MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA BOHARI YA KUHIFADHI MAFUTA YA GBP MKOANI TANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-YsS6l4xcJt0/VXL7PNyP1rI/AAAAAAADqRQ/guwP59I6cd4/s72-c/1.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Msimamizi wa Kituo cha kupokelea mafuta cha Kampuni ya GBP, wakati alipokuwa katika ziara yake ya kutembelea Jeti ya kupokelea mafuta na Bohari ya kuhifadhia mafuta ya kampuni hiyo, wakati alipokuwa katika ziara yake ya siku moja mkoani Tanga jana Juni 5, 2015.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiondoka katika eneo hilo baada ya kukagua...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-POZzQYxmc5A/VZDzavKpEbI/AAAAAAAHlb0/Cfp-SSRUzMc/s72-c/picha%2B2.jpg)
SIMBACHAWENE AKAGUA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI MAFUTA TANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-POZzQYxmc5A/VZDzavKpEbI/AAAAAAAHlb0/Cfp-SSRUzMc/s640/picha%2B2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WyqLM_PGioM/U3_CcndDS2I/AAAAAAAFkp0/pv32cv5eJW0/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATEMBELEA KIWANDA CHA KUKAMUA MAFUTA YA UFUTA CHA TAKEMOTO, NAGOYA JAPAN
![](http://3.bp.blogspot.com/-WyqLM_PGioM/U3_CcndDS2I/AAAAAAAFkp0/pv32cv5eJW0/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UD0blZa0YH4/U3_CcefkR0I/AAAAAAAFkps/TkXO-VhFhqQ/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EhNN9pBkxys/VXGogHJ9CeI/AAAAAAAHcR8/BIWPhvKH13s/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI, MKOANI TANGA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-EhNN9pBkxys/VXGogHJ9CeI/AAAAAAAHcR8/BIWPhvKH13s/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RBiEO2hvF90/VXGok6SjnSI/AAAAAAAHcSk/Hccvswl6pzU/s640/1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ktJbTuUyBag/Vin-7JqG2_I/AAAAAAAIB5Q/ud3y7bUY8cs/s72-c/272.jpg)
MAKAMU WA RAIS WA ZANZIBAR AKAGUA KARO LA KUHIFADHI UCHAFU
![](http://3.bp.blogspot.com/-ktJbTuUyBag/Vin-7JqG2_I/AAAAAAAIB5Q/ud3y7bUY8cs/s640/272.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uFihiMnp-94/Vin-7j5O3VI/AAAAAAAIB5U/Hd731ZHWP98/s640/273.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J8nPCmTttsU/XrpavNnuVVI/AAAAAAALp3A/Tkm_GdJVX8snL2--OHwlxbDJYszmi0DegCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B3.jpg)
EWURA yapewa siku 10 kupitia bei za mafuta katika maghala ya kuhifadhi na kupokea mafuta.
![](https://1.bp.blogspot.com/-J8nPCmTttsU/XrpavNnuVVI/AAAAAAALp3A/Tkm_GdJVX8snL2--OHwlxbDJYszmi0DegCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B3.jpg)
Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani (wa pili kulia)akipita kukagua mazingira ya ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP, alipofanya ziara katika eneo hilo mkoani Tanga, Mei 10, 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-KizeE0XqwiY/XrpavnCZSHI/AAAAAAALp3E/OlsgDnTG8EMM_llMxefz8sbypBsgsCgIACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B4.jpg)
Shehena ya Mafuta ikiwa imepakiwa katika matangi tayari kwa kusafirishwa,hapa ni katika ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP mkoani Tanga, Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani, alifanya ziara katika eneo hilo, Mei 10,2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rZ963RWU-wc/Xrpav5vjNDI/AAAAAAALp3I/cn3LiMHp6nEX5Ttle59mKCBn02Mo6fiGQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B5.jpg)
Baadhi ya mapipa makubwa ya kuhifadhia mafuta...
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
Makamu wa Rais Dk. Bilal achangisha Shs. 105 milioni kuhifadhi vyanzo vya maji milima ya Tao la Mashariki
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZecOd7GQ3co/VgrU6vf7clI/AAAAAAAAKIE/fbRMji14D_8/s640/14%2B%25282%2529.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Tuzo Maalum, Mshauri wa kampuni ya VIP Engineering & Marketing, Fr. James Rugemalira, wakati wa hafla ya Uchangishaji fedha kwa Uhifadhi wa vyanzo vya maji katika Mabwawa ya kuzalisha Umeme ya Mtera, Kihansi, Kidatu, Nyumba ya Mungu na Pangani, iliyofanyika jana usiku Sept 28, 2015 kwenye Hoteli ya Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam. (Picha zote na OMR).
Na Daniel Mbega wa...
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akabidhi zawadi za washindi wa mashindano ya tano ya kuhifadhi Qur-aan Tukufu jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu wakati wa hafla fupi ya Utoaji wa Tuzo na Kuwakirimu washindi wa Mashindano ya Tano ya kuhifadhi Qur-an Tukufu yaliyoandaliwa na Taasisi ya Istiqaama, iliyofanyika kwenye Msikiti wa Istiqaam, Ilala jijini Dar es Salaam jana usiku. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheki ya Sh. Milioni 3, mshindi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7yPBvH5J268/VZfwptgfguI/AAAAAAADvic/xD0J_-gnIso/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKABIDHI ZAWADI ZA WASHINDI WA MASHINDANO YA TANO YA KUHIFADHI QUR-AN TUKUFU YALIYOANDALIWA NA TAASISI YA ISTIQAAMA, JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-7yPBvH5J268/VZfwptgfguI/AAAAAAADvic/xD0J_-gnIso/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rpvzgp9DIik/VZfwpUiXNaI/AAAAAAADviY/PafrR0AQN7o/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PS896Co_7z8/VZhQqTUD6eI/AAAAAAAHm8w/iTRceCQqi9s/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKABIDHI ZAWADI ZA WASHINDI WA MASHINDANO YA TANO YA KUHIFADHI QUR-AN TUKUFU YALIYOANDALIWA NA TAASISI YA ISTIQAAMA, JIJINI DAR.
![](http://4.bp.blogspot.com/-PS896Co_7z8/VZhQqTUD6eI/AAAAAAAHm8w/iTRceCQqi9s/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xv7Ju4yPEFE/VZhQx6_YyiI/AAAAAAAHm9M/FtNm3E_WfJE/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)