Fid Q: Video zangu zilikuwa dhaifu
MKALI wa muziki wa hiphop nchini, Farid Kubanda ‘Fid Q’ amesema amegundua kuwa katika nyimbo zake anazotoa anakuwa na mapungufu upande wa video. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Fid...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo504 Nov
Fid Q kwenda kushoot video mpya nje ya nchi, atoa sababu za kwanini alikuwa hafanyi video
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbXXKJP**EfQMBFurTj2RCRjzBtJjc7L9tGIijxWixTWV0XBmxwHntbK7BPbSx3VnHRzy9RDFKFRoHjh-XLmNJA*/CHEKANAKITIME.jpg)
SWAGA ZILIKUWA ZAMANI BWANA!
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/PSy-U59yahU/default.jpg)
9 years ago
Bongo517 Dec
Kwenda kufanya video nje ya nchi ni kama trend tu – Fid Q
![Fidq](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/Fidq-300x194.jpg)
Fid Q anaiunga mkono kasi ya wasanii wa Bongo kwenda kushoot video zao nje ya nchi, na kuongeza kuwa inasaidia kufanya watu wafatilie kwa ukaribu ujio wa kazi hiyo.
“Nadhani kwenda kufanya video nje ya nchi ni kama trend tu, unajua wabongo ukisema unaenda kufanya video nje ya nchi tayari wanakuwa wanaisubiria kwahiyo sidhani kama ni kosa, ni kitu kizuri kwasababu kinasaidia mtu kunotice kama kuna kitu ulifanya.” Alisema Fid Q kupitia 255 ya XXL.
“Nimeona wasanii wametoa video hivi karibuni...
10 years ago
CloudsFM04 Nov
FID Q KUSHUTI VIDEO NZURI KWA MARA YA KWANZA NJE YA NCHI
Rapa Fid Q amekiri kuwa hajawahi kuwa na video nzuri kwa zaidi ya miaka kumi aliyokaa katika game ya muziki wa bongo flava hapa Bongo,Fid Q amefunguka mpango wake wa kwenda kushuti video kali kwa mara ya kwanza nje ya nchi.
10 years ago
Bongo509 Oct
Picha: Fid Q na Young Killer waingia mtaani kushoot video ya ‘13’ muongozaji ni..
10 years ago
Bongo511 Oct
Nisher: Tumekasirika sana round hii, aongoza video ya ’13’ ya Young Killer f/ Fid Q
11 years ago
GPLUZINDUZI VIDEO YA ‘HIP HOP DARASA’ YA FID Q WAVUTIA MASHABIKI