MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI, MKOANI TANGA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-EhNN9pBkxys/VXGogHJ9CeI/AAAAAAAHcR8/BIWPhvKH13s/s72-c/01.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa sherehe za maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Mazingira Duniani, zilizofanyika kwenye wa Viwanja Vya Tangamani, mkoano Tanga leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Mazingira wa Ofisi yake, Dkt. Julius Ningu, wakati alipotembelea kwenye banda la maonyesho la Ofisi ya Makamu wa Rais, kwenye Sherehe za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yt2W3KgPysw/U5GCJaBaSMI/AAAAAAAFoAA/EILNavfSPrw/s72-c/02.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATEMBELEA KIWANDA CHA COCACOLA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA KILELE CHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-yt2W3KgPysw/U5GCJaBaSMI/AAAAAAAFoAA/EILNavfSPrw/s1600/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0jiZjVm1zBA/U5GCnrYGgMI/AAAAAAAFoA8/MZv--FVJbIk/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wn-I0fOCqA0/U5GCbmnmkmI/AAAAAAAFoAg/FFWHNa2LeCc/s1600/07.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oCbO-zL8ORM/U5GCYNSL5_I/AAAAAAAFoAY/ZkXFmdxLslc/s1600/06.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tsiZAHkOin0/VfhpxGyMqRI/AAAAAAAH5Eg/rSdPFad4r4M/s640/2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uvyNe-y-5_0/VQ__F8LPagI/AAAAAAADdcY/5XLzGJEFwmI/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHITIMISHA KILELE CHA MAADHIMISHO YA 27 YA WIKI YA MAJI MKOANI MARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uvyNe-y-5_0/VQ__F8LPagI/AAAAAAADdcY/5XLzGJEFwmI/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-C4CH9IxigS8/VQ__Has0JRI/AAAAAAADdc0/eFzSXZBfO7E/s1600/2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WQUbL4QlA60/VHyjTdttiVI/AAAAAAADPOU/FSKDllq3KO8/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI, KITAIFA MKOANI NJOMBE
![](http://3.bp.blogspot.com/-WQUbL4QlA60/VHyjTdttiVI/AAAAAAADPOU/FSKDllq3KO8/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GLHgJ0yHvMI/VHyjVfxqLQI/AAAAAAADPOg/DGyCGhrCkyo/s1600/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ubtc23V_qkM/U4nudMkXTVI/AAAAAAAFmwA/gAwMjLh7P6I/s72-c/001.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA WIKI YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUPANDA MITI KATIKA KAMBI YA KIKOSI CHA JESHI LA KUJENGA TAIFA RUVU
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ubtc23V_qkM/U4nudMkXTVI/AAAAAAAFmwA/gAwMjLh7P6I/s1600/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JuozqqwOTJc/U4nudhZ76RI/AAAAAAAFmv4/tEGX310zyWY/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wObjwprniHs/U4nues3y6kI/AAAAAAAFmwE/xxppuJD0f3c/s1600/1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ahutubia wawakilishi wa Afrika katika mkutano wa mazingira duniani (Cop20) Jijini Lima, Peru
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya Wataalam ya Afrika katika masuala ya Majadiliano ya Mabadiliko ya Tabianchi kutoka nchini Sudan, Nagmeldin El-Hassan, wakati alipokuwa akiwasili katika ukumbi wa mikutano kwa ajili ya kuzungumza na wawakilishi wa Afrika katika mkutano wa Mazingira Duniani (Cop20) unaoendelea jijini Lima, nchini Peru. (Picha na OMR).
Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9tFk2XOqW0s/VOiS2vUWFmI/AAAAAAADZ_I/lWD86TtpXo0/s72-c/1..jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA KUZALIWA MWANZILISHI WA USKAUTI DUNIANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-9tFk2XOqW0s/VOiS2vUWFmI/AAAAAAADZ_I/lWD86TtpXo0/s1600/1..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wIcs3F6RED8/VOiS2mOUexI/AAAAAAADZ_M/EyuVdBHWo0o/s1600/001.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FtX6CZAPpoU/VgFArnH6WlI/AAAAAAAC_ZM/KFR3zf8QVPQ/s72-c/Rashid-15August2015.jpg)
DKT SEIF MGENI RASMI KILELE CHA SIKU YA VIZIWI DUNIANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-FtX6CZAPpoU/VgFArnH6WlI/AAAAAAAC_ZM/KFR3zf8QVPQ/s200/Rashid-15August2015.jpg)
Hayo yamesemwa na Afisa Jinsia na Maendeleo kutoka Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Bi. Lupi Mwaisaka Maswanya alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Bi. Mwaisaka amesema kuwa lengo la maadhimisho hayo ni kujenga mwamko wa jamii...
11 years ago
Dewji Blog05 Jun
Makamu wa Rais Dkt. Bilal atoa tuzo za washindi wa usimamiaji wa mazingira
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza Wilaya ya Ilemela, kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za Kilele cha Siku ya Mazingira Duniani, zilizofanyika Kitaifa Mkoani Mwanza leo, Juni 5, 2014. Katika Kilele hicho Makamu wa Rais alitoa tuzo na kukabidhi vyeti kwa washindi wa Usafi wa Mazingira kuanzia Vjiji hadi Halmashauri za mikoa mbalimbali ya nchini. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...