Serikali yakosa Sh340 bil uchimbaji urani
>Tanzania imeanza vibaya usimamizi wa uwekezaji wa madini ya urani, baada ya kushindwa kesi mahakamani hivyo kukosa karibu Sh340 bilioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Jul
MADINI: Anguko la bei latikisa uchimbaji wa urani
11 years ago
Tanzania Daima30 May
‘Serikali ieleze madhara ya Urani’
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimeitaka serikali kutoa elimu zaidi kuhusu madhara kwa afya na mazingira yatokanayo na uchimbaji wa madini ya Urani badala ya kuelekeza nguvu...
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Serikali yapiga ‘stop’ uchimbaji madini
9 years ago
MichuziSERIKALI KUKOMESHA UCHIMBAJI NA UUZAJI HARAMU WA MADINI
Washiriki wa warsha wakifuatilia uwasilishaji mada kuhusu utekelezaji wa mpango wa kupambana na uchimbaji haramu wa rasilimali kwa nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) ujulikanao...
9 years ago
StarTV18 Nov
Serikali ya India kuanza kuwafundisha Watanzania Uchimbaji Bora Wa Madini
Serikali imeingia makubaliano na kituo cha sayansi na mazingira cha India CSE kutumia wataalamu wa kituo hicho kuja nchini kusaidia uchimbaji wa madini ya makaa ya mawe ili ufanyike kwa ufanisi kwa kuzingatia uhifadhi wa mazingira na usalama.
Hatua hii ya Serikali inakuja kutokana na kuanza kwa uchimbaji mkubwa wa makaa ya mawe nchini ukiwemo unaoendelea Ngaka mkoani Ruvuma.
Imebainishwa kuwa ni muhimu kuwepo kwa mikakati mizuri ya kuhifadhi mazingira wakati wa uchimbaji na wakati wa...
11 years ago
AllAfrica.Com09 Apr
Implementation of National Rights Plan Needs Sh340 Billion
AllAfrica.com
TANZANIA requires 338bn/- to implement the five year National Human Rights Action Plan (NHRAP) that was launched last year by Vice-President, Dr Mohamed Gharib Bilal and slated to run until 2017. This was revealed in Dar es Salaam recently by Dr ...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Serikali yataka kampuni ya madini ya Shanta na wanakijiji cha Ikungi kumaliza tofauti zao waendelee na kazi za uchimbaji
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (mwenye koti kulia) akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi na mchimbaji madini ya Gypsum kijijini Itigi, Ismael Ivata (kushoto).Viongozi hao walikuwa kwenye shimo linalochimbwa gypsum.
Afisa Mwanadamizi wa kampuni ya uchimbaji madini ya Shanta kijiji cha Sambaru wilaya ya Ikungi, Octavian Ndazi, akitoa taarifa yake kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (hayupo kwenye picha). Hata...
9 years ago
Mtanzania31 Dec
Serikali yapeleka Sh bil 18 za elimu
NA RAMADHAN HASSAN, DODOMA
SERIKALI imepanga kupeleka Sh bilioni 18.77 kila mwezi kwa ajili ya kugharimia elimu bure kuanzia Januari, mwakani.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene alisema fedha hizo zitapelekwa kwa awamu ili zitumike kama ilivyokusudiwa.
Alisema katika mpango huo, Serikali itagharimia gharama zote za mtihani wa kidato cha nne kwa wanafunzi wote, tofauti na...
11 years ago
Habarileo12 Mar
Ubelgiji yaipatia Serikali bil.40/-
SERIKALI imepokea msaada wa Sh bilioni 40 kutoka Serikali ya Ubelgiji kusaidia sekta ya kilimo na maji.