NGO YA TANZANIA Mtandao wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania ( MJUMITA) YASHINDA TUZO YA UMOJA WA MATAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-L0avcRS0xcA/VgD5VIiYDaI/AAAAAAAH6vw/5XcYrx_-JzI/s72-c/unnamed.jpg)
Na Mwandishi Maalum, New York Mtandao wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania ( MJUMITA) ni kati ya Asasi 21 ambazo jana ( jumatatu) zimetangawa kuwa washindi wa Tuzo ya Ikweta (Equator Prize ) kwa mwaka 2015 Tuzo hiyo ya Ikwete hutolewa na Mfuko wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa ( UNDP) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wanaofadhili tuzo hiyo. Kila NGO iliyoshinda Tuzo hiyo inanyakua kitita cha dola 10,000 za Kimarekani. Ushindi wa MJUMITA pamoja na NGO nyingine 20...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboNGO YA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UMOJA WA MATAIFA
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-3qDxc6t8M34/VdHUZwkXbNI/AAAAAAAAgKU/SKE72qXnyDo/s72-c/5.jpg)
MJUMITA: TUCHAGUE VIONGOZI WATAKAO TETEA USIMAMIZI ENDELEVU WA MISITU
![](http://1.bp.blogspot.com/-3qDxc6t8M34/VdHUZwkXbNI/AAAAAAAAgKU/SKE72qXnyDo/s640/5.jpg)
Na Father Kidevu Blog
Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu nchini (MJUMITA) leo imeanza mkutano wake Mkuu wa Siku mbili ambao kwanza umeanza na Warsha ya siku moja ya wadau wote wa mtandao huo. Wajum,be na wadau wa Mjumita kesho Agosti 18, watafanya mkutano...
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
Tanzania yang’ara Kimataifa,Asasi yake yatwaa tuzo ya Ikweta 2015 zinazotolewa na Umoja wa Mataifa-UN
Bi. Helen Clark, Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa ( UNDP) akiwatangaza washindi wa Tuzo ya Ikweta ambayo hutolewa na Umoja Mataifa kwa NGO ambazo zinajihusisha na utunzaji wa mazingira, ulinzi na uhifadhi wa misitu, matumizi bora na endelevu ya ardhi na mali asili na kupiga vita umaskini.Tuzo ya mwaka huu wa 2015 ambayo ni dola za kimarekani 10, 000 kwa kila mshindi inakwenda kwa NGO 21 ambapo NGO ya Tanzania ijulikanayo kama Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DrYLNicQ668/XlLOkqvR1yI/AAAAAAAA91Y/92i0UTSGURwuZZbqobXUVf3zfC-TSwQCwCLcBGAsYHQ/s72-c/INDIA1.jpg)
TANZANIA YASHINDA TUZO YA UTALII NCHINI INDIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DrYLNicQ668/XlLOkqvR1yI/AAAAAAAA91Y/92i0UTSGURwuZZbqobXUVf3zfC-TSwQCwCLcBGAsYHQ/s640/INDIA1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uyvoSviojYQ/XlLOo8yiuyI/AAAAAAAA91c/x7elC_BiY3kjIlNUXu1vU6nU9iBPg6g1gCLcBGAsYHQ/s640/INDIA2.jpg)
Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda (kulia) akipokea Tuzo ya Utalii baada ya Tanzania kuibuka mshindi kwa kuonekana ni eneo bora zaidi la Utalii wa Wanyamapori duniani nchini India kwa mwaka 2020 (The Best International Wildlife Destination) iliyotangazwa katika hafla ya kutoa tuzo hizo zilizotolewa na Jarida la Utalii la "Outlook Traveller Magazine" na kufanyika katika Hoteli ya Rossette jijini New Delhi, India tarehe 22 Februari 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-1LPfrjx1_EY/XlLOwmNPniI/AAAAAAAA91k/w2BM0Cb3S18bPsbyzw0hyt8jnqPMHFcdACLcBGAsYHQ/s640/INDIA4.jpg)
Mhe. Balozi Luvanda akifuatilia...
9 years ago
Bongo514 Dec
EFM yashinda tuzo za Tanzania Leadership [Awards] 2015
![1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1-300x194.jpg)
Kituo cha redio cha EFM cha Dar es Salaam, kimeshinda tuzo za Tanzania Leadership [Awards] zinazotolewa na taasisi maarufu ya Purple Cow.
Utoaji wa tuzo hizo ulifanyika Ijumaa iliyopita kwenye hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro. Katika kipengele cha Kituo Bora cha Redio mwaka 2015, nafasi ya pili ilikamatwa na TBC Taifa.
Meneja Mawasiliano na Mahusiano wa EFM, Dennis Ssebo amesema ushindi huo una maana kubwa kwao.
“Sina wasiwasi kwa mafanikio haya kwasababu juhudi zetu zinajidhihirisha...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tOA0NzDXlTA/UxjoZ1ZKDUI/AAAAAAAFRmA/eUrb2P2Fr60/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Umoja wa Mataifa wainua wanawake Tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-tOA0NzDXlTA/UxjoZ1ZKDUI/AAAAAAAFRmA/eUrb2P2Fr60/s1600/unnamed+(10).jpg)
Dunia ikiwa inaelekea kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Umoja wa Mataifa uko mstari wa mbele kuwawezesha wanawake katika maeneo mbalimbali ikiwamo afya ya uzazi, mazingira na hata kuwajengea uwezo wa kujiamini.
Nchini Tanzania Umoja huo kupitia chama cha umoja wa Mataifa cha vijana YUNA umejikita katika kutoa elimu na miongonimwa walionufaika ni Chantal Mwango'nda ambaye amemweleza Joseph Msami wa idhaa hii katika mahojino maalum nmna YUNA ilivyomjengea...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Krniecer6Fo/VWEld00azrI/AAAAAAAHZb8/8ZO37qCYmRc/s72-c/un5.jpg)
TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA WIKI HII
![](http://4.bp.blogspot.com/-Krniecer6Fo/VWEld00azrI/AAAAAAAHZb8/8ZO37qCYmRc/s640/un5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_1_m6HFOZaA/VI-pW1TxeBI/AAAAAAAG3b8/IPRH3k5Ai0w/s72-c/sh1.jpg)
Nahodha atembelea ubalzi wa Tanzania Umoja wa Mataifa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_1_m6HFOZaA/VI-pW1TxeBI/AAAAAAAG3b8/IPRH3k5Ai0w/s1600/sh1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bUI0xGdDOxw/VI-pXNNLtzI/AAAAAAAG3cA/1g_usDnMzs8/s1600/sh2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBufUvcBiRdEue3WDZhPxa6bLiOxD8TK9IL70iWTg9O0aACYMKi0DseWDFAPnwGaLnE-5h0wK2Ek4nFcFZQaoKnQ/sh1.jpg?width=650)
NAHODHA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA UMOJA WA MATAIFA