Makamu wa Rais Dkt. Bilal atoa tuzo za washindi wa usimamiaji wa mazingira
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza Wilaya ya Ilemela, kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za Kilele cha Siku ya Mazingira Duniani, zilizofanyika Kitaifa Mkoani Mwanza leo, Juni 5, 2014. Katika Kilele hicho Makamu wa Rais alitoa tuzo na kukabidhi vyeti kwa washindi wa Usafi wa Mazingira kuanzia Vjiji hadi Halmashauri za mikoa mbalimbali ya nchini. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Jar5b0ZL7hA/U8uoZFvGQMI/AAAAAAAF3_0/Bu29UfNm1-E/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKABIDHI ZAWADI ZA WASHINDI WA MASHINDANO YA QUR-AN JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-Jar5b0ZL7hA/U8uoZFvGQMI/AAAAAAAF3_0/Bu29UfNm1-E/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9AvgA0rD6X0/U8uoYjVwCgI/AAAAAAAF3_w/uLjPgHxeRm0/s1600/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_XTpIpQ8K6A/U8uoaW6FZ5I/AAAAAAAF4AE/7_S3l0KVtVU/s1600/2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akabidhi zawadi za washindi wa mashindano ya Qur-An Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati alipokuwa mgeni rasmi kukabidhi Tuzo za washindi wa mashindano ya kuhifadhi Qur-aan, yaliyofanyika jana Julai 20, 2014, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi, mshindi wa pili wa mashindano ya kuhifadhi Qur-an, ambaye ni Mtanzania, Said Omary Said, wakati wa hafla...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EhNN9pBkxys/VXGogHJ9CeI/AAAAAAAHcR8/BIWPhvKH13s/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI, MKOANI TANGA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-EhNN9pBkxys/VXGogHJ9CeI/AAAAAAAHcR8/BIWPhvKH13s/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RBiEO2hvF90/VXGok6SjnSI/AAAAAAAHcSk/Hccvswl6pzU/s640/1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akabidhi zawadi za washindi wa mashindano ya tano ya kuhifadhi Qur-aan Tukufu jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu wakati wa hafla fupi ya Utoaji wa Tuzo na Kuwakirimu washindi wa Mashindano ya Tano ya kuhifadhi Qur-an Tukufu yaliyoandaliwa na Taasisi ya Istiqaama, iliyofanyika kwenye Msikiti wa Istiqaam, Ilala jijini Dar es Salaam jana usiku. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheki ya Sh. Milioni 3, mshindi...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-j-iHGcEDI6c/VTdeFgwRjtI/AAAAAAAASpQ/7SpH2BpVw8M/s72-c/b1.jpg)
TUZO ZA RAIS KWA MAKAMPUNI YA UCHIMBAJI MADINI NCHINI ZAKABIDHIWA JIJINI DAR ES SALAAM NA MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL
![](http://3.bp.blogspot.com/-j-iHGcEDI6c/VTdeFgwRjtI/AAAAAAAASpQ/7SpH2BpVw8M/s1600/b1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIkX41KdpSJ84b0DKfvgH2KdN2NPz9fx5mgqADATk*LwR3No4M9CqjyviwHJGzn3qj6elbCBWVf1ba31l78xvowE/h1.jpg?width=650)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI UTOAJI TUZO WA WANASAYANSI WACHANGA WA TANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LI04JJX7b_s/U-3R4wet3-I/AAAAAAAF_xo/YGV34RnUPpw/s72-c/unnamed2..jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI UTOAJI TUZO WA WANASAYANSI WACHANGA WA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-LI04JJX7b_s/U-3R4wet3-I/AAAAAAAF_xo/YGV34RnUPpw/s1600/unnamed2..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g_s1J61PeeM/U-3R5Ah1eXI/AAAAAAAF_x0/NmgZkw3Cf-I/s1600/unnamed2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7yPBvH5J268/VZfwptgfguI/AAAAAAADvic/xD0J_-gnIso/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKABIDHI ZAWADI ZA WASHINDI WA MASHINDANO YA TANO YA KUHIFADHI QUR-AN TUKUFU YALIYOANDALIWA NA TAASISI YA ISTIQAAMA, JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-7yPBvH5J268/VZfwptgfguI/AAAAAAADvic/xD0J_-gnIso/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rpvzgp9DIik/VZfwpUiXNaI/AAAAAAADviY/PafrR0AQN7o/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PS896Co_7z8/VZhQqTUD6eI/AAAAAAAHm8w/iTRceCQqi9s/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKABIDHI ZAWADI ZA WASHINDI WA MASHINDANO YA TANO YA KUHIFADHI QUR-AN TUKUFU YALIYOANDALIWA NA TAASISI YA ISTIQAAMA, JIJINI DAR.
![](http://4.bp.blogspot.com/-PS896Co_7z8/VZhQqTUD6eI/AAAAAAAHm8w/iTRceCQqi9s/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xv7Ju4yPEFE/VZhQx6_YyiI/AAAAAAAHm9M/FtNm3E_WfJE/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)