Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamusoko mtamu, we acha tu!

Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko ‘rasta’ ameonyesha utaalamu uwanjani baada ya kupiga pasi 46 na kutengeneza bao la pili lililofungwa na Amissi Tambwe katika mechi dhidi Tanzania Prisons ambayo Yanga ilishinda 3-0 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam juzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Hapa Na Pale: Lulu Awa Mtamu Chuoni!!!

Mrembo na mwigizaji wa filamu,  ambae kwa sasa ameamua kupiga kitabu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ,  ambae kwa sasa ameamua kupiga kitabu , anadaiwa kuwafunika kimasomo wanafunzi wenzake katika Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kilichopo Magogoni-Posta jijini Dar.

Akizungumza hivi karibuni chuoni hapo, mmoja wa wanafunzi wanaosoma na mwigizaji huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake alisema Lulu amekuwa akihudhuria vizuri darasani na kufanya vyema kwenye masomo yake mbalimbali zaidi ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Kamusoko aibeba Yanga

Bao la dakika za majeruhi la Mzimbabwe Thaban Kamusoko lilitosha kuipa Yanga ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya African Sports kwenye mchezo uliofanyika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga jana.

 

10 years ago

TheCitizen

I’m ready for the challenge, says Yanga’s Kamusoko

The Zimbabwean says Yanga is the club where he can meet his footballing ambitions

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Ahsante Mungu na Wazazi Wangu Kwakunifanya Mtamu!- Lulu

Mrembo na Staa wa Bongo Movies,  Elizabeth  Michael ‘Lulu’ ambaye hakuna anaebisha kuwa amejaaliwa  uzuri wa sura na umbo, kupitia ukursa wake wa instagram amemshuruku Mungu na wazazi wake kwa mfanya kuwa zaidi ya mcharo, yaani ni mtamuuuu.

“Ahsante kwa Mungu....Shoutout kwa Mama & Baba Lulu + Make up….u'all knw wat I mean....Kitu Mcharo plus…..(Basi kuna watu wata panic......kufwaaaa 4 me)”-Lulu aliandika na kubandika picha hizo hapo juu.

Jionee neema za Muumba hapo juu, mimi nimempa kumi...

 

9 years ago

Habarileo

Kamusoko, Msuva wakosa penalti tena

WACHEZAJI Thaban Kamusoko, Vicent Bossou na Simon Msuva wamekosa penalti wakati wa mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Karume Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Kamusoko safi - Hans van Pluijm

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm amemwagia sifa kiungo mpya wa timu hiyo, Mzimbabwe Thabani Kamusoko kwa kuonesha kiwango kizuri katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi.

 

9 years ago

Global Publishers

Rekodi ya Kamusoko iliyomtoa Haruna Niyonzima

02-Yanga+kiungoKiungo wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko.

Mohammed Mdose,

Dar es Salaam

MABAO ya kiungo wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko, yamekuwa na maajabu ya aina yake na kutengeneza kastori f’lani ka kuvutia katika mechi za ligi kuu tangu kuanza kwa msimu huu, Septemba 12, mwaka huu.

NIYONZIMANEW4Haruna Niyonzima.

Kamusoko ambaye alisajiliwa na Yanga mwanzoni mwa msimu huu akitokea timu ya FC Platinum ya Ligi Kuu ya Zimbabwe, katika mabao 30 ya Yanga mpaka sasa, yeye amefunga manne.

Katika mabao hayo yote...

 

10 years ago

Bongo5

Kanye West amuandikia ujumbe mtamu wa birthday mkewe Kim Kardashian

October 21 Kim Kardashian West amesheherekea siku yake ya kuzaliwa, ametimiza miaka 34. Staa huyo wa Keeping Up With The Kardashians ambaye ni mama wa mtoto mmoja (North West) amepokea pongezi nyingi ikiwemo ya mume wake rapper Kanye West, ulioambatana na maneno matamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani