane na dakika kumi na tano mchana wa tarehe 27/03/2015. Mara baada ya kufika kituoni hapo alielekezwa kwenda kumuona Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP Constantine Masawe ambaye alikuwa akisubiri kufika...