TANZANIA YAJIANDAA VEMA NA USIMAMIZI WA URANI
Picha mbali mbali za wajumbe na viongozi na wataalamu (washauri) kutoka shirika la Nguvu za Atomiki Duniani (IAEA) pamoja na wafanyakazi wa Tume ya nguvu za Atomiki Tanzania wakiwa katika semina ya juu ya usimamizi wa sheria na kanuni za usimamizi wa mionzi ya nyuklia Tanzania, iliyofanyika makao makuu ya Tume ya Mionzi Tanzania yaliyopo jijini Arusha. Picha na Yohana Challe.
NA; YOHANA CHALLE ARUSHA.TUME ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC), imesema kuwa imejiandaa vilivyo katika usimamizi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Tanzania yajiandaa kuikabili Ebola
KUENEA kwa ugonjwa wa ebola katika mataifa ya Afrika Magharibi, kumeifanya serikali kuchukua tahadhari. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Wizara ya Afya na...
10 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA KARATE TANZANIA YAJIANDAA KWENDA ALBANIA KUSHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA
BOFYA HAPA KWA PICHA...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-L0avcRS0xcA/VgD5VIiYDaI/AAAAAAAH6vw/5XcYrx_-JzI/s72-c/unnamed.jpg)
NGO YA TANZANIA Mtandao wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania ( MJUMITA) YASHINDA TUZO YA UMOJA WA MATAIFA
11 years ago
Dewji Blog12 May
Uwepo wa wanawake zaidi, vijana na watu wenye ulemavu ni vema kwa Bunge na Tanzania, asema Hellen Clark wa UNDP
Kiongozi wa UNDP, na Waziri Mkuu wa zamani wa New Zealand, Helen Clark(pichani), amewapongeza viongozi wa vyama vya siasa Tanzania kwa dhamira yao ya kuwasimamisha wanawake zaidi, vijana na watu wenye ulemavu kama wagombea kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwaka 2015. Alitoa pongezi hizo wakati wa mkutano wake na Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda, na wabunge wanawake katika mji mkuu wa kisiasa wa Dodoma leo.
Kiongozi huyo wa UNDP amekutana na wabunge wanawake wa Tanzania huko Dodoma, akiwemo...
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Tanzania, Finland kushirikiana mageuzi ya usimamizi wa fedha
SERIKALI kupitia Wizara ya Fedha imesaini mkataba wa ushirikiano wa mageuzi ya usimamizi wa fedha na nchi ya Finland wenye thamani ya sh bilioni 10. Akizungumza wakati wa kusaini mkataba...
10 years ago
Dewji Blog14 May
Kampuni ya Tigo Tanzania yatangaza mwendelezo wa usimamizi
Kampuni ya Tigo Tanzania imetangaza kwamba Bw. Diego Gutierrez (pichani) amerejea kama Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania baada ya kumalizika kwa mkataba wa aliyekuwa akikaimu cheo cha Umeneja Mkuu Bi Cecile Tiano.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo, Bi Tiano amekuwa kwenye kampuni ya Tigo kama Kiongozi wa muda tangu mwanzoni mwa mwaka huu. Amefurahia mafanikio makubwa aliyoyapata akiwa na kampuni ikiwa ni pamoja na kuzindua huduma ya Tigo Muziki na mtandao wa 4G, na...
10 years ago
MichuziMamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), yajipanga kuikabili Ebola
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GzaHmcW2AcA/Vf_35a3K5VI/AAAAAAAH6gs/CzT3YBm6rpI/s72-c/images.jpg)
UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI TANZANIA (TAWA)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GzaHmcW2AcA/Vf_35a3K5VI/AAAAAAAH6gs/CzT3YBm6rpI/s200/images.jpg)
Wizara ya Maliasili na Utalii inapenda kuujulisha umma kuwa, Bodi mpya ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (Tanzania Wildlife Authority -TAWA), imeteuliwa rasmi kuanzia tarehe 09 mwezi Septemba, 2015. Katika uteuzi huo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KKMopxOET0c/U-NP6DHyXUI/AAAAAAAF9u4/fwu0gJkkGKc/s72-c/unnamed+(62).jpg)
Wakulima Dodoma wasifu Ufanisi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KKMopxOET0c/U-NP6DHyXUI/AAAAAAAF9u4/fwu0gJkkGKc/s1600/unnamed+(62).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2dwrPEEvqYI/U-NP6BxFO4I/AAAAAAAF9vA/kk0JWSu2qb8/s1600/unnamed+(64).jpg)